Tanasha Donna features WCB’s Mbosso in new love ballad ‘La Vie’ (Video)

Talented Kenyan songstress and radio personality Tanasha Donna Oketch has released her first track in 2020 and it happens to be a collabo with none other than Wasafi Classic signee Mbwana Yusuph Kilungi alias Mbosso.

Also read: Tanasha Donna is a talented musician

The song titled La Vie, which are French words that mean for life, is off her Extended Play (EP) Donatella which will be launched in Nairobi on January 31.

Tanasha Donna and Mbosso
Tanasha Donna and Mbosso

Basically, this track is about is about two people who are deeply in love and they are not shy to express how they feel about each other.

La Vie has been topping continental charts since it was released a few days ago and it has so far garnered more than 400,000 views on YouTube. However, this doesn’t really come as a surprise seeing how well arranged it is.

This jam is versed in French, Swahili and English and as you are all aware, you can never go wrong with the first two languages since when it comes to matters of the heart. Isn’t that true though?

I have listened to La Vie a couple of times since it came out and every time it as if I am listening to it for the very first time. Yup, it’s that good. Believe you me, it’s really infectious.

Tanasha Donna
Tanasha Donna

Don’t even get me started on Tanasha and Mbosso’s voices. The way these two sing, you’d easily assume that they are in love with each other because it’s so surreal.

Notably, the instrumentation and beat on La Vie are really dope but I wasn’t expecting anything less seeing as it was produced by the one and only S2Kizzy and mastered by Ayo Lizer.

Director Kenny from Zoom Extra also did a good job on the visuals for this song. From the set up to the model to the choice of colours and scene transitioning, everything was impeccable.

Watch La Vie below and tell us what you think. Enjoy!

Mbosso kicks of the year with ‘Ate’ and it’s getting mad love (Video)

Award-winning Tanzanian singer Mbwana Yusuph Kilungi, popularly known as Mbosso, has released a new jam and it’s rocking the airwaves.

Also read: Kenyan musicians have so much to learn from their Tanzanian counterparts

The song dubbed Ate has been getting a lot of love since it dropped a few days ago and to be honest we are also really feeling it. Like, really!

Ate is a love ballad and as you know too well Wasafi Classic singers can never go wrong when it comes to pouring out the lasses that they have their eyes set on.

Mbosso has a new tune dubbed 'Shilingi' featuring Reekado Banks
Mbosso

In the jam, Mbosso says he’s willing to go out of his way to show the lass how much she means to him. From teaching her how to love to touring the world with her.

He also references Diamond Platnumz’ relationship with NRG Radio presenter Tanasha Donna saying that he would want to have a relationship like theirs.

Just like many of the songs from Wasafi Classic Records, Ate has some sexual innuendos. However, Mbosso does not talk about it directly.

Apart from the fact that it is a beautiful composition, the other thing that makes this jam stand out is Mbosso’s voice, this guy can really sing and you can tell that it’s coming from the heart.

The beat and instrumentation was also dope. They get you hooked from the moment you hit the play button so much so that you might have this song on replay for a whole month without even noticing it.

The video was impeccable. It paints a visual picture of what he’s singing about and helps you contextualize the jam. It was also has some great shots. Props to the videographer.

Watch Ate below and tell us what you think.

Videos: Diamond and Rayvanny bash Wasafi critics in new club banger ´Vumbi´

Wasafi artists, Diamond Platinumz and Rayvanny release ¨Vumbi¨ anthem that is already hitting the airwaves.

Vumbi´s official audio is out, posted just Monday evening, the 1st of July 2019.

The song´s audio has already attracted way over 370,000 views and 800 comments within an hour of publication.

¨Vumbi¨ is a banger that talks about always being ahead of your rival.

This is soon after Chibu dropped ¨Kanyaga¨ that speaks about stepping on those that bring nothing to the table.

Part of the song´s chorus ´timua vumbi´ is a loose translation of causing dust while engaging in a vigorous activity.

Vua shati ukisikia joto,

Timua Vumbi, Timua.

The two are hitting back at naysayers who do not seem pleased with Wasafi artists but it bothers them less because they are here to show them ´dust´ and leave them with flu as a result of the dust.

Tunawachafua, Vumbi.

Tunawapa mafua, Vumbi.

Vumbi, Timua Vumbi Timua.

Wanatukimbiza Wasafi eeh, wapo makundi makundi.

Lakini hawatupati eeh, tunawaachia Vumbi.

Timua Vumbi, Timua.

It will additionally prevent the critics from progress because until the ´dust´settles, their journey comes to a stand still.

¨Vumbi¨ is produced by S2Kizzy and Mixed By Lizer Classic.

The WCB king, Diamond seems to have decided to give fans a non-stop hit after another after many complained he is lagging behind in the music industry.

A blend from Rayvanny and Diamond is always an assured bet from fans because it never misses.

¨Tetema¨ anthem went viral soon after its release, used in a myriad of concepts across the globe and is currently at over 21 Million views on You Tube.

We definitely cannot wait for ¨Vumbi´s¨ video. It must be fire.

Harmonize speaks about taking over Diamond Platinumz´ legacy

Word has been Harmonize might be threatening King of WCB, Diamond Platinumz by ruling over him but says that has never been his intention.

Harmonize´s growth in the bongo industry has witnessed a continuous rise in his graph and might probably be  threatening to topple over Diamond´s legacy.

However, the star clarifies:

Sitaki kuwa Namba 1,

Nataka kuwa Harmonize tu Nataka kuacha Legacy

However, the singer articulates that it is actually Diamond´s pride once his own artists, thrive.

Najua hata Diamond mwenyewe yupo very proud kushindanishwa na Mimi,

Ameshashindanishwa na wasanii wengi lakini kwa Msanii aliyemtengeneza mwenyewe lazima afurahi

Further on, the artist however cautions his fans to avoid making comparison between the two artists because this is not a competition.

He appreciates the love but asks the audience to avoid overdoing it.

WCB Tumekuwa wakubwa sana, Kitu kidogo tu watu wanaigiza,

Najua watu Mnatupenda sana lakini msituchonganishe

This he reveals up and close, speaking to Wasafi FM.

Diamond´s father, Mzee Abdhul set to stay away from any interviews

Ailing Mzee Abdhul is to avoid any further interviews after the media allegedly compel him to share false information about his life and family.

Diamond´s aging dad has created a circus in the airwaves after making shocking and brutal revelations about his lifestyle and his son.

https://www.instagram.com/p/BwtSXPvDHNG/

Up and close with Global TV, Diamond´s dad reveals he no longer will feature in any interviews whatsoever, though thankful for the far he has come:

I do not want any type of interview.

Please forgive me, it is not like I do not want to be interviewed.

You have been with me, you have supported me, you have talked a lot.

But I will not do any interview with anyone.

Soon after he apparently saw his superstar son close to 20 years ago, the 2 reconciled during a radio interview at Wasafi FM.

Reason

According to the bongo star, the media compel his dad to take interviews, forcing him to turn against the singer and share false information with the public.

https://www.instagram.com/p/Bw0CQnElAW7/

A move that has angered the WCB King who now urges the dad to stay away from any media interviews if he seeks to restore peace in his family.

Earlier on, Diamond´s sister, Queen Darlene expressed that their dad has been signed into WCB.

Additionally, the two children are toiling to ensure that his new management keeps him off the diminishing interviews.

https://www.instagram.com/p/BwHO_l8jo7U/

Darlene adds that they actually do see their dad through his financial constrains and that news about his neglect are all stage-managed.

According to Diamond and Darlene, media houses seek to have these false interviews with their ailing dad, just for self gains.

Exposed: Mbosso ´Ksh 4 Million mansion´ is nothing but a rental apartment

Tanzanian artist, Mbosso Khan has been caught pants down after claiming the purchase of a Ksh 4 Million mansion in Dar es Salaam.

´Nadekezwa´ hitmaker, Mbosso

Therefore, igniting mixed reactions from his fans who are left wondering how the young artist could even afford such kind of wealth.

Mbosso made the public announcement to his 1.7+ million followers on his Instagram page just 2 days ago.

https://www.instagram.com/p/BvrUkN7HhtW/

Additionally, Mbosso shares photos of his so-called 3-bedroom mansion in the leafy suburbs of Tegeta, Dar es Salaam.

The afterthought

However, I think the world only gives ´a fool´ some breathing space before slamming the door hard, right in front of them.

Soon after his Ksh 4 million mansion went public, a keen social media influencer, one Jay Maudaku, spotted the mansion.

Jay unearthed a post from, Dalali Tegeta, a real estate agent, who actually owns the apartment that he lets out.

Dalali put out the same house 4 weeks ago for future tenants at a monthly rent of Ksh 52,000 (Tsh 1.2 Million).

Dalali´s post reads:

Nyumba hii ipo Tegeta wazo ina nyumba vitatu vyote self inajitegemea.

Pia ina boy kota ya chumba kimoja self inapangishwa millioni 1 na laki mbili.

Pia hata millioni 1 kamili anachukua tuwasiliane kwa namba 0718809744.

Karibuni sana.

According to anonymous sources, WCB management is actually paying the mansion´s rent.

WCB King, Diamond Platinumz

This is based on a contract agreement between Diamond Platinumz’ record label and artist, Mbosso.

Hiyo nyumba kweli ipo Tegeta, Dar es Salaam.

Na kwa taarifa niliyonayo, amepangishiwa na menejimenti yake wala sio kununua.

Anonymous source

Unfortunately, repeatedly, Tanzania´s music industry artists hardly come clean.

Whether it is about their flashy lifestyles, including Diamond himself.

Occasionally, the so-called purchased exclusive apartments, cars, and so on are just but rentals.

Is Harmonize planning to overthrow the King at WCB, Diamond Platinumz?

Sensational bongo artist, Harmonize, has fervidly denied claims that he is planning to ditch the King of WCB, Diamond Platinumz.

Wasafi Classic Baby (WCB) is a label owned by Bongo star, Diamond Platinumz, which first discovered the Atarudi hitmaker.

https://www.instagram.com/p/BvBA-rRHUyK/?utm_source=ig_embed

Harmonize further denied claims that he has been working on plans to overthrow the head of WCB, Chibu and become Tanzanian´s most refined bongo artist.

I do not want to talk about that, it is not fair at all.

Please ask me about something else.

https://www.instagram.com/p/BtxZXZyDLI7/?utm_source=ig_embed

You as journalists need to ignore some stories, not everything people talk about online is true.

Sometimes people publicise things that can not really happen.

The Kwangwaru star revealed it all during an interview with Global TV, urging people and the media to stop believing all they see on Instagram and in Blogs.

You need to understand that I am growing everyday as a musician, and with the growth, people will say all manner of things.

This is after Harmonize was questioned on whether it was true that he has intentions to be the next top Tanzanian music artist.

Kwangwaru hitmaker, Harmonize

The Kwangwaru hitmaker saw the song set a new East African record, hitting 10 million views in one month.

I am like a baby born at WCB, it is hard to fight with my father or ditch my home.

Seems the young lad was trying to affirm that one can´t bite the hand that feeds them.

Or can you?

The rumor has been doing the rounds for a while now probably due to Harmonize´s recent smashing hits.

Diamond´s fans might have had the illusion that based on Harmonize´s many international shows that he has been selling out, he is slowly becoming a threat to the WCB King.

 

Shabiki Atuma Maombi kwa WCB

Moja ya mashabiki wa WCB ameamua kuvunja ukimya na kutuma salamu kwa uongozi wa WCB kutokana na malalamiko ya chini chini kuhusu Tv hiyo  na radio yake kuwa mara zote wamekuwa hawataki kufanya mahojiano na wasanii ambao wanachipukia.

Shabiki huyo anasema kuwa mara kadhaa amekuwa akipokea malalamiko kutoka kwa sanii wa chii kuwa wamekuwa wakienda kuomba interview na kukataliwa na kuambiwa kuwa ili waweze kuapta nafasi ni lazima wawe na bifu na msanii mwingine.

Shabiki huyo anaendelea kwa kusema  hata kwenye swala la kuchagua wasanii pia wamekuwa wakifanya mahijiano na wasanii wakubwa wenye majina tayari na interview zimekuwa zikijirudia wakati huku mtaani kuwa wasanii wengi.

Lakini pia wanasema kuwa hii inatasfiriwa vibaya kwa sababu Diamond wakati anafungua Tv na radi hiyo alisema kuwa ni kwa ajili ya wasanii wa aina zote hasa wale wanaohitaji kusikika.

Harmonize Apishana Kauli na Uongozi Wake Wa WCB

Kwa miezi kadhaa sasa kumekuwa na tetesi kuwa Msanii wa muziki wa Bongo fleva kutokea katika Label ya WCB, Harmonize hana maelewano mazuri na viongozi wa Label yake.

Siku ya juzi Harmonize alitoa taarifa ya kwamba EP hiyo ataiachia February 18 siku ya jana lakini ilipigwa ‘stop’ tena na uongozi wa WCB na kuahidi siku ya leo watatoa taarifa rasmi.

Jumatano hii mmoja kati ya Wakurugenzi wa WCB, Sallam SK ametoa taarifa ambayo inaonyesha kuna kitu kinaendelea kati ya uongozi wake na Harmonize.

TAARIFA KWA UMMA.. Maelezo ya utokaji wa EP ya Harmonize @harmonize tz : Uongozi wa WCB unaomba msamaha kwa ucheleweshaji kama ahadi ya awali ilivyo, muda mwingine msanii anakuwa na shauku kubwa kuwapa mashabiki wake burudani na kufikia sehemu anasahau kuwa hizo burudani pia ni biashara ambayo itakayompatia kipato yeye ili aweze kutoa burudani zingine, kama uongozi lazima tumuandalie misingi ya kibiashara ili anufaike na kazi zake pia, na vilevile tusiwe na matabaka ya kuwajali mashabiki wa sehemu moja pale kazi zinapotoka, inatakiwa kama uongozi kuhakikisha kazi ya msanii inapatikana sehemu zote kukidhi hamu za mashabiki wote, kingine unapofanya kazi na wasanii waliopo lebo kubwa inahitajika lebo zao waweze kutia saini mikataba ya mirabaha ili nyimbo ziweze kuwepo kwenye mitandao yote ya mauzo ili isilete matatizo kwenye lebo zao. Kwahiyo ukubwa wa EP ya Harmonize ilihitaji kupitia yote hayo ili iwe tayari kufika kwa mashabiki, tunashukuru Basata walitoa ushirikiano mzuri kuzikagua nyimbo kwa muda muafaka na hakutokua na tatizo la wimbo unatoka halafu unafungiwa. Kwa haya mafupi sasa EP ya Harmonize ya #AfroBongo itatoka rasmi wiki ijayo chini ya Lebo ya WCB Wasafi. Tunaomba radhi kwa yoyote tuliyemkwaza kwa namna moja ama nyingine tunajua bila nyie mashabiki hakuna WCB. MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU IBARIKI BONGO FLAVA ??“.

Taarifa hii inaibua maswali mengi juu ya mahusiano kati ya WCB na muimbaji huyo Uongozi wa WCB haukutangaza kwamba Harmonize ataachia EP kama ilivyo kwa wasanii wengine wote wa WCB.

“Siwezi Kutoka WCB, Diamond Ni Mtu Mmoja Poa Sana”-Mose Iyobo

Dansa maarufu kutoka WCB ambaye anafanya kazi kwa Msanii wa Bongo fleva Diamond Platnumz kwa muda mrefu, Mose Iyobo ameibuka na kudai kuwa bosi wake  huyo ni mtu poa sana.

Kwenye mahojiano aliyofanya na kipindi cha Refresh cha Wasafi Tv, Mose Iyobo amefunguka na kusema Bosi Wake Diamond ni mtu poa sana na ni bosi mzuri kufanya naye kazi.

Diamond ni mtu fulani ambaye yupo poa sana yaani Siwezi kusema nitoke pale (WCB) eti niende sehemu nyingine! Labda nikafungue kitu changu mwenyewe”.

Lakini pia Mose Iyobo ametupilia mbali Tetesi Za kuwa analelewa na mzazi mwenzake Aunty Ezekiel na kudai anatengeneza hela nzuri tu kama Dansa wa Diamond hivyo hahitaji kulelewa.

Nalelewaje wakati nafanya kazi kwa Diamond? Nikimwambia Diamond nataka gari Fulani yaani inachukua dakika chache tu”.

 

 

Tumekoma Hatuwezi Kurudia Tena Makosa-Babu Tale

Meneja wa Kampuni ya Wasafi (WCB) Babu Tale amekiri kuwa adhabu waliyopewa wasanii wake Diamond na Raymond Mwakyusa’ Rayvanny kufungiwa miezi miwili, imewafundisha na hawatarudia tena.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Gazeti la mwananchi, Babu Tale ameweka wazi kuwa adhabu waliyopata Diamond na Rayvanny imekuwa somo kwao wote na hawatorudia tena makosa.

Kwa kweli kwa muda wote ambao wasanii wetu walikuwa wamefungiwa pamoja na kusitishwa kwa tamasha letu la Wasafi, tumejifunza mengi, hatuna budi kuishukuru BASATA na serikali kwa ujumla tunachowahaidi ni kwamba tumrjifunza mengi na hatutarudia tena”.

Diamond na Rayvanny walifungiwa mwaka jana Desemba 15 na kuzuiwa kufanya maonyesho ya nje na ya ndani hata hivyo Wiki chache zilizopita BASATA Ilitangaza kuwafungulia rasmi.

 

Diamond Afungukia Hatma Ya Wasafi Festival

Msanii wa muziki wa Bongo fleva na CEO wa WCB Diamond Platnumz amefunguka na kuzungumzia mipango ya Wasafi Festival mara Baada ya kuachwa huru na BASATA.

Katika mazungumzo yake na Waandishi wa habari siku ya leo, Diamond amewataka mashabiki zake waendelee kuwa wavumilivu  kuhusu tamasha lao la Wasafi Festival kwani bado wanafikiria kama walianzishe upya au waendelee kufanya shoo mikoa iliyobakia, lakini kwakuwa tayari wameshafunguliwa basi hakuna shaka juu ya hilo watawajulisha kitachoendelea.

Namshukuru  mwenyezi Mungu kwakuniweka hai na salama mpaka nafika hapa, lakini pia kabla yakuanza chochote pia niishukuru serikali yangu pendwa kwakunifungulia kifungo ambacho nilikuwa nacho, maana kifungo kinafunguliwa tu na neema hizo zinakuja.

Niwashukuru watu wote ambao wameisapoti Wasafi Festival, nawashukuru sana kwa sababu mapokezi yalikuwa makubwa hatukuyategemea, lakini mimi na menejimenti yangu tulikuwa tunajadili tumalizie ile mikoa iliyobaki au tuanze na upya mwaka 2019, japo mzani unaelemea mwaka 2019 ili watu waliokuwa bado hususani mikoa ambayo hatujenda wawe na hamasa zaidi, hivyo tunawaomba mashabiki zetu wasichoke kutusapoti na kuendelea kuzifatilia kazi zetu nzuri“.

Diamond na Rayvanny walifungiwa na BASATA mwishoni mwa mwaka jana baada ya ku-perform wimbo wao wa Mwanza Nyegezi kwenye Tamasha lao la Wasafi Festival jijini Mwanza, wimbo ambao umefungiwa na Baraza hilo. Lakini juzi Baraza hilo lilitangaza kuwafungulia baada ya kuomba radhi.

Diamond Asema Sababu Iliyokuwa Inawapeleka Kutoa video nje

Msanii diamond platinumz amefunguka na kujibu moja ya maoni ya shabiki kwa kumwambia kuwa sababu kubwa ya wao kuwa wanatoka nje ya nchi kipindi cha nyuma na kwenda kutoa video marekani au afrika ya kusini sio maeneo ya kutolea video lakini ni kwa sababu hawakuwa na vifaa vya kufanyia kazi zao na zikaonekana kuwa nzuri.

Akijibu katika uwaja wa maoni ambapo moja ya mashabiki aliandika  ” tanzania kumbe tuna maeneo tu mazuri  na hakunaga ulazima  wa wasanii wetu kwenda nye ya nchi kutafuta location za video ” diamond nae akamjibu shabiki huyo “ hatukufata locations , tulifata vifaaa na teknolojia zao …ila kwa sasa tumenunua wenyewe na kufungua productions wenyewe  na ndio maana tunauwezo wa kushoot popote… na ndio maana halisi ya mapinduzi ya kiburudani”

Shabiki anavutiwa a na kusema hivyo baada ya kuona video mpya iliyotoka ya msanii mbosso.

Diamond Atangaza Ujio Wa Msanii Mpya Wa Kike WCB

Msanii wa muziki wa Bongo fleva na Mkurugenzi wa Music Label ya WCB Diamond Platnumz ametangaza rasmi kumsaini Msanii wa pili katika label ya WCB.

Diamond alitangaza habari hiyo njema siku ya Ijumaa kwani kwa muda mrefu Label hiyo imekuwa na utaratibu wa kudai ni wasanii wa kiume tu bil kuwapa nafasi wasanii wa kike.

Kupitia ukurasa wake wa Twitter, Diamond ameandika ujumbe huu:

About to introduce a FEMALE Artist….. Coz i believe Women they can, if you Empower them….” (Nipo mbioni kumtambulisha msanii wa kike (WCB), kwa sababu naamini wanawake wanaweza, wakiwezeshwa)“.

Mpaka sasa haijajulikana ni Msanii gani wa kike ambaye atatambilishwa ingawa Baadhi ya mashabiki wamekuwa wakihisi nafasi hiyo huenda akaipata mwanadada Nandy ila Diamond mwenyewe hajathibitisha hilo.

 

Mh Lusinde awagomea BASATA kuhusu Wimbo wa Mwanza.

Moja ya wabunge katika bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania mh lusinde kutoka mtera amefunguka na kuwataka baraza la sanaa kuacha kufanya kazi za ubabaishaji kwa kutaka kufanya kazi na kutoa hukumu za wasanii kulingana na klosa husika na sio kwa kuwakomoa wasanii.

Lusinde anasema kuwa basata wamekuwa wakifanya wasanii waishi kwa uoga wakati wana vipaji vya kuwafikisha mbali, Lusinde amesema hayo ikiwa ni siku cahche tangu BASATA walipotoa msamaha wa wasanii hao kuendelea kufaya show zao za nje ambazo zilsainiwa nje ya adhabu waliopewa kwa muda usiojulikana kutokana na kukaidi maagizo ya baraza hilo.

Wasanii hawa wawili kutoka WCB, Diamond na rayvanny wamepewa adhabu kwa muda usiojulikana kutokana nakuaidi agizo la kuacha kuimba wimbo huo jukwaani lakini wasanii hao waliimba wimbo huo , hivyo kuwafanya wapewe adhabu.

Mh lusinde anasema kuwa kama wimbo huo kuimbwa ni makosa basi hakuna haja ya kuwa na kata yenye jina hilo kwa sababu hata watu waapoitamka  basi wanakuwa wanatamka matuzi hivyo waachane nayo tu na kubadili jina hilo.

Hata hivyo mh huyo ametaja serikali kuingilia kati swala hilo kabla halijaonekana kuwa na mtazamo tofauti na wa wasanii wengine pia.

Meneja Wa Harmonize Afunguka Kuitosa WCB

Meneja wa staa wa Bongo fleva kutoka katika label ya WCB, Harmonize anayejulikana kama Mr. Puaz amethibitisha kuachana na Harmonize kwa like alichodai ni kukosa maelewano.

Licha ya Harmonize kuwa chini ya WCB Lakini pamoja na wasanii wengine wa label hiyo wana mameneja tofauti ambao wanasimamia kazi zao.

Kwenye mahojiano na Gazeti la Risasi la Mchanganyiko, Mr. Puaz alikiri kuacha kufanya kazi kama Meneja wa msanii huyo Lakini amekana kuwa na Bifu na msanii huyo wala Label ya WCB.

Ni kweli kwa sasa mimi na Harmonize hatufanyi kazi pamoja kwa sababu ya kupishana kauli; lakini haimaanishi mimi na WCB hatufanyi kazi au hatutafanya kazi.

WCB ni familia yangu ambayo ukaribu wangu na wao ulitokana na urafiki wangu na Diamond hivyo siwezi kuiacha, panapo kuwa na nafasi ya mimi kuhitajika kutoa mchango wangu nitaendelea kutoa kama mwanafamilia“.

 

BASATA Wakanusha Taarifa Za Kuwafungulia Diamond na Rayvanny

Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) limekanusha taarifa za kuwafungulia wasanii Diamond Platnumz na Rayvanny wanaotumikia adhabu ya kutojihusisha na muziki kwa muda usiojulikana baada ya kufanya makosa mbalimbali ndani ya kipindi cha miezi miwili.

Taarifa hiyo imekuja baada ya msanii Diamond kutangaza kwenye mkutano wa waandishi wa habari jana kuwa wameruhusiwa kufanya tamasha la muziki, Wasafi Festival’  nchini Kenya.

Siku chache zilizopita wasanii hao kupitia mtandao wa Instagram Walionekana wakifanya mkutano na waandishi wa habari nchini Kenya kutangaza maonyesho yao yanayoendelea, lakini alifajiri taarifa ya Basata ilisema kuwa hawajatoa ruhusa kwa wasanii hao.

Baada ya kauli hiyo kutoka kwa wasanii hao kutoka WCB, BASATA walitoa tamko lao na kusema:

Ikumbukwe kuwa Desemba 18 tuliwafungia kutojihusisha na sanaa kwa kipindi kisichojulikana kwa kuimba kwa makusudi wimbo Mwanza tulioufungia kwa sababu za kimaadili,

“Baraza linasisitiza kuwa halijawafungulia wasanii hao, pia linawaonya kuacha kutoa taarifa za uongo kabla halijawachukulia hatua kali zaidi,” imeeleza barua hiyo.

 

WCB Waongeze Ushirikiano na Wasanii Wengine.:-RC Zanzibar

WASANII wa Zanzibar na Tanzania bara wametakiwa kuimarisha mahusiano na ushirikiano baina yao ili kusaidia maendeleo ya muziki wa kizazi kipya katika pande zote mbili za Jamhuri ya muungano Tanzania.Wito huo umetolewa na mkuu wa mkoa wa mjini magharibi alipokutana na timu ya wasanii kutoka lebo ya ‘Wasafi Clasic’ ya Dar es salam na Zenji Flavour Unity (ZFU) ofisini kwake Vuga walipomtembelea kuelekea tamasha la Wasafi 2018 linalotarajiwa kufanyika kesho.

Ameeleza kuwa pamoja na kuwepo kwa mashirikiano ya muda mrefu, ipo haja pande mbili hizo kukaa chini na kufanya kazi pamoja ili kuimarisha vipaji vyao sambamba na kuwasaidia wengine kufiukia malengo yao.

Ayoub ambae pia ni mlezi wa chama cha wasanii wa muziki wa kizazi kipya Zanzibar alishauri kuanzishwa kwa mashindano ya kutafuta wasanii bora wa Zanzibar watakaoweza kuunganishwa na lebo ya muziki ya WCB rai ambayo iliungwa mkono na Afisa Mtendaji Mkuu wa lebo hiyo msanii Naseeb Abdul ‘Diamond’ na mlezi wa lebo hiyo Said Khamis Fela ‘Mkubwa Fela.

Aidha Ayoub aliupongeza uongozi wa lebo hiyo na Mfuko wa hifadhi ya jamii Zanzibar ZSSF kwa kukubaki kuwajumuisha wasanii wa Zanzibar katika tamasha hilo jambo alilosema litawasaidia kujitangaza na kuongeza uzoefu wa kushiriki matamasha makubwa kama hilo sambamba na kuwataka wazingatie sheria na taratibu zinazosimamia sanaa nchini.

Nae msanii Naseeb Abdul ‘Diamond’ amemshukuru Mkuu huyo wa mkoa kwa kuunga mkono kazi zinazofanywa na wasanii wa ndani na nje ya zanzibar jambo ambalo linawawezesha kuitikia kaulimbiu ya serikali zote mbili za kuwataka vijana kufanya kazi.

alisema, hatua ya serikali kuendelea kufuatilia shughuli zinazofanywa na wasanii zinathibitisha kuwaunga mkono ili wafikie ndoto zao jambo ambalo aliahidi kuliendeleza ili kundi kubwa zaidi linufaike.

Alieleza kuwa katika tamasha hilo mbali ya burudani wanayoitoa wameweza kufanya shughuli mbali mbali za kijamii ikiwa ni pamoja na kutoa misaada katika taasisi za elimu, wajasiriamali na kwa Zanzibar wanategemea  kutoa misaada katika skuli na kituo cha afya cha Chumbuni ili viweze kutoa huduma nzuri kwa jamii.

Awali akitoa taarifa katika kikao hicho mwakilishi wa Mkurugenzi Mtendaji wa ZSSF Khamis Thani alieleza kuwa mfuko huo umeamua kuungana na lebo hiyo ya muziki kwa lengo la kurudishga faida wanayoipata kwa jamii kwa kuimarisha wajasiriamali na kutoa misaada ya kijamii.

Diamond, Rayvanny na Mbosso Wapata Ajali Stejini Sumbawanga (+Video)

Msanii wa Bongo fleva kutoka katika label ya WCB Diamond Platnumz na wasanii wenzake Rayvanny na Harmonize walipata ajali katika Steji ya Wasafi Festival iliyokuwa inafanyika mkoani Sumbawanga.

Shoo hiyo ilifanyika siku ya jana 9 Desemba katika uwanja wa Nelson Mandela ambapo wasanii hao walikuwa wanaperfom wimbo wao pendwa kabisa wa ‘Zilipendwa’ lakini ndipo balaa lilipotokea Baada ya wasanii hao kula mieleka.

Lakini baada ya kudondoka kwa Diamond akifuatiwa na Mbosso wasanii hao waliinuka na kuendelea na shoo na iliripotiwa kuwa hakuna Msanii aliyepata majeraha makubwa zaidi ya michubuko ya hapa na pale.

Meneja wa Diamond Platnumz, Babu Tale alitoa taarifa kuwa wasanii hao wanaendelea vizuri na hakuna aliyeumia.

Baada ya sakata hilo Kupitia ukurasa Wake wa Instagram, Diamond Platnumz aliposti video hiyo na kuandika:

https://www.instagram.com/p/BrK67ZVlDFX/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=d9geezbdwlgj

Joseph Kusaga Ajibu Tuhuma Za Kumiliki Wasafi Tv na Radio

Mfanyabiashara maarufu na Mkurugenzi wa Vlouds Media Group Joseph Kusaga amejibu tetesi zinasombaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kumiliki vituo viwili vya runinga na radio, Wasafi TV na Wasafi FM.

Kwenye mahojiano aliyofanya na kipindi cha Clouds 360 cha Clouds Tv, Joseph Kusaga amefunguka kuwa yeye anamiliki karibia vituo vyote vya radio za vijana hapa Tanzania.

Hapana mimi sitakwenda huko, mimi  namiliki radio zote za vijana, radio zote za vijana mimi namiliki, kwa njia moja au nyingine, ukimuita Seba atakwambia umenielewa. Lakini labda ni kwa sababu ya kuongeza wigo, labda wigo wetu sisi unaweza ukawa hautoshi, mimi nashiriki kwenye industry yote ya burudani”.

Lakini pia Kusaga alipoulizwa kuhusu umiliki wa Wasafi Tv na Radio hakutaka kuweka wazi kuwa anamiliki zote lakini badala yake alisema anamiliki redio nyingi za vijana hapa nchini ikiwemo Jembe Fm ya Mwanza na Safari Fm ya Mtwara.

Wiki iliyopita kwenye Gazeti moja Kuna taarifa ilichapishwa kwamba Mke wa Kusaga anamiliki nusu ya hisa za Wasafi Tv na Radio na hata Mitambo ya Wasafi inawashwa Clouds Media.

Diamond Platnumz Aanika Ndege Mpya Ya Wasafi Festival

Msanii wa muziki wa Bongo fleva nchini na CEO wa WCB Diamond Platnumz ameitambulisha ndege ambayo itakuwa na jukumu la kubeba wasanii Watakaoperfom perfom kwenye stage ya Wasafi Festival Mombasa.

Ndege hiyo inadaiwa kuandaliwa na waandaaji wa shoo hiyo ambapo watatumia wasanii wa WCB kuwachukua jijini Dar na kuwapeleka Mombasa maalum kwa ajili ya shoo huku wengine wakidai amenunua Diamond japo mwenyewe bado hajaweka wazi kama ni ya kununua ama ya kukodi.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Diamond ameandika maneno haya:

WCB Kumiliki Ndege Yao Wenyewe

Bosi wa kundi la Wasafi ameitambulisha ndege yao itakayokuwa ikitumika katika mizunguko yao katika kipindi hiki cha Wasafi festival hasa pale watakapokuwa wamefika Kenya ambapo watafanya show hiyo Desemba 2.

Fununu zinasema kuwa ndege hiyo i enunuliwa na Diamond platinumz huku wengine wakisema kuwa ni ndege imeandaliwa na waandaji wa tamasha hilo huku  yeye mwenyewe akikaaaa kimya kutokuzungumzia swala hilo hata kwa mara moja.

katika ukurasa wake diamond aliweka picha hiyo huku akisema baadhi ya maneno yenye kuonyesha kiburi cha kuwa na umiliki halaliwa ndege hiyo.

 

Young Killer Adai Wasafi Festival ni Ukombozi Wa Kweli Kwenye Burudani

Msanii wa muziki wa hip hop nchini Young Killer ameibuka na kulimwagia sifa kibao Tour ya WCB ya Wasafi Festival Baada ya kushiriki katika tamasha Lao la kwanza mkoani Mtwara.

Young Killer Msodoki amefunguka kwa kulisifu tamasha la Wasafi Festival na kudai kuwa ni ukombozi halisi katika sekta ya Burudani Nchini Tanzania.

Katika mahojiano aliyofanya na Bongo 5, Young killer amefunguka haya zaidi kuhusu shoo hiyo:

Ujio wa Wasafi Festival ni mkubwa na umekuja kiutofauti sana na kiukweli tasnia yetu inahitaji vitu kama hivi kwa sababu haya ni mapinduzi kwani muda mrefu tumekuwa tukimiss matamasha yamekuwa machache kwaiyo kuja kwa Wasafi Festival ni jambo la kumshukuru Mwenyezi Mungu kwani inaonyesha ni kwa jinsi gani Sanaa yetu hivyo Big Up sana kwa Wasafi”.

Young Killer pia atakuwa mmoja wa wasanii Watakaoperfom kwenye shoo nyingine ya Wasafi Festival itakayofanyika Mkoani Iringa siku ya Leo.

Chid Benz Amwaga Povu Baada Ya Kukosekana Kwenye Listi Ya Wasafi Festival

Msanii mkongwe wa muziki wa Hip hop nchini Chid Benz amefunguka na kuwamwagia Povu zito timu nzima ya WCB Baada ya kukosa mwaliko wa kufanya shoo kwenye Wasafi Festival.

Chid Benz amefungukia ishu ya Diamond Platnumz na Timu yake nzima ya WCB kutumia wanamuziki Kama Dudubaya ambaye anaamini amechaguliwa kwa sababu ya umaarufu wa jina lake Konki Konki konki Master.

Kwenye mahojiano na kituo kimoja cha habari, Chid Benz amedai amesikiyishwa kuwa Msanii Kama yeye Anayeimba vitu vya maana hajachaguliwa kwa madai kuwa anatumia madawa ya kulevya ilhali ameshaacha.

Sisi wasanii tunaoimba nyimbo ambazo zinabeba ujumbe na maana hatupati nafasi kabisa utasikia wanasema achana na hao wakina Chidi Benz wanakula unga ila Dudubaya kisa anasema konki konki anajaza watu basi nasibu anampa tour kwenye Wasafi Festival”.

Diamond na timu nzima ya WCB ilimchagua Dudubaya Kama mmoja wa wasanii watakaoshiriki katika tamasha la WCB Baada ya umaarufu alioupata kupitia jina lake la utani la Konki Master.

 

Mose Iyobo Afunguka Baada Ya Kukamatwa na Polisi

Dansa maarufu kutoka kwenye kikundi cha muziki cha WCB ambaye pia ni mzazi mwenzake na staa wa Bongo movie Aunty Ezekiel, Mose Iyobo amefunguka na kueleza masahibu yaliyowapata baada ya kukamatwa na polisi.

Iyobo na timu nzima ya WCB walikamatwa na Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani wakati wakielekea mkoani Mtwara kwenye Tamasha la Wasafi Festival 2018 lililofanyika Jumamosi katika Uwanja wa Nangwanda Sijaona mkoani humo.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Global Publishers Iyobo amesema wakiwa kwenye msafara wa zaidi ya magari 8 ya WCB na wasanii wenzao, alijikuta akidakwa na polisi baada ya kuvunja sheria za usalama barabarani kwa kuendesha gari kwa mwendokasi zaidi kuliko uliyoruhusiwa.

Mnenguaji huyo amedai baada ya kukamatwa alikuwa akibishana na askari na kushindwa kuelewana nao, ilisababisha awekwe ndani kwa takribani saa 9 kisha baadaye kuachiwa baada ya kulipa faini.

Ujue tulikuwa tukiwahi kwenye shoo, tukitaka tufike haraka huku mzuka ukiwa mkubwa, kwa hiyo nilikuwa nakanyaga mafuta tu, sikufahamu kama eneo lile sikutakiwa kukimbia kwa spidi kubwa, walinikamata kutokana na kutoelewana nao wakanishikilia. Lakini baadaye waliniachia na shoo tulifanya vizuri“.

 

“Nimechoshwa na Kuhusishwa na Kila Mwanamke”-Diamond Platnumz

Msanii w muziki wa kuzaliwa kimya staa Diamond Platnumz ameibuka na kumwaga Povu zito kwa watu wanamuhusisja kimapenzi na kila mwanamke ambaye anaonekna naye hadharani.

Sakata hilo limekuja siku chache Baada ya Diamond na familia yake kuonekana na mrembo mpya anayejulikana Kama Christina nchini Dubai walipoenda for vacation. We

Kwenye mahojiano na Global Publishers? Diamond alianza kwa kusema kuwa amechoshwa na kuhusishwa na kila mwanamke anayeonekana kuwa na mama yake au kuwa naye karibu tu watu wanasema ni mtu wake.

 

Diamond aliweka wazi msichana huyo wa Kibongo mwenye maskani yake Dubai, alikutana naye kama mwenyeji aliyekuwa akiwatembeza maeneo mbalimbali kama watu wengine ambavyo wanaweza kwenda nje na kupokelewa na marafiki zao.

Mimi na msichana huyo tunafahamiana ameonekana kweli na mama yangu na wamejiachia kwenye picha tofautitofauti lakini ifahamike kuwa alikuwa akitupa kampani tu kama mwenyeji na si mapenzi,”

Mimi na msichana huyo tunafahamiana ameonekana kweli na mama yangu na wamejiachia kwenye picha tofautitofauti lakini ifahamike kuwa alikuwa akitupa kampani tu kama mwenyeji na si mapenzi,”

Huko niliteketeza fedha nyingi ambazo nisingependa kuzitaja lakini nilifanya kwa ajili ya familia yangu kwani mafanikio niliyonayo ni kwa dua wanazoniombea mama yangu na ndugu zangu pia sikufanya kwa ajili ya mwanamke na nisingekataa kuongozana na mrembo huyo kwani alikuwa kama mwenyeji”.

Mrembo huyo alizua gumzo mtandaoni mara Baada ya kuonekana katika picha kadhaa za mjini Dubai akiwa na Mama Diamond na hata Diamond na familia yake.

Siri ya Mmiliki wa WCB Yafichuka

Baada ya kuwa na figisu nyingi sana hasa kuhusu matamasha yanayoendelea  nchini  yaani fiesta inayoendeshwa na Clouds media na lile la Wasafi Festival ambayo imeacha tension kubwa sana katika pande hizo mbili , watu wamekuwa wakichokonoa mambo mbalimbali na kufikia hatua ya kusema kuwa inawezekana hata  wasafi tv ni ya Clouds Media pia.

kwa evidence zilizotolewa zinasema kuwa jina la roots ya wasafi tv ni kutoka Clouds Media hivyo inawezekana kuwa bosi wa Clouds ndio bosi wa wasafi hiyo wawili hao  hawakupaswa kuwa na ushindani na kurushiana madongo kwa kiais hiki.

katika moja ya page ya udaku ya shilawadu ambacho ni moja ya kpindi kinachorushwa na clouds mdia waliandika “inasemekana kuwa picha hii ilipigwa siku moja ndugu zetu walipokuwa studio wakifunga mitambo na mafundi wetu, satelite ilisajiliwa na kwa jina la clouds na tv yenyewe ni hii…..jifanye unajikuna…tusitoane damu bure wakati sisi wote ni vidampa tu …Bosi wetu ni mmoja …TABUIKOPALEPALE.”

“Natamani BASATA Waniruhusu Kuperfom Mwanza”- Rayvanny

Msanii wa muziki wa Bongo fleva kutoka katika label ya WCB Rayvanny ameibuka na kuwaomba tena BASATA wampe ruhusa ya kuperfom wimbo wa Mwanza stejini.

Wiki chache ziliopita Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) liliufungia rasmi wimbo wa ‘Mwanza’ wa Rayvanny aliomshirikisha Diamond Platnumz kwa madai ya kukiuka maadili ya Kitanzania kwa kuimba matusi.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Gazeti la Ijumaa, Rayvanny alisema angetamani sana kwa mara ya kwanza apafomu Wimbo wa Mwanza katika jukwaa la Wasafi Festival lakini anashindwa kutokana na adhabu ya Basata ya kuufungia wimbo huo ambao yeye anakiri kuwa hakuutunga kwa nia ya kupotosha watu bali kuburudisha.

Kiukweli natamani sana wangeniruhusu tu japo nipafomu katika shoo zangu maana mapokezi ya huu wimbo ni makubwa mno mpaka yananifanya nitamani kuupafomu katika jukwaa la Wasafi Festival Jumamosi hii”.

WCB wanategemea kupigwa bonge la shoo kwenye tamasha Lao la Wasafi Festival linalotarajiwa kufunguliwa rasmi Jumamosi hii tarehe 24 mkoani Mtwara.

“Wasafi Festival ni Tamasha Kubwa Halijawahi Tokea Tanzania”-Afande Sele

Msanii mkongwe wa Muziki wa Bongo fleva nchini Afanse Sele ameibuka na kuweka wazi kuwa hivi sasa hakuna msanii mkubwa Kama alivyokuwa Diamond na hivyo tamasha lake la Wasafi Festival ndio litafunika.

Suala hili limekuja kutokana na sakata linaloendelea kupamba moto hivi sasa la mabishano ya Nani zaidi kati ya Wasafi Festival na Tamasha la Clouds la Fiesta.

Kwenye mahojiano aliyofanya na kituo kimoja cha habari, Afande Sele ameibuka na kusema hivi sasa Tamasha kubwa sana Tanzania ni Wasafi Festival na halina mpinzani kumaanisha Fiesta linakalishwa na Wasafi.

Unajua hivi sasa Wasafi ndio Real Madrid ya Tanzania ndio tamasha bora  na linaonekana kuja kuwa kubwa kuliko yote kwaiyo kushiriki katika tamasha la Wasafi ni fahari na pia naunga mkono juhudi za wadogo zetu ambao wameamua kukata minyororo ya watu waliokuwa wanatufanya watumwa na kutunyanyasa kwaiyo Wasafi ndio mapinduzi ya burudani kwanza inaongozwa na wasanii wenyewe”.

Lakini pia Afande Sele amewatolea Povu zito Clouds Fm na kuwatolea tuhuma za kutumia nguvu zao na cheo chao kuwanyanyasa wasanii na kuwataka wafanye vile wanavyotaka wao.

“Wasanii Kuweni na Misimamo na Hata Mnapotakiwa Tajeni Dau Manalolitaka”-Diamond Platnumz

Msanii wa muziki wa Bongo fleva na CEO wa WCB Diamond Platnumz ameibuka na kuwataka wasanii kuwa na msimamo na kuchagua malipo yanayoweza kuwafaidisha wao na familia zao.

Maneno hayo yamekuja ikiwa ni muendelezo wa mivutano kati ya Wasafi na Clouds Fm ambapo Diamond na timu yake nzima wamekuwa wakimtuhumu Ruge ambaye ni Mkurugenzi wa Clouds kwa kuwanyonya na kuwaonea wasanii.

Baada ya mvutano wa muda mrefu na majibizano yao ya siku mbili hizi kuchochewa na shoo zao zitakazofanyika jumamosi ambapo Fiesta mwaka huu imeweka wasanii wengi ambao ni wakongwe na Wasafi wanaamini wamefanya hivyo Baada ya kuwapa changamoto.

Kupitia ukurasa wake wa Twitter, Diamond amewndelea kuwatupia vijembe Clouds na kuandika haya:

Usipomshirikisha Diamond Utamshirikisha Nani :-Lavalava

Msanii wa muziki kutoka kundi la WCB lavalva amefunguka na kusema kuwa hivi karibuni anategemea kufanya nyimbo nyingine ukiaachana na ile aliyotoa hivi karibuni na wimbo huo anategemea kumshirkisha bosi wake Diamond platnumz.

Lavalva anaonekana kumsifia sana bosi wake kwa kusema kuwa katka muziki wa bongo ukifanya nyimbo usipomshirikisha Diamond utamshirikisha nani mwingine.

Akiongea na na waandishi anasema ” wimbo na Simba nitatoa hivi karibuni shida ya simba bwana wala hazoeleki kabisa na usipomshirikisha simba utamshirikisha nani mwingine kwenye muziki huu wa bongo.

Katika kundi la WCB ni lavalva pekee ndie ambae bado hajafanya wimbo na Diamond zaidi ya ule wa jibebe walioimba wakiwa wasanii wa kundi lote.

Diamond Awatupia Kijembe Clouds Fm Baada Ya Kumgeukia RC Makonda

Msanii wa muziki wa Bongo fleva na Mkurugenzi wa  WCB Diamond Platnumz ameibuka na kuwatupia kijembe Clouds Fm Mara Baada ya kumgeukia RC Makonda.

Sakata la Wasafi Festival na Fiesta limeendelea kupamba moto ambapo inaonekana live kwamba kila mmoja anataka apige tamasha kubwa kuliko mwenzake.

Kwa muda mrefu kumekuwa hakuna maelewano kati ya pande hizo mbili kwaiyo ilivyotokea uwezekano wa kuwepo tamasha kwa siku moja lakini katika Mikoa tofauti.

Diamond Platnumz amewarushia kijembe Clouds Fm kwa kusema wameomba poo kwa mlezi wao akimaanisha Paul Makonda Baada ya kuonekana akilitangaza tamasha hilo na kuwataka watu wajae siku ya tukio.

Inafahamika kwamba mlezi wa Wasafi ni mkuu wa mkoa wa Dar Es Salaam Paul Mkonda hivyo baada ya jana Clouds kumtumia Makonda katika moja ya video akiongelea inshu ya Ruge na kwamba yeye mwenye atakuwepo Fiesta imekuwa habari nyingine tena.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Diamond ameandika:

Diamond Aiangukia BASATA Aomba Japo Kuperfom ‘Mwanza’ Stejini

Msanii wa muziki wa Bongo fleva na CEO wa WCB Diamond Platnumz ameibuka na kuiomba ruhusa Baraza la Sanaa kutumia wimbo wake walioufungia wa Mwanza kuperfom stejini.

Wiki chache zilizopita wimbo wa ‘Mwanza’ ulitoka lakini mara moja BASATA waliufungia wimbo huo kwa madai ya kukiuka maadili ya Kitanzania kwa kubeba ujumbe wenye lugha ya matusi.

Lakini Diamond Platnumz amefunguka na kuwaomba Basata kuutumia wimbo wao ba Rayvanny wa Mwanza kwenye tamasha lao la Wasafi Festival 2018.

Kupitia ukurusa wake wa Instagram Diamond ameandika hayo.

Wasafi Festival Kuwashusha Wizkid na Mr. Eazi

Mkurugenzi wa WCB Diamond Platnumz amethibitisha ujio wa staa wa muziki kutoka Nigeria  Wizkid kwa ajili ya kuperfom katika tamasha la Wasafi Festival.

Diamond Platnumz  amethibitisha hilo kupitia ukurasa wa Instagram baada ya ku-comment kwenye post ya Rayvanny ambayo alipost video fupi ikiwaoyesha Diamond na Wizkid muda mfupi baada ya kumalizika kwa tamasha kubwa la muziki la One African Music Festival lililofanyika Dubai wikiendi iliyopita.

Kwenye video hiyo Diamond alithibitisha kuwa atamshusha msanii huyo mkubwa Afrika kwenye tamasha hilo litakalofanyika Dar Es Salaam baada ya kuzunguka mikoa mingine.

Lakini pia na msanii Harmonize ameamua kuweka wazi meseji zake alizokuwa anawasiliana na msanii kutoka Nigeria akiomba kuja kushiriki angalau katika moja ya tamasha la Wasafi Festival Tanzania.

Diamond Ana Mapungufu Lakini Tunayavumilia :-Lavalava

Msanii kutoka katika kundi la WCB lavalva amefunguka na kusema kuwa Diamond ni bosi wao na amaekuwa akifanya nae kazi lakini diamond ni moja ya  mabosi ambao wana changamoto kubwa kwa sababu mpaka akubali kupokea nyimbo yako na kukubali kuitoa inachukua muda mrefu sana kuikagua kwa sababu anataka wasanii wake waweze kushindana vizuri katika soko la muziki.

Lavalava ambae ametoa wimbo mpya unaitwa nitake nini anajinadaa vyema kabisa kwa ajli ya wasafi Festival wiki hii huku wakiamini kuwa wazo hilo la bosi wao ni zuri kwa sababu linawasaidia kupanua wigo wao wa muziki.

Lavalva anaendelea kusema kuwa kuna ugumu sana kuishi ndani ya WCB kama mwanamuziki kwa sababu kuna ushindani mkubwa sana wa ndani kwa ndani baina ya wasanii wenyewe ili kupata wasanii wazuri na kutoharibu jina la kundi.

kwaio Diamond ana mapungufu yake pia lakini ana kazi kubwa sana ya kutuelimisha na kutufundisha  kwamba tusiyachukulie poa hayo mambo kwa sababu yanamadhara yake pia, 

Akiongea kuhusu Alikiba kutaka kudhamini  tamas ha lao kupitia kinywaji anasema kuwa hajui kuhusu swala hilo kwa kuwa na yeye amekuwa akilisikia tu lakini kama kweli hilo ni jambo zuri kibiashara.

Fid Q Awaomba Radhi WCB Baada Ya Mgogoro Wa Wasafi Festival na Fiesta

Mwanamuziki wa hop hop nchini Fid Q ameibuka na kumuandikia ujumbe wa kumuomba radhi meneja wa Diamond Platnumz, Babu Tale mara Baada ya mgogoro wao.

Sakata hilo kati ya Fid Q na Wasafi lilianza maraa Baada ya Fid Q kuamua kufanya shoo kwenye Fiesta ya Clouds na kukataa kufanya shoo Wasafi Festival siku ya jumamosi tarehe 24.

Baada ya kufikia uamuzi wa kufanya show Fiesta alifanya tangazo la Tigo Fiesta ambalo linasambaa mtandaoni akitafsirikiwa kwamba alitupa dongo kwa Wasafi Festival.

Kupitia video hiyo, Fid alisikika akisema “Yani nyinyi mnataka kusubiri watu wafanye halafu na nyie mfanye, kawambie acheni upumbavu ni moja kubwa” kauli ambayo ilitafsiriwa ni dongo kwa kwambi hiyo.

Baada ya sintofahamu hiyo Fid q aliamua kutoa kauli yake huku akiomba radhi wa WCB kama walimtafsiri vibaya kwani hakuwa na nia ya kuwarushia vidongo.

PART 1: Nimeonelea si vibaya nikifungua hiki kigazeti changu na sentensi hii—-.> “ Keki ya taifa ni kubwa sana na ina vipande vingi vya kuwatosha wachakarikaji wote wenye kuistahiki “

Na kwakua Allah ndio mtoaji riziki, mimi kama mimi sina hayo mamlaka au hata hiyo roho mbaya ya kutamani wachakarikaji wenzangu mkwame ktk harakati zenu, ninasema hivi ni kwasababu siku zote huwa siamini kama nitapungukiwa kitu nyinyi mkifanikiwa, na siamini hivyo kwasababu ninajiamini mimi ni mchakarikaji na kipande changu cha KEKI bado kipo mezani kinaningojea ( cha muhimu ni PUMZI na DUA tu ).. ni ukweli tupo kwenye tasnia moja na kila mmoja wetu anajaribu kufanya lile alionalo sahihi ili kusogea mbele, na iko wazi mmeshafanya na mnaendelea kufanya mengi makubwa, nami bila kusita siku zote nimekua ni mtu wa kuwapongeza iwe kwa njia ya mitandao au tukutanapo ana kwa ana.. mie hufanya vile kiroho safi pasina chembe yoyote ya unafiki. ••••••••••••
Nimeyasema hayo hapo juu ili tu uweze au muweze kupata picha halisi ya kilichomo moyoni mwangu na pia kuwakumbusha ya kwamba mimi pia ninao uhuru wa kufanya shughuli zangu za sanaa na yeyote ambaye nimeridhia nae kimaslahi pasina kujali kama jicho la pembeni yangu linaiona faida iliyopo au laah.. sioni ni busara kwa nyie kuja na kujaribu kunipangia yupi nifanye nae au yupi nisifanye nae ili kuwaridhisha machoni/ mioyoni mwenu.. na kama mnaamini ni haki yenu ya msingi mimi kuyafuata hayo matakwa yenu basi naomba nikujuzeni ndugu zangu mtakua mmeonyesha UBINAFSI wa hali ya juu kwenye hili.. pia kumbukeni mimi pia nishawahi kuwa na matatizo na MJENGO.. lakini nilijikuta ninapambana peke yangu hadi UTULIVU uliporejea pasina msaada wa mtu yeyote.. na sikupambana peke yangu kwasababu hamkua na taarifa, taarifa mlikua nazo lakini ninafikiri mlikua mmetingwa na shughuli zenu za ujenzi wa taifa kiasi kwamba hamkuona kama kuniongezea nguvu ingesaidia lile zoezi kuisha haraka.. amini msiamini sijawahi kumuwekea mtu yeyote kinyongo kwenye hilo, na hiyo kitu ilinifunza sana juu ya suala zima la KUJIPAMBANIA MIE MWENYEWE kwenye situation yoyote ile na KUTOKUPIGANA VITA NISIYOIJUA au ISIYONIHUSU.

PART 2: Yote na yote.. Kiukweli yale maneno ya kwenye promo ya “MOJA KUBWA” sikutegemea kama yangekua na uzito huu uliopelekea ndugu yangu uchafukwe kiasi cha kunifungulia bomba la matusi humu insta.. kwanza sikumbuki hata kama niliyatamka kwa nia ya kuleta msigishano huu.. Lakini kama kweli nimewakwaza… Naomba mnisamehe kibinadamu kwa hilo ,naomba tumuache SHETANI apite na mwisho naomba nimalize kwa kusema.. BURUDANI sio VITA <hivyo ninawatakia kila la heri/ MAFANIKIO ya hali ya juu ktk MAPINDUZI YA BURUDANI huko MTWARA.. KEKI YA TAIFA NI KUBWA SANA NA INA VIPANDE VINGI VINAVYOTOSHA KUMFIKIA KILA ANAYESTAHIKI KWA KUDRA ZAKE MUWEZA WA VYOTE…. MAULID NJEMA ??”.

 

WCB Watangaza Mdhamini Wa Wasafi Festival, Ali Kiba Atupwa Kule

Msanii wa Bongo fleva na CEO wa WCB Diamond Platnumz ametangaza kinywaji rasmi kitakacho dhamini Tamasha la Wasafi Festival linalotegemewa kuanza tarehe 24 November.

Mpaka siku ya jana ilikuwa inaaminika kwamba Ali Kiba kupitia kinywaji chake cha Mo Faya ndio watakuwa wadhamini rasmi wa Wasafi Festival hii ni Baada ya Diamond kukubali mwaliko wa Ali Kiba kudhamini tamasha hilo.

Siku mbili zilizopita Diamond alitangaza kuwa kinywaji Fulani ndio kitadhimini kinywaji hiko ambapo kupitia ukurasa wake wa Twitter aliandika:

Management imenambia kuna Kinywaji kesho kinaingia Rasmi onboard kama Mdhamini Mkuu wa #WasafiFestival2018 …Labda nikitaarifu tu kuwa kijiandae kutengeneza Storck za kutosha maana sio tu kunywewa, bali hata wengine watataka kukiogea kwa promo ntayokipa…. “.

Lakini jambo hilo limekuwa tofauti kwani usiku wa jana Diamond ametangaza kuwa kinywaji rasmi kutakacho dhamini Tamasha la Wasafi Festival ni Pepsi ambapo kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika:

https://www.instagram.com/p/BqNo1pehxso/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=irbye9kwk5xm

Mpaka sasa bado haijajulikana Kama Ali Kiba Kupitia Mo Faya bado atadhamini tamasha hilo au ndio basi katupwa kule lakini hawajatoa mrejesho wowote.

“Kukua Kwa Sanaa Haimaanishi Lazima Wasanii Waimbe Matusi, Tubadilike”-Mwana FA

Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo fleva anayetamba kwa miondoko yake ya kuchana Mwana FA amesema kuwa kukua kwa sanaa nchini sio lazima wasanii watunge nyimbo zenye maudhui machafu au video zenye muonekano mbaya kwenye jamii, bali ni kufanya kazi kwa bidii na kwa kufuata kanuni na sheria.

Mwana FA amefunguka hayo alipokuwa anaongelea sakata linalokamata headlines hivi sasa la Wimbo wa Rayvanny na Diamond kufungiwa kutokana na kudaiwa kukiuka maadili ya Kitanzania.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Bongo 5, Mwana FA alifunguka haya zaidi:

Mimi napenda kuwashauri wasanii kuwa wanapotoa kazi zao wahakikishe wanatoa nyimbo ambazo zitaburudisha Lakini pia zisivuke mipaka ya kuharibu jamii kwasababu ukuaji wa Sanaa sio lazima wasanii watukane kwenye nyimbo au wawe uchi kwenye video zao hapana tubadilike kuna njia nyingi sana zilizo kwenye maadili”.

Mwana FA amesema hayo jana Novemba 14, 2018 muda mfupi baada ya kutoka BASATA ambako alienda kuwaombea msamaha wasanii wa WCB, Diamond na Rayvanny kuhusu kufungiwa wimbo wao wa Mwanza

Hawa Atoa Shukrani Zake Kwa Diamond na WCB Baada Ya Kumaliza Matibabu

Msanii wa Bongo fleva Hawa Said maarufu kama Hawa ntarejea wa Diamond amevunja ukimya Mara Baada ya kumaliza matibabu nchini India na kumshukuru Diamond na WCB.

Msanii Diamond Platnumz na timu nzima ya WCB ndio ilisimamia matibabu yote ya Hawa mpaka anapiga kabisa Baada ya kuugua mpaka kutaka kufa miezi michache iliyopita.

Mrembo huyo amemshukuru Mungu pamoja na Watanzania kwa dua zao kwani mpaka sasa anaendelea vizuri na uvimbe wa tumbo umeondoka kwa asilimia kubwa.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Babu Tale ameweka wazi salamu kutoka kwa Hawa:

https://www.instagram.com/p/BqM4FSDlEiw/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=1ex61xjcr1qbp

Awali msanii huyo wa kike aliripotiwa kuumwa ugonjwa wa ini lakini alipofanyiwa vipimo nchini India walimkuta na ugonjwa wa moyo.

Mwana Fa Awaombea Msamaha Wasafi

Hamisi Mwinjuma maarufu kama Mwana FA ambaye pia ni Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), leo amefika katika ofisi za Baraza hilo kuwaombea msamaha WCB.

Juzi, Basata waliwalima WCB adhabu ya Sh. Milioni 9 kutokana na wimbo wa ‘Mwanza’ uliofanywa na Ray Vanny akimshirikisha Diamond Platinumz. Pamoja na adhabu hiyo, Basata waliufungia wimbo huo kutopigwa kwenye vituo vya runinga na redio. Pia, iliwataka WCB kuuondoa wimbo huo kwenye YouTube na kutoutumia katika matamasha yoyote.

Akizungumza muda mfupi baada ya kumaliza kikao na watendaji wa Baraza hilo, Mwana FA amesema kuwa amewaombea msamaha WCB na kwamba anaamini adhabu hiyo itapunguzwa, ingawa sharti la kwanza ni kwa uongozi wa lebo hiyo ya muziki kuandika barua ya kuomba radhi.

Mimi nilichofanya ni kuwaomba watendaji wa Baraza, kuona hii adhabu tunaweza kufanya nayo nini isiwaumize. Pengine kuna makosa labda yamefanyika lakini tuone namna ambavyo tutawaadhibu bila kuwaumiza,” alisema FA.“Watendaji wamenielewa na wamesema kwamba uongozi wa Wasafi na wasanii wao wanatakiwa kuandika barua kuomba radhi na kupunguziwa adhabu. Na ninaamini adhabu haitakuwa kama ambavyo imetolewa jana,” aliongeza.

Msanii huyo ambaye ni miongoni mwa wasanii wawili pekee wanaounda Bodi ya Wakurugenzi ya Basata, alisisitiza kuwa alienda kuwaombea msamaha wasanii hao kama mtu binafsi na msanii lakini sio kama mjumbe wa Bodi.

Alisema kuwa Watendaji wa Baraza wana mamlaka ya kutoa adhabu hiyo bila kuingiliwa na mtu yeyote na kwamba suala hilo lingeifikia Bodi endapo tu wasanii walioadhibiwa wangeamua kukata rufaa

Diamond Awaomba BASATA Waruhusu Wimbo Wao Upigwe Muda Wa Usiku Watoto Wakiwa Wamelala

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Diamond Platnumz ameibuka na kuliangukia Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) liruhusu japo wimbo wao na Rayvanny upigwe usiku watoto wakiwa wamelala.

Siku ya jana Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) lilitangaza kuufungia wimbo huo kwa madai ya kukiuka maadili ya Kitanzania kutokana na maneno yaliyoimbwa kwenye nyimbo hiyo.

Diamond ameibuka na kulalamikia uamuzi huo wa BASATA na kuwaomba wafikirie na kutafuta njia ya kuiacha nyimbo hiyo kuendelea kupigwa kwenye kumbi za starehe na ipigwe mida ya usiku watoto wakiwa wamelala Lakini pia ameomba wimbo huo urudishwe kwenye mtandao wa YouTube.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Diamond ameandika:

https://www.instagram.com/p/BqHLwGaFvfE/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=1j577yw2ugopk

https://www.instagram.com/p/BqHM7WhlEou/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=retbexv8i8mf

 

Rayvanny Afunguka Baada Ya Wimbo Wake na Diamond Kufungiwa na BASATA

Msanii wa muziki wa Bongo fleva kutoka katika label ya WCB Rayvanny amefunguka kwa Mara ya kwanza tangu wimbo wake wa ‘Mwanza’ aliomshirikisha Diamond Platnumz kufungiwa.

Siku ya jana Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) lilitangaza kuufungia wimbo huo kwa madai ya kukiuka maadili ya Kitanzania kutokana na maneno yaliyoimbwa kwenye nyimbo hiyo.

Rayvanny ameibuka na kulalamikia uamuzi huo wa BASATA na kusisitiza kuwa haikuwa maana yao kuimba matusi katika wimbo huo Bali ni Sanaa iliyotumika na kupelekea watu mawazo yao kufika huko.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Rayvanny ameandika:

https://www.instagram.com/p/BqG9rwonTtl/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=mo32cxhbwmsv

https://www.instagram.com/p/BqG-WAGHFKG/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=109chbj8a1coh

Queen Darleen Ajibu Tetesi Za Mama Yake Kufungwa China Kisa Madawa

Msanii wa muziki wa Bongo fleva na First Lady wa WCB Mwanahawa Abdul maarufu kama Queen Darlene amefunguka na kukana tetesi za mama yake kuwa kifungoni nchini China.

Miezi michache iliyopita kuna tetesi zilisambaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa mama yake Mzazi na Queen Darlene amekamatwa nchini China Baada ya kukutwa na madawa ya kulevya na hivyo yupo jela akisota.

Katika mahojiano aliyofanya na Global Publishers juu ya ishu hiyo, Darleeen aliweka wazi kuwa, aliposikia hata yeye alishtuka na kwamba ni uvumi tu kwani mama’ke yupo hapa nchini na hapendi mambo ya mitandao.

Mama yangu kafungwa China? Niliposikia nilishangaa sana kwani mama yangu yupo na mtu akitaka anione nimpeleke nyumbani”.

Licha ya Queen Darlene kuwa na mama tofauti na msanii mwenzake na kaka yake Diamond Platnumz lakini Wana baba mmoja ambaye ni Mzee Abdul Juma.

Babu Tale Aweka Wazi Hali Ya Kiafya Ya Hawa Kwa Sasa

Meneja wa staa wa Bongo fleva nchini Diamond Platnumz, Babu Tale ameweka wazi kuwa Mwanadada Hawa Saidi ambaye alikuwa anatibiwa nchini India anaendelea vizuri.

Hawa alikuwa na tatizo la ini ila ni moyo ndio uliokua unapelekea mgonjwa kujaa maji mwilini na Babu Tale ndio alipewa jukumu la kusimamia matibabu yake nchini India kwa kuwa gharama zote za matibabu alizitoa Diamond Platnumz.

Hawa alikuwa na tatizo la ini ila ni moyo ndio uliokua unapelekea mgonjwa kujaa maji mwilini na Babu Tale ndio alipewa jukumu la kusimamia matibabu yake nchini India kwa kuwa gharama zote za matibabu alizitoa Diamond Platnumz.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Babu Tale amesema wazi kabisa kwa sasa Hali ya Hawa inaridhisha kabisa tofauti na siku chache zilizopita kabla ya kupata matibabu:

Diamond aliweka wazi kuwa ametumia zaidi ya milioni 490 kumtibia Hawa ambaye miezi michache iliyopita alikuwa hoi kitandani nchini Tanzania.

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.