Esma Platnumz-Siwezi Tena Kumshauri Mama Yangu

Dada wa staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz, Esma Khan maarufu kama Esma Platnumz amefunguka na kuweka wazi kuwa hawezi Tena kuwa mshauri wa mama yake Bi Sandra maarufu kama Mama Diamond.

Familia ya Diamond inafahamika sana Kwenye mitandao ya kijamii kwa kupendelea kuanika mambo yao Kwenye mitandao ya kijamii lakini sasa Esma amepasua kuwa yeye ndiye alikuwa mshauri mkubwa wa Mama yake.

Kwenye mahojiano na Global Publishers, Esma ameweka wazi kuwa kwa sasa amestaafu rasmi kumpa ushauri mama yake kwani nafasi hiyo imezibwa na Baba yake wa kambo.

Nilikuwa ninampa ushauri kama mwanaye maana mimi ndiye mtoto wake mkubwa, lakini kwa sasa mama ana mume wake ambaye ni Anko Shamte kwa hiyo ndiye mshauri wake, sisi tunakaa pembeni”.

 

Mbosso Afungukia Ukaribu Wake na Esma Platnumz

Msanii wa muziki wa Bongo fleva kutoka katika Label ya WCB anayefanya vyema na ngoma yake ya ‘Hodari’ Mbosso amefunguka na kuelezea uhusiano wake na Dada wa CEO wa WCB Diamond Platnumz, Esma Platnumz.

Mbosso na Esma wameonekana kuwa na ukaribu sana hasa Kwenye mitandao ya Jamii ambapo wamekuwa waki piga picha mara kwa mara na kuzirusha mtandaoni.

Kwenye mahojiano na waandishi wa Habari, Mbosso amesema Esma ni mshikaji wake sana na huwa wanaimba wote baadhi nyimbo na mara nyingi humfundisha kuimba pia hufikia kipindi hadi anamshawishi na yeye aweze kuimba yaani ajiingize kwenye mambo ya muziki.

Lakini pia mbali na kuongelea ukaribu wake na Esma lakini pia amekanusha vikali taarifa zilizokuwa zinasema kuwa yeye ana mahusiano na dada mwingine wa Diamond ambaye pia ni msanii Queen darlin,na kusema hama mahusiano nae kabisa.

 

Esma Platnumz ready to move on with another man, describes the ideal man she is looking for

Esma Platnumz and her husband Petit Man have gone their separate ways, the their marriage was dogged by infidelity on the part  her husband.

Petit Man cheated on his wife with a Rwandan woman who is now carrying his unborn baby. It’s however not the first time that Petit Man has been caught up in major scandal.

Also read: Diamond’s brother-in-law caught in Hamisa Mobeto’s snare…Romantic photos of him and her leak online (Photos)

Ready to move on

Esma Platnumz is already willing to jump into another relationship after her husband cheated on her. The mother of one described her ideal man in an interview with Refresh of Wasafi TV.

Esma Platnumz with her daughter and Wema Sepetu at her shop
Esma Platnumz with her daughter and Wema Sepetu at her shop

“Kwanza mwanaume ambaye namuhitaji ni mwanaume gentleman anayejielewa, mwenye kazi yake nzuri. Awe sio mtu wa drama na Instagram yaani awe yule mwanaume ambaye yuko straight tunapanga kufanya kitu fulani tunafanya yaani in short nataka mwanaume anayejielewaa kama mimi mwenyewe,” said Esma Platnumz.

 

 

 

 

Esma Ataja Sifa Za Mwanaume Anayetaka Kuwa Naye Baada Ya Kumwagana Na Petit

Dada wa Staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz, Esma Khan ‘Esma Platnumz’amefunguka na kutaja sifa za mwanaume anayetaka kuwa naye sasa baada ya kumwagana na mume wake Petit Man.

Siku ya jana Esma aliweka wazi kuwa yeye na Petit waliachana kipindi kirefu kidogo na kisa cha kuachana kikiwa ni Mumewe kuzidisha kuwa na michepuko.

Kwenye mahojiano na kipindi cha Refresh cha Wasafi Tv, Esma ameweka wazi kuwa yeye ndio alimuacha Petit na kabla hajamuacha alimfuata mama yake na kumwambia matatizo ya Mumewe na kukiri kuwa mama yake alimsema sana.

Lakini pia amesema hivi sasa anatafuta nyumba ya peke yake ili aweze kuanza maisha mapya peke yake na pia ametajwa sifa za mwanaume ambaye atapenda kuwa naye Kwenye Mahusiano kwa sasa:

Kwanza  mwanaume ambaye namuhitaji ni mwanaume gentleman anayejielewa, mwenye kazi yake nzuri, Awe sio mtu wa drama na Instagram yaani Awe yule mwanaume ambaye yuko straight tunapanga kufanya kitu fulani tunafanya yaani in short nataka mwanaume anayejielewaa kama mimi mwenyewe”.

 

Diamond’s sister Esma Platnumz confirms her marriage is over after husband impregnates Rwandan woman

Esma Platnumz and husband Petit Man have gone their separate ways, Diamond sister confirmed the breakup days after rumors emerged online that her husband was cheating on her.

The rumor was started by Mange Kimambi, a Tanzanian activist living in the US, who clashed with Wema Sepetu after the voice note of Hamisa Mobetto consulting a witch doctor leaked.

According to Mange, Esma’s marriage has been on rocks since her husband started fooling around with a woman of Rwandan origin. This was proven by a few audio recordings between Petit and the Rwandan woman whom he has already impregnated.

We parted ways long ago
Esma Platnumz with her husband and daughter during good times
Esma Platnumz with her husband and daughter during good times

Speaking during an interview on Wasafi TV, Esma Platnumz revealed that her husband and her parted ways long before the voice notes were leaked.

“Kingine ambacho hawakijui mimi na Petit tuliachana muda mrefu hata zile voice note nilivyokuja kuzisikia nilicheka sana halafu akinipigia simu,” said Esma Platnumz.

On Wednesday Petit Man addressed the issue confirming that the Rwandan woman was indeed pregnant with his baby, he said that he will take full responsibility.

 

 

Karma? Tanzanian activist Mange reveals the woman sleeping with Diamond Platnumz sister’s husband

Mange Kimambi a Tanzanian activist living in the United States is not one to mess with.

The lady who is well known for her toughness recently came to attack Esma Platnumz; revealing unknown details about her husband’s affairs. Apparently this was a tactic to defend Hamisa from the Wasafi family attacking her.

According to Mange, Esma’s marriage has been on rocks since her husband (Petit) is one who likes to enjoy other women.

This was proven by a few audio recordings between the guy and an unknown Rwandese lady he apparently impregnated.

Thanks to the audio, you can hear Esma’s husband flirting with the lady and now fans can’t get enough of the drama on Instagram.

Faiza Ally warming Esma’s bed

Apart from the unknown Rwandese lady, there is also a Tanzanian lady by the name of Faiza Ally. However, Faiza is a well known actress in Bongo and is friends with Esma.

Anyway below are photos of the lady said to be bedding Esma’s matrimonial home.

Diamond Platnumz sister’s marriage in crisis?

So word making rounds on social media is that Esma Platnumz husband has been seeing other women on the side.

This was revealed by Mange Kimambi, a Tanzanian activist who exposed the alleged affair between Esma’s husband and Faiza; a renown actress.

According to Mange, Esma has been so involved in Hamisa Mobetto’s life that she ignored her husband. For this reason, Petit found another woman who has been warming his bed.

https://www.instagram.com/p/Bnklh46FFoA/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=1lotkou870lus

Drama in Diamond Platnumz family

Since Mange shared the story on Instagram, Esma also decided to respond to address what she claims is lies.

However, this is not the first time Esma is said to have been dumped by her husband. Apparently also her mother in law has been against her union with Petit but the lady continues to deny this too.

Esma Akana Tuhuma Za Kula Njama Za Kumchafua Mobetto

Dada wa staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz, Esma Platnumz ameibuka na kuandika waraka mrefu wa kukana tuhuma zinazomkabili yeye na kama yake za kumchafua Hamisa Mobetto.

Siku mbili hizi kuna taarifa zilienea Kwenye mitandao ya kijamii kuwa Hamisa Mobetto ameenda kwa mganga wa kienyeji kwa nia ya kuwatengeenezea dawa Familia ya Diamond impende na yeye aolewe na Diamond.

Lakini kuna taarifa nyingine ziliibuka kuwa voice note ambaye Esma na Mama Diamond walisema ilikuwa ni Hamisa Akiongea na mganga ilikuwa ya uongo na inasemekana voice note hiyo ilikuwa imepikwa na Mama Diamond kwa nia ya kumchafua na kumpoteza Mobetto.

Baada ya Tuhuma hizo Esma ameibuka na kudai kwamba yeye pamoja na mama yake hawawezi fanya kitu kama hicho kwa Mobetto.

Dada bora ukae kimya halafu unapata zambi kumshilikisha Mwenyezi Mungu ktk swala km hili kuongopa vitu mbona sie wenyewe tupo Kimya au ndio mnatapatapa embu mjitulize jamani hata MUNGU HAPENDI kwani ye ndio Muamuzi plz naomba msinitungie uongo wa kijinga jinga mlichokifanya wenyewe mnakijua na nafsi zinawasuta sipendi kuniingiza ktk uongo wa kijinga msijisafishe kutaka kuchafua watu. Huyo huyo mama mnaotaka awapende kutwa mnachamba na kumtungia uongo naombeni mkitaka kuweka uongo wenu bora mniweke mimi sio mamaangu. MLICHOFANYA MNAKIJUA
#temporarypost?#mfaMajiHamuishiKutapatapa”.

Lakini pia Esma aliongeza:

Katika maisha ni vema kukaa kimya pindi ukikosea na hasa ukijua wazi kuwa nimekosea ila ukijaribu kufuta au kusawazisha kosa kupitia njia za wasiogusa maisha yako ujue kosa linazaa kosa…Ungetulia maana watu wameshiba vielelezo na ushahidi 100%”.

 

Mange Amkingia Kifua Mobetto Dhidi Ya Familia Ya Diamond Kufuatia Tuhuma Za Uchawi

Mwanaharakati wa mambo ya siasa na mdau wa mitandao ya kijamii Mange Kimambi amemkingia kifua Hamisa Mobetto baada ya familia ya Diamond kumuandama na skendo za ushirikina.

Mama Diamond na Esma Platnumz wamemtuhumu Hamisa kwa uchawi ambapo wamedai kuwa alienda kwa mganga kwa nia ya kumloga Mama Diamond na Esma ili wampende na aolewe na Diamond.

Mange ameibuka na kumtetea Hamisa dhidi ya tuhuma hizo na hata kuwatupia maneno ya shombo familia ya Diamond na Wema Sepetu ambaye pia ameonekana kumsema na kumtupia vijembe Hamisa.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Mange Kimambi ameandika maneno haya:

https://www.instagram.com/p/BnMqWQFFRTt/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=1d4duzu19snyf

Familia Ya Diamond Yamtuhumu Mobetto Kwa Uchawi

Familia ya staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz imerudi kwenye headlines kwa bifu lao na mzazi mwenza wa Diamond, Hamisa Mobetto.

Bifu la Hamisa na Familia ya Diamond lilianza baada ya Hamisa kuzaa na Diamond ambapo Hamisa alisambaza picha zake na Diamond na hata kuwaitia Shilawadu Mama Diamond na Esma.

Mama Diamond na dada wa Diamond, Esma wamekuwa wawazi juu ya chuki yao kwa Hamisa lakini siku mbili hizi pande Hizi mbili ziliingia kwenye mzozano mkali kwenye mtandao wa kijamii.

Mama Diamond na Esma wamemtuhumu Hamisa kwa uchawi ambapo wamedai kuwa Hamisa alienda kwa mganga kwa nia ya kumloga Mama Diamond na Esma ili wampende na aolewe na Diamond.

Inasemekana kuwa kuna voice note ambayo Hamisa alirekodiwa na mganga akiwa anaongea na kwa kuwa mganga huyo anafahamiana na Mama Diamond basi akamtumia.

Esma, Mama Diamond na Wema wameonekana kumtupia vijembe Hamisa kwa tuhuma za uchawi:

Hamisa hajakana wala kukubali tuhuma hizo za uchawi lakini kuna baadhi ya mashabiki zake wamekuwa wakidai kuwa skendo hiyo imetengenezwa na Mama Diamond na Esma ambao wamefoji Voice note.

“I would end her singing career if I were to drop my own music!” Diamond Platnumz sister throws shade at Hamisa Mobetto

Esma Platnumz and Hamisa Mobetto’s story is that of two good friends who no longer see eye to eye. For about a year now the two former friends ended their friendship after Hamisa got pregnant for singer Diamond Platnumz.

Esma with Hamisa Mobetto’s son, Deedaylan

Although we never get to hear Hamisa Mobetto’s side of the story; Esma on the other hand never holds back from saying what she feels. Well, just recently the lady held an interview with Wasafi TV where she openly criticized Hamisa Mobetto’s song ‘Madam Hero.”

Her vocals are still lacking

According to Esma, Mobetto needs to get a voice coach to sharpen her singing skills. This is because apparently she fails to understand the message being passed on in the new song.

Esma went on to add that if she got a chance to just record one song…that would be the end of Hamisa Mobetto’s career. It is however not surprising since Diamond’s sister and her mum have always been out to humiliate the young lady who is said to have ruined Diamond and Zari’s relationship. Watch the interview below.

https://www.instagram.com/p/BnCJOoDDWS3/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=f23elv1c1r6e

Esma- Sina Ubaya na Hamisa Akitaka Tuongee Tutaongea

Dada wa Staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz, Esma Platnumz amefunguka na kuweka wazi uhusiano wake na mzazi mwenzake na kaka yake Hamisa Mobetto.

Siku za nyuma Hamisa na Esma walikuwa mashoga wakubwa sana lakini urafiki huo uliingia doa mwaka jana baada ya Hamisa kumtangaza Diamonf kama Baba wa mtoto wake ndipo matatizo na Familia ya Diamond yalipoanzia hapo.

Mpaka leo hii kuna sintofahamu bado kati ya Hamisa na Familia ya Diamond lakini Esma anafunguka na kuweka wazi kuwa hana bifu na Hamisa na kama akitokea kutaka kuongea naye basi yeye kwake ruksaa moyo mweupe.

Kwenye mahojiano na Kipindi cha Refresh cha Wasafi Tv, Esma ameweka wazi kuhusu hali yake ya Mahusiano na Mobetto:

Hamisa alikuwa akikosea mimi nilikuwa namsema kwa sababu mimi sina ubaya na mtu na ninaongea na mtu yoyote na Hamisa akitaka tuongee tutaongea yaani mimi naongea na watu wote”.

Esma pia alifunguka kuhusu mtoto wa Hamisa Dylan ambaye amekuwa akionekana naye sana siku za hivi karibuni:

Sisi hatuna tatizo lolote na mtoto halafu yule ni mtoto halafu pia ni damu yetu kwaiyo tu nampenda”.

Lakini pia Esma amemtupia Dongo Hamisa kuhusiana na wimbo wake alioachia hivi karibuni wa Madam hero kudai ni wimbo wa kusikitisha sana na akiongia yeye studio atamtupa mbali.

 

“Just forgive us, I’ve passed away” Diamond’s sister changes Instagram post from English to Swahili after being trolled for poor English

Most Tanzanians can’t communicate in English because Swahili is the main national language. Diamond Platnumz and his Wasafi family sought the help of an English tutor to help them speak the Queen’s language.

Also read: “Diamond was very smart, Harmonize was a slow learner” Meet tutor who taught Diamond and Wasafi family how to speak English

Diamond’s beautiful sister Esma Platnumz however still finds it hard to communicate in English. The mother of one was forced to pull down Instagram post she had written in English after being trolled.

English to Swahili

Esma rewrote her caption in Swahili after trolls made fun of the caption she wrote in English;

https://www.instagram.com/p/Blm9eB2gFrQ/?

 

 

 

“Hatuna shida naye, hatuna time naye” Diamond’s sister shreds Hamisa Mobetto, supports brother’s decision to wear women’s bracelet

Diamond Platnumz sparked public uproar when he was seen wearing ankle bracelet. Critics quickly concluded that the singer was exhibiting signs of homosexuality.

The Bongo star was forced to address claims of homosexuality during an interview with Global Publishers. He explains that he innocently wore the ankle bracelet because he thought it was fancy and not because he is gay.

Also read: “Ata Cristiano Ronaldo na Michael Jackson walihusishwa na ushoga” Diamond responds to claims he’s outright gay

Diamond’s sister Esma Platnumz however believes all those people who reprimanded her brother for wearing ankle bracelet are primitive.

“Mtu kuvaa kikuku ni fashion, wenzetu wanavaa, tunaenda na fashion. Mimi nahisi ni washamba, mtu mshamba ndo anaweza discuss kuhusiana na vikuku,” said Esma Platnumz.

https://www.instagram.com/p/BlsvUjol803/?

Hamisa Mobetto

Esma Platnumz also talked about Hamisa Mobetto, she stressed that their family has no issue with her neither do they give a damn about her.

“Sisi hatuna time naye, hatuna shida naye wala hatuna story naye. Ndo maana hata tukicomment hatumtag mtu. Saa nyingine tabia za mama mtu zinawezachangia mtoto zikakumdhuru,” said Esma.

https://www.instagram.com/p/BltKlW2nX_F/?

 

 

Diamond’s sister a terrible cook? Esma Platnumz’s husband addresses claims his wife sucks at cooking

Hamad Manungwa popularly known as “Petit Man” has stepped forth to address claims on social media that his wife Esma Platnumz is a terrible cook.

Netizens claimed Esma doesn’t know how to cook after Petit Man was seen in a video posted online eating futari (food eaten to break a fast) that was not cooked well.

I enjoy her food
Esma Platnumz with her mother Sanura Sandra
Esma Platnumz with her mother Sanura Sandra

Petit Man asserts that his wife is a good cook. He explains that the futari he was seen eating in the video was not cooked by Esma Platnumz.

“Unajua mimi sibishani hata siku moja na watu wa mitandaoni kwa sababu najua wazi sio mke wangu aliyepika ile futari. Akipika yeye chakula kinakuwa cha uhakika, nikila nasikia raha hadi najivunia kumuoa, hao wanaosema Esma hajui kupika, wana lao jambo,” said Petit Man.

Petit Man with his daughter and wife Esma Platnumz
Petit Man with his daughter and wife Esma Platnumz

 

 

 

Petit Man Ayatetea Mapishi Ya Mke Wake Esma

Hamad Manungwa maarufu kama Petit Man ameibuka na kumkingia kifua mke wake Asmah Khan ‘Esma Platnumz’ baada ya kutuhumiwa Kwenye mitandao ya kijamii kuwa hajui kupika.

Siku chache zilizopita Esma aliposti picha ya chakula alichomuandalia mume wake kama futari lakini mambo yaligeuka kwani mashabiki walimjia juu na kumsema hajui kupika.

Lakini Petit ameibuka na kusema wote wanaotokwa na maneno kuwa mke wake hajui kupika hawajui wanachokiongea kwani yeye ndio anajua anapikiwa nini kila siku.

Petit alifunguka hayo Kwenye mahojiano aliyofanya na Global Publishers ambapo alizidi kufunguka:

Unajua mimi sibishani hata siku moja na watu wa mitandaoni kwa sababu najua wazi sio mke wangu aliyepika ile futari. Akipika yeye chakula kinakuwa cha uhakika, nikila nasikia raha hadi najivunia kumuoa, hao wanaosema Esma hajui kupika, wana lao jambo”.

Baada ya Tuhuma hizo kuzidi Esma aliposti chakula kingine huku akisisitiza kuwa chakula watu walichokiona hakupika yeye.

 

Diamond faults his sister Esma Platnumz for fueling the hate his family has towards Hamisa Mobetto

Esma Platnumz recently told Dizzim Online that her brother Diamond Platnumz has only dated two women; Wema Sepetu and Zari Hassan. She also blamed Diamond for the breakup with Zari.

Esma sentiment was a direct jibe at Hamisa Mobetto, in another past interview she boldly stated that she was no longer friends with Hamisa.

L-R: Esma Platnumz, Sanura Sandra and Hamisa Mobetto during good times
L-R: Esma Platnumz, Sanura Sandra and Hamisa Mobetto during good times

Esma also took to social media to tell Zari Hassan that her brother was dearly missing her. She claims Diamond has lost weight ever since Zari broke up with him.

“Wifi yangu wa Kimataifa nishakumiss leo kweli lile fumbo thamani ya mtu akiwa hayupo ndio ninapouona.? Sio mimi bali Stress kuna mtu amekonda huku Nuru hana tena… ?,” wrote Esma.

https://www.instagram.com/p/BjepZJwnqh7/?

Diamond reacts

Diamond called out Esma over her statement during the interview with Dizzin Online. The ‘Iyena’ hit maker complains that his sister does not recognize Hamisa Mobetto yet she came with her to his birthday back then when they were still best friends.

“Unajua Bado nakutafakari, Hivi dada angu ile interview yako ya jana, ni Swaumu ilikuwa kali ukaamua umalizie Hasira zako kwangu ama????…. Maana kusema Pengine Ulilewa kwa mwezi huu mtukufu Hapana….Yani jana, kama sio wewe vile uliyekujaga na Hamisa kwenye Birthday, na 40 ya Nillan na sare Mkashona, na kutunza juu….Dah Mungu anakuona???,” wrote Diamond.

https://www.instagram.com/p/Bjg5AJtHtAA/?

This is why Diamond’s sister Esma Platnumz spent a night in police cell 

Diamond Platnumz’s sister Esma Platnumz spent Saturday night in police custody. The mother of one found herself on the wrong side of the law after she was found in possession of banned cosmetics.

For starters, Esma owns a beauty shop in Dar es Salaam. She was arrested after Tanzanian Food and Drugs Authority (TFDA) raided her shop.

Esma Platnumz at her beauty shop
Esma Platnumz at her beauty shop

TFDA apprehended Esma for selling cosmetics that have been banned for being harmful to consumers. She was taken to Mabatini police station where she was locked up until Sunday.

6-hour negotiation

Diamond’s mother Sanura Kassim spend six hours at Mabatini police station trying to negotiate Esma’s release. Police however turned down her pleas leading to a heating verbal exchange, they even threatened to lockup Sanura together with her daughter.

Esma Platnumz with her mother Sanura Sandra
Esma Platnumz with her mother Sanura Sandra

Esma was finally released on Sunday morning after a case was filed against her, number KJM/RB/4427/2018. She will now have to argue her innocence in court.

 

 

 

 

 

 

 

Esma- Wema Ndio Ana Mapenzi Ya Kweli Alimpenda Naseeb Sio Diamond

Dada wa staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz, Esma Platnumz amemwagia sifa kibao aliyekuwa wifi yake Wema Sepetu kwa kudai ndio mwanamke aliyempenda kweli Diamond.

Kama utakumbuka Wema na Diamond walikuwa wapenzi kwa muda mrefu tangu Wema alipokuwa Miss Tanzania kwa kipindi hiko Diamond alikuwa ndio anaanza muziki.

 

Esma alianza kwa kumposti  Wema na  kuanza kumsifia kuwa amependeza na mavazi yake ya kinigeria ambapo kupitia ukurasa wake wa Instagram aliweka posti:

Baada ya posti hiyo kuzua gumzo baada ya Esma kuendelea kuitana wifi na Wema hata baada ya Wema kuachana na kaka yake Diamond, na Esma alifunga kazi kwa kumwagia sifa Wema huku akikiri yeye ndio wifi aliyempenda kweli Diamond kwani alianza naye mapenzi wakati hana kitu mpaka leo staa.

Wema uwifi hauishi leo wee ndio forever wiii wa kihistoria mtoto wa watu unajua kuishi ulimpenda Naseeb na sio Diamond”.

 

Pamoja na kwamba Wema aliachana na Diamond muda mrefu uliopita lakini amekuwa bado karibu sana na familia yao.

Diamond’s former photographer Kifesi hints Esma Platnumz is supplying her brother with women to bang

Diamond Platnumz has been fooling around with women even when he was still in a relationship with Zari Hassan. The singer’s former photographer claims his sister Esma Platnumz is the one supplying him with women to bang.

Diamond fell out with photographer Kifesi after he kept on poking nose into his boss’ private affairs. The singer ultimately fired Kifesi after he blasted him for cheating on Zari.

Also read: Kenyan photographer credited with taking most viral images of president Uhuru becomes Diamond’s official photographer?

Kifesi has now spilled the beans on his former boss’ philandering ways. The photographer claims Elma Platnumz is the force behind Diamond entering into casual sexual relationships with women.

Diamond and Kifesi
May karma punish you

Kifesi warns Esma Platnumz that she might face the same ordeal like Zari for what she does – supplying Diamond with women to sleep with. Esma Platnumz is a married woman, she is married to Petiman.

“Some sisters will even import & supply side chicks for the brother Karma is watching you. To those women who watch their brothers hurt other women and can’t even bother themselves to reprimand him, may someone’s brother do the same to you,” wrote Kifesi.

 

 

 

 

Nitafurahi Kama Diamond Atamuoa Wema: Esma Platnumz

Dada wa supastaa wa Bongo fleva Diamond Platnumz, Esma Khan amefunguka na kudai kuwa atafurahi endapo kaka yake atamuoa Wema Sepetu.

Tangu Diamond atangaze kufunga ndia mwaka huu baada ya kuachana na mama watoto wake na mpenzi wake wa miaka mingi Zarinah Hassan ‘Zari’ swali pekee lililopo midomoni ni mwanamke gani ambaye Diamond anaweza kumuoa.

Kwenye mahojiano aliyofanya na ‘Over the weekend’ alifunguka kuwa kwa upande wake hawezi kumchagulia mke kaka yake lakini Kama moyon wake ukiamua kurudi kwa Wema basi yeye moyoni mwake furaha zaidi.

Unajua Naseeb ndio anajua zaidi mke anayemfaa, lakini kama pia ataamua kurudi kwa Wema, mimi nitafurahi zaidi kwa sababu ni mtu ambaye tunapatana sana na ninampenda pia”.

Tangu Diamond atangaze ndoa kabla mwaka huu haujaisha kuna wanaodai atakayeolewa ni Wema wengine wanasema ni Zari na pia kuna wanaodai ni Hamisa.

“I won’t stop talking to my brother’s ex” Esma Platnumz reveals why she is still befriending Diamond’s ex girlfriends

Diamond’s sister Esma Platnumz is still good friends with Zari Hassan and Wema Sepetu. Esma asserts that her brother’s fallout with his exes doesn’t affect how she relates with his ex girlfriends.

Esma explains that Wema Sepetu and her have been friends for a long time. She says she wouldn’t compromise their friendship because Wema and Diamond broke up.

“I understand that Wema is my brother’s ex, and that doesn’t mean that I stop talking to her,” said Esma Platnumz.

Esma Platnumz, her mother Sanura and Hamisa Mobetto
Favoritism

Esma further asserts that she doesn’t favour any of Diamond’s ex girlfriends. She claims that Zari still maintains a good relationship with her despite Wema Sepetu being her friend.

“Zari knows that Wema and I were friends even before she came into the picture. I love both of them. Their relationships with my brother does not affect me at all. On the other hand, by breaking up with Diamond doesn’t mean I don’t talk to Zari. Her kids are my kids, she is family.”

Esma Platnumz with Zari Hassan

 

 

“Nlienda Disco nkiwa na mimba ya miezi 9” Diamond’s mom shocks the internet as she reveals what a party animal she was (Photos)

Diamond’s mother was the queen of the dance floor back in the days. Sanura Sandra says nothing would stop her from going to the club, not even pregnancy.

Diamond Platnumz’s mom confesses that she was a party animal during her heydays. She commemorated International Mother’s Day by sharing the secret.

Sanura says she used to go out to party even when she was pregnant. She reveals that she wouldn’t stop partying when she was carrying Esma Platnumz in her womb.

Sanura shared her old photo to prove her words. In the photo Diamond’s mother is seen with a humongous baby bump.

Sanura when she was pregnant with Esma Platnumz
9 months pregnant

Sanura reveals that she was 9 months pregnant when the photo was taken. She says that the photo was taken at a party she attended.

“Happy woman’s day..sandrah nikiwa na mimba ya miezi (9) ya @_esmaplatnumz kitambi mpaka kimeenda upande ?Hapa nilikiwa Disco Mbowe. Ikabadirishwa jina ikaitwa Bilicana,” wrote Sanura Sandra.

Sanura Sandra with her daughter Esma Platnumz

 

 

Diamond’s brother-in-law caught in Hamisa Mobeto’s snare…Romantic photos of him and her leak online (Photos)

Photos of Diamond’s brother-in-law Petitman and Hamisa Mobeto in romantic posture have stirred up all sort of imaginations ever since they surfaced on social media.

Petitman, who has married Diamond’s sister Esma Platnumz, was seen carrying Hamisa Mobeto in one of the photos which surfaced online. The photos were taken way back when Hamisa was still team dark skin.

Petitman and Hamisa Mobeto

Diamond’s brother-in-law was quick to respond to the photos explaining that the pictures had nothing to do with his current life as he was now a married man.

Petitman blasted those circulating the photos saying that they had ulterior motive; he said people were trying to drag him into a scandal he’s not involved in any way.

Petitman and his wife Esma Platnumz

“Picha zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii ni za zamani sana. Hazina uhusiano wowote na maisha yangu ya sasa au na yale yanayoendelea kuhusu Hamisa ambaye anaonekana pia katika picha hizo kwa sasa. Yeyote ambaye ameamua kuzisambaza ana nia moja tu. Kuniunganisha katika suala ambalo sihusiki na kunichafua. Mimi kwa muda mrefu niko na mke wangu mpendwa ambaye kila mtu anamjua na tuko busy kujenga familia yetu.

Petitman and Hamisa Mobeto

“Inawezekana jambo hili haliwafurahishi baadhi ya watu hivyo kuamua kusambaza picha za zamani kwa nia zao ovu. Niseme tu kwa kifupi hizo picha sio za kutilia maanani. Ni picha za zamani sana. Kwa sasa sio muda wa kuchafuana. Huu ni muda wa kila mmoja wetu kupambana kujijenga na kulea familia yake. Mimi kama baba wa familia jukumu langu ndio hilo,” Petitman wrote on Instagram.

 

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.