Newly Reappointed Tanzanian Attorney General Calls for Arrest of Exiled Activist Mange Kimambi, Sparking Online Uproar

Barely a day after being reappointed as Tanzania’s Attorney General, Hamza Said Johari has ignited a nationwide debate after demanding the arrest of exiled activist and social media influencer Mange Kimambi.

Johari accused Kimambi—who is based in the United States—of using her online platforms to incite unrest and destabilize the country, warning that Tanzanian citizens abroad are not immune from legal consequences for actions that threaten national peace.

“The law does not exempt Tanzanians living outside the country from accountability,” Johari told reporters, emphasizing that the government intends to pursue her for allegedly fueling political agitation from abroad.

The Attorney General’s remarks come amid heightened political tension and growing public discourse online, where entertainment and political conversations have increasingly overlapped.


Mange Kimambi Fires Back

In a fiery response shared on her social media pages, Mange Kimambi dismissed Johari’s statement as misplaced and politically motivated.

She accused the government of attempting to silence dissent instead of confronting deeper national issues, including alleged human rights abuses and corruption.

“Look at this fool. He’s sworn in as Attorney General today, and the first thing he wants is to extradite Mange Kimambi,” she wrote.
“You’ve killed thousands of Tanzanian youth, but you’re chasing Mange instead of the killers and those who sent them. So stupid.”

Kimambi went on to question the legality and feasibility of her extradition from the U.S., claiming there was no legal basis for such an action.

“What law have I broken for the U.S. government to hand me over to you?” she asked defiantly, adding that she would only return to Tanzania on her own terms.
“One day I’ll come back home willingly—but never by force. That will never happen.”


Rising Tension in Tanzania’s Public Sphere

The escalating war of words comes at a time when Tanzania’s entertainment industry and political landscape are both under intense public scrutiny.

Celebrities perceived to be aligning with government positions have faced social media backlash, mass unfollows, and public criticism.

Just recently, musician Ali Kiba issued an apology after a controversial post drew outrage, clarifying that he had no intention of dismissing public frustration.

Observers say the heated exchanges reflect growing unease in the country’s digital and cultural spaces, where politics, activism, and entertainment increasingly intersect—and where public opinion can shift rapidly with every viral post.

Diamond Platnumz former lover, Wema Sepetu accused of petty theft

Mange Kimambi is not one who filters her thoughts. In fact, she would rather tell you the truth than conceal it for the sake of saving a fake relationship or rather friendship.

From what I know is that she is feared for her truth; and for some reason – many celebrities including Diamond Platnumz family tend to avoid fighting with her…cause oh well, things wouldn’t end well.

Wema Sepetu with Big Ted

So far she has told off and counseled the likes of Hamisa Mobetto, Alikiba; and many others who have benefitted because of her free advice. Well, her next victim is Wema Sepetu and I’m sure mama Manunu will not be happy with what Mange Kimambi said about her.

Stop robbing people

Okay, probably the word robbing is too much to describe what Wema Sepetu has been doing with her social media pages.

But, just a few hours ago Ms Sepetu was exposed for breaching her contract with Viva Serenity; a a Kenyan company that sponsored the entire bariatric surgery so that she could loose weight.

Wema Sepetu after bypass surgery

Wanaosema ulikuwa unapendeza na unene ni washamba tu. You look amazing right now. Stay like this. Anyways, ushauri wangu, do the right thing. Do the fair thing. Fanya haki. Kumbuka hizi ni biashara za watu. Ulichowafanyia sio haki.

From what we now know is that after the surgery Wema Sepetu disappeared; and has not been picking any calls from the Viva Serenity company which facilitated for her weight loss. And clearly, she conned them.

Mange speaks

Well, turns out that this is something Wema Sepetu is used to doing to her clients. According to Mange, she once sent Wema a wig costing $200hoping to advertise it on her behalf; but after receiving the wig Wema wore it and went silent.

Speaking about her experience with the former TZ Model, Mange went on to add;

Nakwambia sababu na mimi dadako ulishawahi kunifanyia. Niliboeka kinoma ila sababu ya udada nikajikaza, sikusema kitu. Kipindi kile natuma vitu from US. Nilikutumia kinky curly Weave unitangazie. Ukasuka na ukaposti picha ila ukajikausha no mention nothing na kwenye comments uliulizwa umenunua wapi. Niliumia. Na hapo nilitumia only about $200 ila niliumia hadi maini sasa naelewa hawa waliotumia mamilioni wanajisikiaje. I’m sure hukujua hata kama nilikumaindi kindaki ndaki ndo umejua leo.

Just in case Wema thought the exposè was just for online purposes; Mange reminded her that in case Viva Serenity sues her then chances are that she (Wema) will lose.

Na waKenya walivyo watakufikisha mahakamani hao. Na utauziwa hata gari au chochote ili mradi uwalipe. Wakenya ni balaa lingine, wako makini kwenyw biashara na ndo maana walikurekodi kila kituuuuuu wakati mna sign mikataba.

Adding;

Sasa nachokushauri fanya ulichokubaliana nao. Watangazie. Kwani utapungikiwa nini? Unajiharibia brand yako for no reason. Unaonekana tapeli.

“Wewe ni mama mjinga” Activist tells Kajala after Rayvanny leaks private chats between Harmonize and Paula Kajala

Rayvanny must have been excited to come across private chats between Harmonize and Paula Kajala. So far we understand that the Konde Boy CEO is being accused of feasting on both mum and daughter; and what’s more surprising is that this was made public without thinking of the long term consequences.

According to a detailed post shared by Rayvanny – we are told that Harmonize had not only been sleeping with actress Kajala; but also with daughter, Paula Kajala.

Harmonize
Harmonize and ex bae Kajala matching tattoos

To confirm this the Wasafi singer unveiled some private chats showing how Harmonize trying to rekindle his relationship with Paula; yet he was already playing the role of a step dad.

Chat between Harmonize and Paula Kajala

Mange Kimambi steps in

While everyone is focused on embarrassing Harmonize for sleeping with Kajala and daughter Paula;activist Mange on the other hand has come out to call out actress Kajala for being the dumbest mum she has ever come across.

Harmonize’s ex girlfriend with daughter, Paula Kajala with her mum

As seen on a detailed post shared by Mange Kimambi; she tells off Kajala for ruining her daughter’s reputation all in the name of attacking ex, Harmonize.

Of course learning the Paula issue must have a low blow – but outing the fact that Konde boy was having them both is the worst thing a mother can do to her own child.

Mange’s post

Anyway through the detailed post shared by Mange Kimambi; she went on to write saying;

Hivi hizi text zilitakiwa kumdhalilisha Harmonize au Kumzalilisha yule mtoto? Kwa hizi text it’s clear Harmonize ameshatembea na Paula alichotaka ni kwamba waendelee kufanya mambo yao behind Kajala’s back.

According to Mange Kimambi these texts confirm that Harmonize; and Paula had been dating way before Kajala and if anyone is to blame then it is Kajala’s daughter.

Hizi message sio kwamba anamtongoza kwa mara ya kwanza ila anamuomba waendelee wasiache sababu yuko na mama mtu. Ni kwamba Paula alivyoona Harmo anamla mamake akawa hataki tena.

She went on to add;

Kwa kibongo bongo Harmonize ataonekana kidume, Je Paula? So far mmemwanika kuwa katiwa na Hamornize pamoja na RayVanny. Yani mmemwanika kuwa ameshare dudu na mamake.
.
Anyways, let me say this wakulaumiwa hapa ni Kajala. Haki Kajala hana akili hata robo. Kwa hiyo kujiliza lote kule majuzi sasa hivi kamkabidhi RayVanny yule mtoto mazima. Huko Dubai wamepelekwa na RayVanny mjue? Na mama mtu anatikisa na matako anaenjoy pesa ya mkwe ????????‍♀️

Dumb move from Kajala

Although Mange Kimambi only has 2 sons; she went on to school actress Kajala for ruining her daughter’s life all in the name of revenge.

Kajala unamwaribia mwanao maisha yake. Yani Paula ataishia kuwa kama wewe, beautiful for nothing. Paula ataishia kuwa na maisha ya kutangatanga kama yako.

Lastly Mange added;

I’m not saying mimi ni mama perfect. Mimi pia nna makosa yangu kwenye ulezi ila aisee this is too much.

 

Zari Hassan accused of botched surgery after stepping out in strange-looking bum and waist (Video)

Zari Hassan has become the talk of town after an online video of her taking to the dance floor before parading her uneven curves and edges went viral.

The babe had decided to spend her weekend at the mall, dressed in a black bandage dress that perfectly brought out her strange flat tummy and a weird bum.

Boss Lady, Zari Hassan

Also read: ¨I want for us to be united as we’ve all sired Diamonds children” Hamisa Mobetto to Zari and Tanasha Donna

In the recent video, Zari looks unusually slimmer around her waist and fuller around her hips and seemingly raised bum, but how the curves came out became the topic of controversy.

https://www.instagram.com/p/CFCOdWQFWdR/

A close look into the video above would clearly bring out weird corners of the aging mum’s bum that saw Tanzanian socialite turned activist, Mange Kimambi hint on what might have gone wrong.

Also read: Zari Hassan gifts herself new apartment ahead of her 40th birthday (Photos)

Mange Kimambi explains

According to the blogger, it wasn’t even anything like a ‘mattress’ or those butt boosters women are fond of today, but a surgery in Zari’s hometown that was hurriedly and unprofessionally done.

Tanzanian controversial socialite, Mange Kimambi

She believed Zari was looking for a BBL (Brazilian butt lift surgery) which is like a fat transplant procedure that improves the fullness and shape of one’s bum using their own fat.

But unfortunately, it just did not come out as expected therefore leaving her at the mercy of the paparazzis.

Blogger, Mange Kimambi claps back at Zari Hassan’s weird body transformation

Unlike a surgery perfectly done in places like the US, the advent of Corona might have forced the boss lady to have it done locally and that is what might have left her looking a bit uneven.

Mange and Zari have been known not to be the best of friends for years now and counting and many would have imagined that it was the hate in her that drove her comments. But either way, fans could not help but agree that this time round, the blogger might just be right about Zari’s unusual body transformation.

moldinajeremiah Holo tako mboma limerefuka jmn ????????????

Mange Kimambi: “I think Diamond Platnumz is hooked on hard drugs!” (Video)

Tanzanian activist Mange Kimambi who is based in the United States has left many thinking hard after sharing a surprising video of singer Diamond Platnumz who appears paranoid during an interview.

According to Mange Kimambi, Diamond Platnumz physical appearance has lately been changing for the worst and if anything he appears to look older now.

This could be effects from the alleged drugs the artist has been using and looking at the video shared by Mange one can’t help but notice how paranoid Diamond Platnumz looks.

Mama Dangote mind your son

The activist goes on to plead with Mama Dangote to pay attention to his son who now seems to be losing himself in drugs.

According to Mange, Mama Dangote has lately been following up with her young husband’s life forgetting to advice her son on what’s good or not. Anyway watch the video below and be the judge!

https://www.instagram.com/p/B0Q2YkJhX3B/?igshid=pln3gmskygkn

Online polls: Fans react after Diamond is compared to Harmonize

Tanzania´s Mange Kimambi queried fans who beats who at their game between Diamond Platinumz and Harmonize and fans loudly articulate Diamond is unbeatable.

Question is set:

Tuseme ukweli nani mkali kwa sasa?

https://www.instagram.com/p/Bx9MC6VALMz/

Feedback

Fans flocked her social media page expressing how Diamond´s presence in Harmonize´s life has been a life changer:

Sasa harmonize wimbo gani alioimba ukahit sana iisipokua alizomshirikisha diamond….. harmonize mshindishe na Alikiba si diamond

 

@mangekimambiiii_ maoni tu wala sijapanic bt harmonize bila diamond walai tena usingemsikia

 

Mond

 

Hata siku moja uwez mfananixha Mond na Kondeboy Mond ni

 

Mondi

Nazi haiwez shindana na jiwe…..umepanic eeeeee,,#relax

Mange´s haters were not asleep either:
We nawe hnaga akili
samtime kimambi uwage nauelewa dg diamond na harmonz jilinganishe ww na zar na mkali????????
Unachokitafta na kukiwaza huwez fanikiwa , utafeli
Well, for Harmonize´s fans:
Harmonize bonge la msaniiiiiiii????????
Konde boy
It is pretty evident that Harmonize´s and Diamond Platinumz´ music have been hit after another with the two having worked on the popular ´Tetema´ anthem together.

Kwangaru, Kainama, Bado are songs the two will be remembered with.

¨Mange! Tanasha ni mdogo sana kwako…tafuta wazee wenzako kama kina Zari wakuonyeshe kivumbi¨ fans tell off Mange Kimambi after trolling Tanasha Donna

Mange Kimambi´s career might be more of trolling folks she can´t match up to and specifically, those in one way or another attached to Diamond Platinumz but fans tell her off.

The US-based blogger has exposed Zari Hassan for all the wrong reasons but seems the Boss Lady has grown thick skin over time.

Mange might have realized she will not reap much from trolling Zari who is probably busy engaged with her new catch who is definitely a spoiler.

So now, the Tanzanian activist has sought Kenya´s Tanasha Donna claiming she is living a fake lifestyle.

The Kenyan radio personality who is dating Diamond Platinumz might have just got in the way of Mange´s hate.

She attaches Cardi´s photo with that of Tanasha Donna captioning:

https://www.instagram.com/p/Bx44kzcgrXT/

According to Mange, Tanasha is trying too hard to match up the global platform, the likes of Cardi B.

On Friday, Diamond´s dad exposed Tanasha´s skimpy photos that might have got the blogger thinking.

Clap back

However, Mange saw it rough after fans couldn´t tolerate her idleness:

umekomaaa Kama mswaki uloisha nguvu una kazi kuchamba kuma mbovu wewe
Is it OK kuletea faida kama wenzie unakazi ya kuitembeza huko marekani kama wauza mitumba ukome kumchamba mama tee
We ni sawa na mbwa alokosa matunzo kazi kutamani wenzio bibi jitu zima nyamafu wewe
@muwangawitness mbwa huyu hana jipya siku hizi watu hawana shobo naye
@mama_bahati_wa_whozuhana lakufanya alaf yy mwenyewe kinanuka kama amekalya chooo???????????????????? stupid gal forsake
HATA HUNA HAYA! ZARI ALIKUCHAMBUA VIZURI. UKAZIMA PAP! ULIVYO MWEREVU UKAJITIA MWEZI NI WA RAMADHANI HUEZI BISHANA.. sasa umuanza TANASHA ..
MANGE..! TANASHA NI MDOGO SANA KWAKO.. TAFUTA WAZEE WENZAKO KAMA KINA ZARI WAKUONYESHE KIVUMBI ????????????????
I can see you have started the WOR with tanasha????
What happened to you’re match zari?
Tanasha has no time for this cheap war????????????.
???????????????????? me ata sielewi anacho imba labda brother simba kamwambia aimbe ????????????
Umemwanzia Na huyu
Amwite kima wakati naye kima kama anajiamini ajipost bila makeup wetu kama hamjakimbia Hulu leo

Mange Kimambi believes Zari is aging and can´t stick to marriage but Zari slaps her even harder

Tanzanian blogger, Mange Kimambi seems to ever get itched by Zari Hassan´s massive milestones and hits at her again but Zari slaps her even harder.

Over the weekend, the blogger demanded Zari´s arrest prior to her tour in Tanzania but she did not succeed.

https://www.instagram.com/p/BwZ17klHGT6/

Earlier on, the US-Based Mange had leaked vintage s*x tapes of the Ugandan socialite that didn´t bare much fruit in the end.

Mange strikes again

Now, she claims the mother of 2 of Diamond´s kids is too old for marriage.

Once the Boss Lady stepped foot in Tanzania over the weekend, the blogger was shut off and lost of words.

This is after netizens failed to head to her plea of arresting Zari.

So she sat back and closely followed events of Zari´s tour in the bongo land.

 

However, soon after Zari spoke up about the necessary legal procedures to be followed, Mange hit back.

Mange states:

Hivi kweli na uzee alionao Zarry ataweza kuolewa na kutulia katika ndoa yake?

The blogger seems to question Zari´s marriage-to-be basing her argument on Zari´s age.

Zari´s comeback

However, Zari might not take the high road in such petty issues but definitely won´t back down and watch anyone tarnish her name.

The South-African based businesswoman landed in Tanzania and it was all love for her.

The massive reception her in-laws gave her, was just overwhelming.

https://www.instagram.com/p/BxAcBe0nj2O/

If anything, Zari Hassan was more than humbled by the crowds of Tanzanians swarming her campaign and it is all love for her.

She tours the Swahili land in a bid to promote Softcare Diapers for newborns and even visits the hospital where nursing mothers are admitted.

Funny thing is how Mange´s campaign against the Curvaceous beauty was too loud yet lay so low after Zari proved the blogger wrong.

Background checks

Zari has achieved milestones, massive ones to say the least.

She was recently crowned Uganda´s Tourism ambassador and is now Softcare´s brand ambassador.

https://www.instagram.com/p/BxCyNCjn9h5/

The young-looking mother of 5 has been serving goals since time immemorial.

Right from high-end cars, to a lavish lifestyle, to her new King Bae who just spoils her with luxury and Spanish romance.

 

Not forgetting the beauty and brains in her.

Well, Mange just has to admit it all and be humble.

 

Blogger Mange Kimambi demands Zari Hassan´s arrest ahead of her ambassadorial Tanzania tour

Tanzania´s soil has witnessed a crude battle between blogger Mange Kimambi and Uganda´s Zari Hassan after leaked s*x tapes and now Mange demands Zari´s arrest.

Just when we thought the blogger would lay low after Zari slapped her with the comment ¨old news¨, Mange has pounced back on the Tigress.

https://www.instagram.com/p/BwfeJ2ehhHf/

Now, Mange´s battle with Zari is her tour to Tanzania as Soft Care diapers´ new look.

According to the blogger, the government of bongo land should not allow Zari to set foot into the country because she is ineligible.

https://www.instagram.com/p/Bw49sQ7HUth/

Friday, the 3rd of this month, Zari is set to tour the country ahead of her Soft Care Diapers’ tour that kicks of tomorrow, Saturday.

Mange´s post

In her online post, Mange questions the Immigration department of Tanzania:

Huyu mganda mwenye passport ya South Africa ana kibali cha kazi?

Anaingiaje Tanzania kufanya kazi bila kibali cha kazi?

Immigration kutwa mnashinda kariakoo kukamata wachina mnadai hawana vibali vya kazi huyu Zari je yeye ana kibali cha kazi?

According to Mange, Zari Hassan is not entitled to a work permit within Tanzania borders.

Additionally the blogger cites that in 2018, Zari was detained by the UK immigration office for close to 15 hours.

After which she was banned from ever touring the country.

Na hii ni tabia yake ya miaka mingi.

Mfatilieni passport yake ya Kiganda aliyoingia nayo Tz 2 years ago na passport yake ya sasa ya ki South Africa.

Mtaona umri ni tofauti.

Huyu ni age faker.

For Mange, Tanzania is acting unpatriotic to its own citizens, always head over heels, trailing the youths to pay up for due taxes.

Yet an outsider like South Africa-based Zari freely conducts her business as she wishes.

Yeye ni nani anafanya kazi Tz bila kulipa kodi wala kuwa na work permit?

Furthermore, Mange expresses her pity for Tanzania citizens who from time to time receive abusive attacks from the Ugandan businesswoman, even their own President.

Mange blatantly shares:

Huyu mtu anadharau mpaka rais hajui english.

Huyu mwanamke anasema hadharani kuwa sehemu zake za siri ndo zinampatiia mali

Na mpaka video yake ya ngono ipo mitandaoni, nchi nzima wameshaiona ????

Softcare company

The fierce blogger cares less and goes ahead to attack Softcare Diapers company for permitting outsiders to tour the Tanzanian soil as brand ambassadors.

Hii sio mara ya kwanza wamemleta huyu bibi.

Wazawa hawana kazi wao wanaleta maforeigner tena bila kufata sheria za nchi.

https://www.instagram.com/p/Bw5DPAIHBcU/

As she closes up her long post, she however cites that the Tanzanian government will just give her a deaf ear as always.

Thus urges citizens to push the government whatsoever.

Ila watawasikiliza nyinyi mkipiga kelele za kutosha.

Zari´s applause

However, seems not just the government but the Tanzania netizens too have given the blogger a deaf ear showing nothing but love to Zari:

Zari is coming to Tanzania. The whole of Tanzania will stand still, she’s a force to be reckoned with

 

????????????????@zarithebosslady no paymen????????????????t but love u mama tiii????

 

Mange see what zari ‘ degree is doing for your country hehehehe what has your masters done for your own country ???????????????? chei

 

@angelinah_love_xx_zariaddict ???????????????????????? ????????????????????❤️❤️❤️ Happy to see it

 

TEAM ZARI TANZANIA WHERE ARE YOU GUYS ????????????????????????

 

Mange kimambe na yy nimemuona kwenye tangazo la konyagi ngoma droo hututishi

 

@angelinah_love_xx_zariaddict we are here, waiting for zariiiii

 

Wale wenye videgree vyao nao wapost deals walizopata apart ya kua uber driver???????????? Congrats my Zari

 

Are they ready? ????????????????????????????????????????????????????????????????

 

@icon_mightyqueenofthezeehive more than ready????????????????????????????????????????????????????????

 

Go go mama Tee

 

@laplusbelle_254 hahaha made ma day ????????ako wapi huyo msoga haone hiii????mange kimambi see your life ..

 

My zarina ……..nakupenda we mwanamke jamaniiiiiiii….nakusubiri mliman city…vibe kama looote….

@zaarithebosslady ????????????

Mange Kimambi Amlilia Diamond Amsamehe Baba Yake

Mange Kimambi amemuandikia ujumbe wa wazi staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz kuhusu kumsaidia baba yake mzazi Mzee Abdul Juma ambaye anatajwa kuwa mgonjwa.

Kwa muda mrefu kumekuwa na Ugomvi wa kifamilia kati ya Diamond na baba yake ambapo amewahi kuweka wazi kuwa hajalelewa na baba yake bali na Mama yake ambaye ndiye anayemjali.

Wiki iliyopita Baba yake na Diamond aliweka wazi kuwa anaumwa na anasumbuliwa na maradhi mbali mbali ikiwemo miguu ambayo ipo katika hali mbaya na kumlilia mwanaye amsaidie japo akapate matibabu.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Mange amemuomba Diamond aweke tofauti zao pembeni na amsaidie baba yake ambaye yupo katika hali mbaya:

https://www.instagram.com/p/Bt-nyKVBEgD/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=tevtyrdp2c9w

Mange Kimambi Amtolea Povu Zito Hamisa Mobetto

Mange Kimambi ameibuka na kumtolea Povu zito Msanii Hamisa Mobetto ambaye pia ni mdogo Wake wa hiyari Baada ya kuweka picha mtandaoni akiwa na mpenzi Wake Mpya.

Siku ya jana Mobetto aliingia kwenye vita ya mtandaoni na mrembo mwingine anayeitwa Tahiya Baada ya kumtuhumu Mobetto kwa kumchukulia mwanaume wake anayeitwa Alex.

Hamisa na Mpenzi Wake Alex

Ili kudhihirisha kuwa Mobetto hajamuiba mwanaume bali ni Mpenzi Wake na sio wa Tahiya Hamisa aliposti picha Kupitia ukurasa wake wa Instagram akiwa na bwana huyo huku akimrushia vijembe Tahiya.

Baada ya sakata Hilo Mange alimjia Mobetto na kumtaka aache kujianika na wanaume tofauti katika mitandao ya kijamii ambapo kupitia ukurasa wake wa Instagram alimuandikia ujumbe huu:

https://www.instagram.com/p/Bs1kmnTAnLN/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=4sk802wnincs

Mange Kimambi Ampokea Shetta Kwa Mikono Miwili

Mwanamama maarufu kwenye mitandao ya kijamii Mange Kimambi amefunguka na kusema yupo tayari kuolewa na staa wa Bongo fleva Shetta Baada ya kuweka wazi hisia zake.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Bongo 5, Shettta aliweka wazi kuwa anamkubali sana Mange Kimambi na hata kudai kuwa angependa kama angeweza kuwa Mpenzi Wake na hatimaye kufunga naye ndoa.

Mange amemjibu Shetta na kusema kuwa yupo tayari kufunga naye ndoa na kwa pamoja waweze kulea watoto wao.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Mange amemuandikia Shetta Ujumbe huu:

https://www.instagram.com/p/BrQ5ZsigamT/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=1xb5kl9rsf6ch

Shetta Atangaza Ndoa na Mange Kimambi

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Shetta ameibuka na kukiri mapenzi yake kwa Mange Kimambi na kudai yuko tayari hata kufunga naye ndoa kwani anampenda sana.

Shetta ameweka wazi mapenzi yake kwa Mange ambaye Hivi karibuni aliwahi kuposti katika ukurasa wake wa Instagram na kusema wazi kuwa anamkubali.

Kwenye mahojiano aliyofanya na mtandao wa Bongo 5, Shetta amefunguka haya kuhusu mahusiano yake na Mange Kimambi:

Mange ni my girlfriend wangu mpya na labda naona kama naweza kuona kwamba naweza kukaa pale maana ananikosha sana kwa picha zake anazoposti.

Halafu pia nina mpango wa kumuoa na kumuweka ndani yule Dada maana ni mzuri hasa maziwa yake yaani mi hoi”.

Shetta anafanya vizuri na ngoma yake ya ‘Hatufanani’ aliyowashirikisha wasanii Kama  Mr. Blue na Juma Jux.

“Huna haya chimpanzee malaya wewe” Zari savagely tears into Mange Kimambi after she insults Prince Nillan on his 2nd birthday (Photos)

Zari Hassan threw her last born child Prince Nillan a lavish birthday party on Thursday December 6th. The kid was celebrating his 2nd birthday.

Prince Nillan during his birthday party
Prince Nillan during his birthday party
Princess Tiffah and Prince Nillan during his birthday party
Princess Tiffah and Prince Nillan during his birthday party
Beef

The birthday party was not without drama, Tanzanian activist Mange Kimambi spoiled Zari’s mood when she claimed that Prince Nillan was not Diamond’s biological son but rather Ivan’s.

Zari and Mange Kimambi have a bitter beef, the two ladies have been firing salvos at each other for the past few weeks.

Zari and Mange Kimambi
Zari and Mange Kimambi

Zari went HAM on Mangi after she insulted her son while he was celebrating his 2nd birthday. A vexed Zari called Mange a chimpanzee and a prostitute.

“Five years in a row you have been on my case three of those on Tiffah’s, two of those on Nillan. One clapback sends you to ICU crying victim. If it hurts to insult your kids why insult mine? Huna haya chimpanzee malaya wwe. Tunaendelea na Handsome’s bday. If it hurts to insult your kids for a day, why insult mine for years, Low life whore…” Zari ranted.

 

 

 

Mange Amtaka Wolper Asirudi Kwa Harmonize Maana Ameachwa na Mzungu

Mange Kimambi ameibuka na kumfungukia Staa wa Bongo movie Jacqueline Wolper kuhusu kurudiana na Ex Wake Msanii wa Bongo fleva Harmonize na kumtaka asijaribu.

Mange ameongea hayo Baada ya kuwepo kwa taarifa kwenye mitandao ya kijamii kuwa Wolper na Harmonize wamerudiana Baada ya kuonekana pamoja wakiwa beneti kwenye tamasha la Wasafi Festival.

Mange amemchana Wolper na kumtaka kutorudi kwa Harmonize kwa sababu hana mapenzi ya kweli kwake kwani amerudi Baada ya kuachwa na Sarah ambaye amemtimua Nyumba waliokuwa wanaishi.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Mange Kimambi ameandika:

https://www.instagram.com/p/Bq8-aiHAvPK/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=wwhqlwlkrzki

Ali Kiba Ndiye Msanii Pekee Asiyehitaji Kiki Wala Matusi Kujaza Shoo-Mange Kimambi

Mwanaharakati wa mambo ya siasa mtandaoni Mwanamama Mange Kimambi ameibuka na kumpigia  saluti staa wa Bongo fleva Ali Kiba na kudai kuwa hakuna Kama yeye Bongo nzima.

Mange ameongea hayo Baada ya shoo iliyofanyika Wiki iliyopita mjini Kahama kujaza nyomi la ajabu pamoja na kwamba Ali Kiba hakuipigia promo shoo Ile Kama ilivyokuwa kwa Wasafi Festival na Fiesta.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Mange Kimambi ameandika maneno haya:

Ujumbe huo umeonekana Kama Dongo kwa mpinzani wa Ali Kiba Diamond Platnumz na tamasha lake la Wasafi Festival ambao walionekana kutoa promo ya nguvu Lakini pia Fiesta ambayo ilikuwa katika majobizano na Wasafi.

Mange Amtaka Ruby Apunguze Kiburi Ili Afanikiwe

Mwanaharakati wa mambo ya siasa mtandaoni Mange Kimambi ameibuka na kumchana live mwanamuziki wa Bongo fleva Ruby na kumtaka aache kiburi.

Lwa muda mrefu kumekuwa na taarifa kwamba Ruby amekuwa hana maelewano mazuri na watu anaofanya nao kazi na kupelekea kuzidi kushuka kimuziki.

Mange amempa makavu Ruby na kumtaka apunguze kiburi kama anataka kufanikiwa kwani watu wengi wanashindwa kufanya naye kazi kutokana na jeuri na kiburi.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Mange amemuandikia Ruby ujumbe huu:

https://www.instagram.com/p/BqIdS2bA8qX/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=ww4uerb3oa9a

Mange Adai Ali Kiba Atapotea Kimuziki Bila Bifu na Diamond

Mwanaharakati wa mambo ya siasa kwenye mitandao ya kijamii Mange Kimambi amefunguka na kudai Bifu linaloendelea kati ya Diamond Platnumz na Ali Kiba linamfaidisha zaidi Kiba.

Sakata hilo limekuja baada ya msanii Diamond kutaka kumaliza Bifu lake na Ali Kiba Siku ya Jana Baada ya kumualika kushiriki katika tamasha lake la Wasafi Festival.

Mange amepima uzito ishu hiyo na kusema kuwa Ali Kiba Hatakiwi kupatana na Diamond kwani year ndio anafaidishwa na Bifu hilo Babu bila Bifu hilo ana hatihati ya kupotea kimuziki.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Mange Kimambi ameandika:

Sio kama nachochea ugomvi ila nimeongea fact tu. Tujikumbushe Ray na Kanumba. Mnalikumba beef lao? Siku Kanumba alipokosekana na lile bifu lilipokosekana Ray si alishuka na umaarufu ukapungua vibaya mno mpaka akapotea. .
So lile beef ndio lilikuwa linaibeba career ya Ray. Kwenye situation kama hizi yule ambae ndio msanii mkubwa zaidi huwa ana gain kiki kwenye beef ila anae gain sana ni yule mwingine. Beef la Ray na Kanuamba aliegain sana ni Ray ndo maana Kanuamba kukosekana akafulia.

Sasa naomba mu-ally hii concept to Diamond and Kiba. Then mtaelewa kwanini nasema hao wakipatana Diamond will win Kiba will loose. Diamond ndio ana benefit kwenye hili beef ila ana benefit kidogo mnoo anae benefit zaidi ni Kiba na ukijumlisha na dharau anazomfanyia ndio anazidi kupanda hata bila kutoa nyimbo ??. Ila wakipatana Diamond will gain everything and Kiba will loose everything. Wakipatana hao ndio utakuwa confirmation ya Diamond as the ONLY main artist wa Tz. Na Diamond is very strategic amelijua hili, keshajua kugombana na Kiba kuna faida ndogo sana kwake na faida kubwa sana kwa Kiba.Amestuka kuwa anamfaidisha Kiba. Na anajua akipatana na Kiba ni faida kubwa mnooo kwake na Kiba atapata faida ndogo. Ndo maana mnamuona Dai anahangaika staili izote ili mradi aelewane na Kiba. Anajua akielewana nae anampoteza mazima. Diamond sio mtu wa kujishusha kwa mtu kiasi hiki. He is very smart. Ana mahesabu yake. Ila na Kiba nae keshausoma mchezo ndo maana anampotezea tu ??. Na Diamond naamini amerealize hiki kitu kwenye seduce Me, maana alivyoleta ushindani ndio nyimbo ya Kiba ilinoga mara 1000 na watu waliisapoti kwa ushabiki na hasira ili wamkomeshe Dai. So So kaona bora amsogeze karibu ili ammalize kabisa abakie yeye ndio Konki Masta pekee wa bongo flava. .

Irene uwoya Amshukuru Mange Kimambi

Mwanadada Irene Uwoya ameonekna kufurahia na kumshukuru sana Mange Kimambi baada ya kutoa siri iliyokuwa imejificha muda mrefu kuhusu uwepo wa mahusiano ya siri kati ya Dogo janja na wema sepetu siku za nyuma.

Katika mvurugano uliotokea hapo karibuni baada ya Wema kuweka picha ya mume wake mpya mtarajiwa, mange kimambi aliamua kuvuruga kila kitu na kuweka mawasiliano yake na dogo janja aimuomba asisieme lolote kuhusu waliowahikuyafanya na wema.

Hata baada ya kuvujisha mazunguzmoa hayo, irene alianaidka chini ya cption hizo kumshukuru mange kimambi kwa kitendo cha kuyasema hayo yote hadharani kwa sababu yeye hasingeweza kuaminiki ingawa siku za nyuma alisema sababu kubwa ya kuachana na Dogo janja ni kuchepuka kwa mume wak nawanawak wengine.

Popular Bongo actress ends her marriage after Wema Sepetu sleeps with her husband

Wema Sepetu has been the new topic on Instagram after unveiling her new man. With good news spreading like wild fire; some bad news also happened to emerge thanks to Mange Kimambi.

Well, word has it that the Tanzanian sweetheart is the reason why actress Irene Uwoya walked out on her marriage with rapper Dogo Janja. According to Mange Kimambi who shared the details on her Instagram page; apparently Wema slept with Dogo Janja knowing well he is married to a colleague.

Irene Uwoya

This happened a few weeks ago after the two bumped into each other at a mutual friends house and after a few sessions of smoking weed; Wema and Dogo decided to enjoy each other’s company.

Dogo confirms the rumors

Just to make sure the stories were true, Mange Kimambi sent Dogo a few messages and judging from their conversation seems that the young rapper feared the story leaking.

But unfortunately Wema Sepetu ended up rubbing Mange Kimambi the wrong way and now everybody knows that she allegedly slept with Uwoya’s now ex husband.

Why Zari was banned from visiting the United States

Word has it that Zari Hassan is now banned from visiting the United Kingdom. Apparently this is after her last trip where she was held at customs for 16 hours after producing fake government documents.

According to reports Zari has since been blaming Tanzanian activist Mange Kimambi for sabotaging her trip to the UK. Judging from several snapchat posts shared by Zari it was also evident that the bosslady was unhappy with Mange.

She went on to call her an illegal immigrant living the United States adding more fuel to her fight with Mange.

Mange exposes Zari and Ivan

As expected Mange did not sit back and watch Zari insult her. She first went on to share a photo of her green card proving that she was legally living in the United States.

Mange Kimambi throwing shade at Zari

Mange went on to reveal the reason why Zari never travels to the US even for leisure. Apparently she was linked to dealing drugs with Ivan which affected  their travel to the United States.

Not quite sure how true the accusations are but we haven’t yet seen Zari jet to the states, could there be a problem?

 

 

Mange Kimambi Amshauri Hamisa Asirudi Kwa Diamond Adai Ana Gundu

Mwanaharakati wa Mambo ya siasa Mtandaoni Mange Kimambi ameibuka na kumshauri Hamisa Mobetto asithubutu kurudi tena  kwa mzazi mwenzake Diamond Platnumz kwa madai kuwa ana gundu.

Hamisa aliweka wazi kuwa yeye na mzazi mwenzake staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz waliachana Mwanzoni mwa mwezi huu baada ya kuwa pamoja kwa miaka kadhaa.

Lakini baada ya kuachana Hamisa aliingia kwenye mgogoro na Familia nzima ya Diamond ambao waliishia kumtangaza kama mchawi mara baada ya kuwaendea kwa mganga.

Mange Kimambi ameibuka na kumshauri Hamisa asirudiane Tena na Diamond kwa madai kuwa familia nzima ya Diamond ilikuwa inampa gundu tu kwani sasahivi tangu ameachana nao amekuwa akipata madili mengi ya ubalozi.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Mange ameandika maneno haya:

https://www.instagram.com/p/BoGFxI6larV/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=1o9n4uzj4l67d

Zari’s official government documents shared online by Tanzanian activist revealing her real age to

Tanzanian activist Mange Kimambi has lately been giving a couple of Tanzanian celebrities sleepless nights. From her posts, she seems one not to joke or play around with as she has sources giving her private information about most celebrities.

Mange Kimambi throwing shade at Zari

After attacking the likes of Mama Dangote, Wema Sepetu and many more; this weekend she turned to Zari revealing that the boss lady was frozen at a U.K.  airport after producing fake documents.

Apparently Zari had altered her age on her passport hence bringing complications with the immigration. Mange who was first to highlight this on her Instagram opened a platform for fans to attack the boss lady as she had also shared a copy of what is believed to be Zari’s official government documents.

Zari claps back

Having come across the stories on social media, the boss lady decided to respond to Mange. Judging from how the two ladies handled themselves, it’s evident that there is bad blood.

Zari on the other hand also went out to justify why her ID read 1978 and not 1980. However knowing how conscious ladies are with their age, it’s understandable to tell why she got defensive.

Karma? Tanzanian activist Mange reveals the woman sleeping with Diamond Platnumz sister’s husband

Mange Kimambi a Tanzanian activist living in the United States is not one to mess with.

The lady who is well known for her toughness recently came to attack Esma Platnumz; revealing unknown details about her husband’s affairs. Apparently this was a tactic to defend Hamisa from the Wasafi family attacking her.

According to Mange, Esma’s marriage has been on rocks since her husband (Petit) is one who likes to enjoy other women.

This was proven by a few audio recordings between the guy and an unknown Rwandese lady he apparently impregnated.

Thanks to the audio, you can hear Esma’s husband flirting with the lady and now fans can’t get enough of the drama on Instagram.

Faiza Ally warming Esma’s bed

Apart from the unknown Rwandese lady, there is also a Tanzanian lady by the name of Faiza Ally. However, Faiza is a well known actress in Bongo and is friends with Esma.

Anyway below are photos of the lady said to be bedding Esma’s matrimonial home.

Wastara Sajuki Atangaza Vita na Mange Kimambi

Muigizaji wa Bongo movie mwanamama Wastara Juma maarufu kama Wastara Sajuki ameingia katika sintofahamu na Mwanaharakati wa siasa mtandaoni Mange Kimambi.

Sakata kati ya Wastara na Mange Kimambi lilianza siku za nyuma mara baada ya kumtuhumu Wastara kwa Kula pesa za Michango ambayo alichangiwa na wananvhi kwa ajili ya kufanyiwa matibabu nchini India.

Siku ya jana Kwenye mahojiano aliyofanya na kituo kimoja cha habari, Wastara alimmwagia povu zito Mange na kudai aliumizwa na madai yake ya kwamba alikula pesa za Michango na kusema Yupo Tayari kupambana naye kwani amemchafulia jina.

Asubuhi ya leo Mange aliandika Kupitia ukurasa wake wa Instagram kuwa akipata muda lazima atampa kichambo Wastara na mara moja Wastara akajibu mashambulizi na kusema anamsubiri kwa hamu:

 

Diamond Platnumz sister’s marriage in crisis?

So word making rounds on social media is that Esma Platnumz husband has been seeing other women on the side.

This was revealed by Mange Kimambi, a Tanzanian activist who exposed the alleged affair between Esma’s husband and Faiza; a renown actress.

According to Mange, Esma has been so involved in Hamisa Mobetto’s life that she ignored her husband. For this reason, Petit found another woman who has been warming his bed.

https://www.instagram.com/p/Bnklh46FFoA/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=1lotkou870lus

Drama in Diamond Platnumz family

Since Mange shared the story on Instagram, Esma also decided to respond to address what she claims is lies.

However, this is not the first time Esma is said to have been dumped by her husband. Apparently also her mother in law has been against her union with Petit but the lady continues to deny this too.

Kisa Hamisa, Mange Kimambi Awashambulia Esma Na Mama yake .

Baada ya kuibukakwa tuhuma za uchawi kutoka kwa mwanadada Hamisa Mobeto kuwa amekuwa aikiiloga familia ya Diamond Platinumz, mwanaharakati mashghuli Mange Kimambi aliamua kuingilia kati swala hilo na kuamua kumtetea Hamisa dhidi ya wanafamilia ya Diamond.

Mambo yanazidi kuwa mambo baada ya Mange kuamua kuituka familia ya diamond na ndipo familia hiyo hasa dada wa Diamond alipoamua kujibizana na Mange katika mitandao ya kijamii.siku ya jana ilizid kuchafuka katika ukurasa wa instagram baadaya wawili hao kuingia katika ligi ya kutukanana matusi huku kila mmoja akijitaidi kutetea upande wake.

Kwa upande wa Mange anasema kuwa familia hiyo haukupaswa kumtuka hamisa ukizingatia wamekuwa wakimsema kuwa kila mtoto ana baba yake ilhali hata esma nae ana watoto ambao kila mtu na baba yake.

Hata hivyo Mange anaendelea kutoa siri kuwa kutokana na maswala ya uchawi ndio maana hata aliwahi kumuua mtoto wake wa kwanza ambae watu wengi hawakuwahi kumjua alipokuwa akiumwa na kushindwa kumpelea hospitali kwa madai kuwa amelogwa hivyo kumpeleka kwa waganga.

Esma nae hakukaa kimya na kuseme akuwa mara nyingi mange amekuwa hajielewi na ndio maana amekuwa akiongea maneno yasiyokuwa na uhakika nayo na kikubwa zaidi ni pale Esma nae alipoamua kuanza kuongea kuhusu familia ya Mange huku akiwataja baba na mama yake mzazi na mtoto wa kwwanza wa kike wa mange ambae inasemekana amekuwa akifanya biashara ya ngono akiwa bado na umri mdogo.

Bado ligi inazidi kuendelea huku masabiki wakitaka kujua ni nani anaweza kukaa kimya baada ya kutukana na kwa muda mrefu.

Baraka the Prince comes out to set the record straight about his affair with Wema Sepetu

Baraka the Prince has apologized to Tanzanian fashionista-turn-political activist Mange Kimambi who revealed intimate details about his relationship with Wema Sepetu.

Wema and Mange Kimambi traded barbs on Instagram for the better part of Wednesday September 5th. The whole drama started after Kimambi attacked Wema for laughing at Hamisa Mobetto who was exposed for using witchcraft to woo Diamond Platnumz.

Kimambi went on to state that Wema has a hypocrite since she had also used witchcraft before, she also revealed that Wema had an affair with Baraka the Prince.

Don’t involve me in your fight

Baraka the Prince took to Instagram to respond to Mange Kimambi’s allegation about his affair with Wema Sepetu. He started by apologizing to Mange Kimambi and went on to state that he had worked tirelessly to build his brand and that he would appreciate if he is not involved in Kimambi’s fight with Wema Sepetu.

Baraka stated that Wema Sepetu is like a sister to him and that he didn’t have an affair with her as claimed by Mange Kimambi.

 

 

 

 

Mange Amtupia Wema Tuhuma Nzito Za Kwenda Kwa Waganga Kama Mobetto

Mange Kimambi ameingia Kwenye bifu zito na msanii wa Bongo movie Wema Sepetu baada ya sakata la uchawi la Hamisa ambalo lilishika kazi baada ya voice note kuvujishwa mtandaoni.

Mange na Wema walianza kurushiana maneno baada ya Mange kumtuhumu Wema kwa kushabikia kesi ya Mobetto ambapo Mange alimwambia Wema asishabikie sana kwani yeye mwenyewe ameshawahi kupata skendo za waganga.

Baada ya maneno hayo kusemwa ndipo vita ya maneno na matusi ilianza kwani Wema alikataa kuwa hajawahi kwenda kwa waganga hata siku moja na kuweka posti hii:

https://www.instagram.com/p/BnUKOienUro/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=1swhan939ccq1

Mange alimjia juu Wema juu ya tuhuma za Kwenda Kwa Waganga na kuweka video ya miaka ya nyuma ambayo Mama Wema aliongea na kukiri mtoto wake ana tabia za kwenda kwa waganga:

https://www.instagram.com/p/BnUWEWHlxF5/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=imnibw87yviy

Mange Kimambi amkingia Kifua Hamisa, Amvaa Ray C

Mwanaharakati kupitia mitandao ya kijamii Mange kimambi amefunguka na kumtolea povu zito msanii wa muziki wa bongo fleva Ray c baada ya msanii huyo kuonekana kama anamganda sana kooni mwanadada Hamisa Mobeto hasa baada ya haisa kutoa wimbo wake mpya wa madam hero.

Katika moja ya post zake , Ray c alionekana kutopendezwa na wimbo huo na kusema kuwa ni bora asngeimaba kabisa.

Hata hivyo  Mange kimambi aliguswa na maneno ya Ray c kwenda kwa Hamisa na ndipo alipoamua kumtola povu zito Ray c na kumshauri amuache binti ambae hawaendani hata umri.

Usikose kusikiliza nyimbo ya madam hero kutoka kwa hamisa , endelea kupambana mama najua ukifika umri wa vizee kama wetu utakuwa umefikia mafanikio makubwa sana.sijui watu huwa wanawaza nini kufananisha mafanikio ya mtoto wa miaka 23 na wao wa miaka 40  watanzania bhana sijui mnanini, inabidi mumfananishe na watu wa umri wake sio wa sisi vizee.

Hata hivyo Mange kimambi amempa moyo Hamisa na kumwambia aendelee kupambana na atafika anapopataka.

 

Mange Kimambi Aibuka Kidedea Tuzo za beffta

Waandaaji wa tuzo za beffta wametoa matokea ya tuzo mbalimbali, ambapo katika kipengele cha Most Inspirational African Female  Politics ameshinda mwanadada Mange Kimambi mtanzania anaeishi Marekani.

Katika ukurasa wake wa instagram, Mange kimambi amendika yafuatayo baada ya kutangazwa “‘i’m honoured  to every person who voted for me , thank you .”

Tuzo hiyo iliyolewa kwa mange kimambi iliangazwa katika mitandaoa na kuwataka watu  wananchi kumpigia kura mshiriki wanaeona anafaa kupewa tuzo hiyo.

 

Mange Ashutumiwa Kuiba Akaunti ya Makonda.

Mwanadada mwanahrakati katika mitandao ya kijamii mwenye asili ya Tanzania lakini anayeishi Marekani, Mange Kimambi  ameshutumiwa na watu wa page mbalimbali za udaku baada ya akaunti ya mkuu wa mkoa wa Dar Es Salaam kuibwa na watu wasiojulikana na kuvuta kila kitu katika akaunti hiyo.

Mwanadada huyo ambae hapo awali alishutumiwa kuiba akaunti ya Wema sepetu na baada kurudishwa ameingizwa katika swala hilo tena baada ya kuona kuwa aliyeiba akaunti hiyo kufuta na kuwaun-follow watu wote na kuacha jina la mange kimambi tu kama mtu anayemfuata .

Hata hivyo mwanadada huyoa ambae amekuwa akivumbua siri nyingi sana za huku tanzania na pia kusaidia watu wengi kupitia ukurasa wake hajazungumza chochote kama ambavyo imekuwa ikizoeleka kwamba kinapotea kitu kuhusu yeye uongea katika ukurasa wake.

Hii haitakuwa mara ya kwanza kwa mwanadada huyo kuambaiwa amefanya vit vya kuumiza  mtu mmoja au mwingine tena hasa kwa upande wa Mkuu wa Mkoa hasa kwa sababu hakuna maelewano mazuri kati ya mwanadada huyo na Mh Mkuu wa Mkoa.

Mange Kimambi Ahusishwa Kesi ya Mwanafunzi wa UDSM.

Kesi ya mwanafunzi wa udsm Abdul Nondo ambayo iliendelea wiki iliyopita  huku shaidi upande wa jamhuri alitoa ushaidi na kusema kuwa mwanafuzni huyo aliwahikuwasiliana na mwanadada Mange Kimambi kabla ya tukio la kutekwa kutokea.

Mwana dada Mange kimambi ambae amekuwa ni moja ya wanaharakati wasiokuwa na taaluma maarumu kutokana na uwezo wake wa kuingilia katika kila idara na kukosoa au kusema ukweli ulioficha kuhusu kitu flani amehusishwa katika kesi hiyo ya mwanafunzi Abdul Nondo.

Shaihidi huyo anasema kuwa katika simu ya mshtakiwa walikuta baadhi ya barua pepe ambazo mwanafunzi huyo aliweza kumuandiki Mange Kimambi akimuelezea habari zake na kwamba yeye ndie alitoa tamko baada ya kutokea kwa kifo cha mwanafuzni wa NIT kifo kilichogusa mamilioni ya watanzania.

Lakini pia mtoa ushaidi huyo alisema kuwa ktaika barua pepe hiyo Abdul Nondo alimweleza mange kimambi kuwa amepata taarifa kuwa amekuwa akitfautwa kwa muda mrefu na ametakwa kutotembea ovyo .

Mange kimambi ambae amekuwa akitoa habari nyingi na matukio mengi hasa ya wasanii amekutwa na tetesi hiyo lakini hajatraka kuzungumzia chochote kuhusu hilo.

Mange Kimambi Amerudi Kundini , sasa ni Mwenzetu:-Afande MamboSasa

Kamanda wa kanda maarumu ya kipolisi ya Jijini Dar Es Salaam, ametoa wito kwa vijana wote kuacha kushabikia mambo yasiyokwa na uthibitisho  na bila kutambua madhara yake katika jamii.kamanda huyo anasema kuwa mwezi uliopita walikamata vijana wengi waliokuwa wakihasisha swala la maandamano ambalo lilianzishwa na mwana Dada Mange Kimambi lakini baada ya tarehe hiyo kupita mange kimambi ameanza tena kuipongeza serikali.

Ninawasihii sana vijana wa tanzania mnapokuwa mkishabiki vitu uwe kwanza mnaangalia pia na athari zake katika jamii zetu,,mnamo 26 february tulikamata vijana ambao walikuwa wakitumia mitandao ya kijamii kuhamasisha swala a maandamano ambalo lilikuwa limeanzishwa na mwanaharakati mange kimambi.lakini sasa hivi mamnge anaipongeza serikali na tunampongeza pia kwa sababu bado anaipongeza serikali na amerudi kundini.

mange amekuwa akiwapotosha jamii lakini baaada ya kuona kuna watu wengi wanampuuza basi na yeye ameona ni bora arudi na kuipongeza serikali lakini watu tuliowakamata tuliwahoji na kuwapa dhamana.

Mwanaharakati mange kimambi amekuwa akihamasishwa vitu vingi katika jamii na watu wamekuwa mstari wa mbele kumuamini. lakini siku ya kumbukumbu ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar kulitokea tafrani kutokana na dada huyo kuwahamasishwa watu katika mitandao kuandamanaili kumpinga kiongozi  mkubwa wa nchi.

Mange- Wimbo Mpya Wa Ali Kiba Umebuma

Mwanaharakati wa mambo ya siasa Mtandaoni mwanadada Mange Kimambi amemlipua staa wa Bongo fleva Ali kiba na kusema wimbo wake mpya unaojulikana kama ‘Mvumo wa Radi’ umebuma vibaya mno.

Siku ya Ijumaa Ali Kiba aliachia wimbo wake mpya kwa mara ya kwanza Kupitia kipindi cha XXL ya Clouds Fm lakini wimbo huo umepatwa na masahibu na kudaiwa kufanyiwa figisu figisu na watu wasiojulikana Kwenye mtandao wa Youtube.

Mange ameibuka na kumpa za Uso Ali Kiba kuwa wimbo wake wa Mvumo wa radi umebuma lakini amemtaka asikate tamaa kwani wasanii wengi wanatoa nyimbo na zinabuma na hata akamtolea mfano Diamond na kudai Albamu yake ya A boy From Tandale ilibuma pia.

 

 

Ebitoke- Namchukia Sana Mange Kimambi

Mchekeshaji maarufu kutoka Timamu Tv, Ebitoke amefunguka na kuweka wazi kuwa hampendi kabisa Mwanaharakati wa mambo ya siasa mitandaoni Mange Kimambi.

Kama utakumbuka siku za nyuma Ebitoke alishawahi kuingia Kwenye headlines baada ya Mange kutangaza kuwa Anatembea na bosi wa Timamu Tv ambaye ni mume wa msanii mwenzake Mama Ashura na hadi kusababisha Mama Ashura kufukuzwa.

Kwenye mahojiano na Kipindi cha Kikaangoni cha EATV, Ebitoke aliulizwa anamchukuliaje Mange Kimambi na mara moja alitiririka jinsi anavyomchukia:

Yaani katika watu ambao siwezi kiwazungumzia ni huyo, Kwanza huyo Dada mimi simpendi, ameshawahi kuongia kwenye anga zangu lakini hata kabla ya hapo nilikuwaga simpendi.

Halafu siwezi kumkubali yule dada maana hanisidii kitu chochote mimi naona anawasaidia watu wengine, Mimi sipendi mambo yake na wala sikapendi na wala sipendi vimtu vinavyoongea sana “.

Lakini pia Ebitoke amesisitiza taarifa alizozieneza Mange hazikuwa na ukweli hata kidogo kwani yeye na Mama Ashura wako vizuri kabisa ingawa sio marafiki.

Hoja ya Mange kimambi Aibuka Tena Bungeni.

Mwanadada mange kimambi  mwanaharakati maaarufu anaekaa nchini Marekani lakini amekuwa akitetea na kuibua mamno mengi katika jamii hasa ya Tanzania, ameibuka tena kama hoja bungeni baada ya mbunge wa Ulanga Mh Mlinga kuitaka serikali kupitia mamlka ayake husika kushughulika na watu wote hasa katika mitandao ya kijamii wanaotukana viongozi wa nchi.

Mh Mlinga anasema kuwa kutoka na kuwepo kwa kurasa nyinngi zenye kufanya mambo hayo kumekuwa hakuna tena heshima wala cheo cha rais au viongozi wake kwa sababu viongozi wamekuwa wakitukwanwa bila kuogopa kitu.

matusi katika mitandao ya kijamii ni too much, haijulikani katika mitandao rais ni nani  au kiongozi ni nani, kumekuwa na akaunti nyingi zinatukana sana katika mitandao ya kijamii , IGP huko hapa tumekuwekea hizo nyota mabegani  ni nguvu, tumia nguvu zako ,mfano natoa akaunti zinazomtukana raisi ni pamoja na Kwinyara, Malisa gj, Yerico Nyerere na dada yao Mange Kimambi wamekuwa wakimtukana sana rais.

Hii haitakuwa mara ya kwanza kwa viongozi kutaka mwanadada huyo kuchukuliwa hatua kwa tuhuma hizo ingawa kunamengipia mazuri ambayo mwanadada huyo amekuwa akiyafanya katika jamii, lakini yote yanaweza kutambulika kulinagana  na mamlaka husika.

 

 

Mange Amvaa Jokate Baada Ya Ali Kiba Kuoa Mwanamke Mwingine

Mwanaharakati wa siasa Mtandaoni Mange Kimambi amemvaa Jokate na kumtolea povu zito baada ya aliyekuwa mpenzi wake staa wa Bongo fleva Ali Kiba kuoa mwanamke mwingine.

Asubuhi ya Leo Ali Kiba Kumuoa mke wake Amina huko Mombasa nchini Kenya lakini Ex wake Jokate anashika headlines ambapo Mange amemjia juu Jokate huku akimcheka kuhusu hilo.

Mange amekuwa akiipinga ndoa hii kufanyika hivi sasa kwa hofu ya kwamba itazima haraka tu zake za Maandamano Lakini pia amekuwa katika vita na Jokate kutokana na Jokate kuwa chama tawala na alikuwa kiongozi.

Mange amemtolea povu zito Jokate huku akihusisha ndoa ya ALi Kiba ambapo kwenye ukurasa wa Instagram wa Jokate aliandika maneno haya:

Sina Uhakika Kama Mange ni Binadamu wa Kawaida.:-Dr.Tulia Ackson

Mh .naibu spika wa jamhuri wa muungano wa Tanzania Dr Tulia Ackson amefunguka na kusema kuwa hana uhakika sana kama mwandada mabe ni mwana harakati na muongeaji katika mitandao ya kijamii kama ni binadamu wa kawaida.hivyo basi inakuwa ngumu sana kwake kum-judge mwanadada huyo kama anakosea au kama yupo sahihi.

sina uhakika kama na yeye ni binadamu wa kawaida kama mimi au, kwaio nikikuana nae ndo nitajua nini cha kuzungumza ,lakini kwa yake ninayoyasikia ya hapa na pale kuhusu yeye sina uhakika sana kama na yeye ni binadamu wa kawaida kama mimi au sio ila nikipata nafasi ya kumuona nitazungumza nae.

siwezi sema kama anakosea kwa sababu sijajua yeye ni wa aina gani kama nilivyosema hapo awali,huenda hakosei kutokana na aina yake ya ubinadamu yaan species yake ni tofauti, kwaio kama spicies yake ni tofauti hapo huwezi kusema kuwa anakosea.

Maneno ya Dr Tulia yanaweza kuja baaada ya mwanaharakati huyo kuwa na mambo mengi sana anayoajua ambayo inawezekana kuwa mengine ni ukweli na mengine hayana ukweli lakini Mange siku zote amekuwa ni mtu wa kutoa taarifa mbalimbali ya kinachofanyika sehemu  mbalimbali , na ukiachana na mambo ya siasa anayoyafanya lakini pia amekuwa akitoa siri nyingi kuhusu wasanii na watu maarufu bongo.

Mange: Familia Ya Diamond Imemgeuza Wema Jinga Lao

Mwanaharakati wa siasa mtandaoni Mange Kimambi ameibuka na kumwagia matusi mazito msanii wa Bongo movie Wema Sepetu baada ya kuzua maneno maneno jana kwenye mtandao wa Instagram.

Siku ya jana Wema alishika headlines za mitandao ya kijamii baada ya kuposti posti kadhaa zilizoamsha tetesi kuwa amerudiana na Diamond na alizidi kuzua maneno baada ya kuonekana akiwa na Esma huku wakiitana wifi.

Sio siri kuwa Wema na Mange wapo kwenye bifu kali tangu Wema afanye uamuzi wa kurudi CCM mapema mwaka jana akitokea Chadema na hata kuanzisha urafiki na mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam jambo ambalo halikumfurahisha Mange.

Siku ya jana Mange amemtolea povu zito Wema na kumtuhumu anatumika kuleta drama zake na Diamond ilimradi wazime amsha amsha za maandamano na kudai amegeuzwa Jinga na familia ya Diamond.

Kupitia ukurasa wake Instagram, hili ndio povu la Mange kwa Wema:

Wema mjinga sana, mtu gani kutwa anatafuta attention za watu kwa mambo ya kijinga? Forever my wii my foot mbona Bi. Tukinao alivyokuwa nao mbona hawakukuita forever my wii? Yamewashinda kwa mganda ndio wamelikumbuka jinga lao. Janamke jinga halikui from CEO wa Endless Fame to mfanyakazi wa Wasafi Tv? Seriously wenzake wanasonga mbele lenyewe linarudi nyuma. Halafu hata halijistukii linaongea proudly kabisa “Sasa Diamond anaenda kuwa bossi wangu” from kuwa CEO mpaka kuwa mfanyakazi wa Diamond kama wakina Kifesi?”.

 

Hamisa Mobeto Akumbuka Wema wa Mange Kimambi.

Ikiwa  siku ya tarehe 4 March ni siku ya kumbukumbu ya mwanaharakati wa kimitandao Mange Kimambi , amepokea salamu nyingi sana kutoka kwa watu mbalimbali huku yeye mwenyewe akisema kuwa hata baadhi ya upinzani wake waliweza kumtakia kheri ya siku hiyo ya kuzaliwa kwake.

Moja ya watu maarufu wanao-trend sana katika mitandao kwa sasa Hamisa Mobeto pia alikuwa ni mmoja walimtakia dada huyo kheri katika siku yake ya kuzaliwa lakini hii haitoshi kuelezea hisia zake hadi pale alipoamua kutoa shukrani zake za moyoni kuhusu mwanaharakati huyo na kwa jinsi alivyosimama nae kipindi cha matatioz yake.

Hamisa alimpongeza mwanadada huyo kwa siku hiyo lakini pia alimwambia kuwa anamshukuru sana kwai kipindi anapata matatizo ya kugombana na Zari na Diamond kila siki yeye hakuwahi kuonyesha kuchukia zaidi ya kumsapoti na kumtia moyo na hata wakati mwingine kutoa ushahidi wa ukweli kwa watu.

Happy birthday da mange @mangekimambi …wakati wengi waliniacha ulisimama nami  na pia wakati wngi walivyokuwa  hawaniamin you did..napenda kusema ahsante sana.

Mwenyezi Mungu ndo pekee anajua jinsi gani ulivyonipa nguvu  na ujasiri my dada.May Allah guide and protect you mama… na asante sana.-Aliandika Hamisa Mobeto katika ukurasa wake wa instagram.

Tukumbuke kuwa shukrani yake kwa Mange inakuja pale ambapo Hamisa alipokuwa akigombana sana na Diamond pamoja na zari kuhusu nani ni mmiliki halali wa mimba aliyokuwa nayo Hamisa, na hata mtoto alipozaliwa mange kimambi alishawahi kusema wazi kuwa mtoto ni wa Diamond Platinumz, siku zote ya vita kati aya pande hizi mbili Mange kimambi alikuwa akiandika posti za kumtia moyo Hamisa na ilipobidi kutoa ushahidi kwa kukandamizwa kwake Mange Kimambi aliweka ushahidi hadharani.

 

Wastara Amjibu Mange Kimambi Kuhusiana na Tuhuma Zake za Utapeli

Muigizaji wa Bongo movie Wastara Juma amefunguka na kumpa majibu mwanaharakati wa mambo ya siasa mtandaoni Mange Kimambi baada ya kudai kuwa haumwi na anafanya maigizo.

Mange Kimambi alimtolea tuhuma nzito Wastara kuwa haumwi na anatumia pesa za michango kufanya biashara na hata alipofika India kwenye matibabu alirusha picha mtandaoni akiwa amechomwa dripu lakini Mange alisema dripu ile ilikuwa imechomekwa kisanii na ametapeli wananchi hela za michango.

Siku ya jana Wastara aliwatolea akitokea nchini India kwenye matibabu na kwenye mahojiano aliyofanya na Bongo 5 alimjibu mange Kimambi kuhusiana na tuhuma alizomrushia akidai kuwa ametapeli fedha za watu na serikali:

Kwanza siwezi nikamridhisha kila mtu kwa sababu mtu yule anayesema haya ni maigizo alafu kuna hamsini au ishirini wanamfuata hiyo tu inatosha kukuonyesha tofauti ya uelewa tulionao Watanzania Halafu watu wanasapoti kitu wasichokijua kisa tu Mange kawaambia sindano inaelekea chini lakini hajmwajafanya hata research kujua ukweli lakini siwezi kuwalazimisha wanielewe maana mwisho wa siku mimi na Mungu wangu ndio tunaujua ukweli wale wanaomuamini yule waache wamuamini cha msingi mimi nimetibiwa na nimerudi salama ingawa sijali na kabisa”.

 

Mange Kimambi Amtolea Uvivu Roma, ni Baada ya Kufungiwa na BASATA.

Mwanaharakati Mange Kimambi amefunguka na kuelezea jinsi alivyoipokea hukumu ya Roma kutoka kwa Naibu Waziri wa sanaa baada ya kuonekana kuwa nyimbo ya msanii huyo  inayojulikana kama kibamia kushindwa kuiboresha nyimbo hiyo na kukaidi agizo za kuondoa baadhi ya maneno.
Mange Kimambi ambae anasema kuwa hakutaa kulizungumzia swala hilo lakini mashabiki wamemuhamasisha kuongea hivyo kwaio ataongea kama vile lilivyo katika uhalisia.

                                                

Mange Kimambi anasema kuwa Roma alikuwa muoga sana katika kumtetea Mbunge Sugu ambae aliwekwa gerezani kwa shughuli za kisiasa ingawa alikuwa na bado  ni msanii mwenzao, Mange anasema kuwa Sugu ni moja ya wasanii jasiri waliweza kusimama bungeni na kutetea muziki wa hip-hop Tanzania,lakini pia Mange Kimambi anasema kuwa hawezi kumtetea Roma kwa hilo kwa sababu kipind yeye anatekwa Sugu alikuwa mstari wa mbele kumtetea Bungeni na kuhakikisha kuwa swala la kupotea kwake linashugulikiwa lakini cha ajabu Roma hakuwahi kufanya lolote pale Sugu alipokamatwa.

I think ni bora wasanii wanyooshwe ili wapate hasira.roma kumtetea sugu tu ni mpaka tumchambe kwanza  na sio kumtetea tu lakini pia hata kumpost ilikuwa anaandika caption as if  n mtu kavunja  sheria  akafungwa kawaida.yaani kama vile ambavyo watu walikuwa wakimpost kajala na lulu walipoenda jela..kama yeye kaamua kuwa muoga basi na sisi ni lazima tuwe waoga kumtetea yeye.mbona sisi tulimtetea yeye kwani hatukuwa na watoto na wajawazito, kwani sisi hatuwazi kufa na kuziachaje familia zetu?roma hata kwenye kesi ya sugu hakutokea, apambane mwenyewe.-Alifunguka Mange Kimambi.

 

 

Diva Ajifananisha na Mange Kimambi,Asema ni Mwanamke Mwenye Nguvu ya Ushawishi.

Mtangazaji wa kipindi cha ala za roho cha Clouds Radio kipindi pendwa kwa vijana Diva the bawse, amefunguka na kuelezea mapenzi makubwa aliyonayo kwa mwanaharakati anaevuma katika mitandao ya kijamii Mange Kimambi na kusema kuwa ni mwanadada mjasiri na mwenye nguvu kubwa ya ushawishi.Diva amesema kuwa mange kimbambi ni moja ya wanawake wenye akili za kipekee na mwenye  uthubutu wa kusema kile ambacho kina kuwa katika akili yake kwa kipindi hicho.

                                                                   

                                            mwanadada Diva the Bawse wa Clouds Radio.

Akiongea katika mahojiano na moja ya waandishi wanaofanya mahojiano na wasanii katika mtandao, Diva aliulizwa ni kitu gani kikubwa amekuwa akikipenda kwa Mange Kimambi ndipo alipofunguka na kusema haya .

Nampenda , yupo kama mimi,ana akili yake ya pekee yake tu kitu anachokiwaza kwenye akili yake ndicho anachokuwa anakisema kwa wakati huo.She is the most powerful womani in tanzania,unapozungumzia influencer she is number one kwakweli .Kila ukiamka asubui uwezi kuacha kuangalia amepost nini leo.She is like a sister to me,ana mambo mengi n pia anastyle yake ya kuandika stori zake kiasi kwamba anakuvutia kuendelea kuzisoma tu.

Mange kimambi ni moja ya wanawake wachache wenye wafuasi weni sana katika mtandao wa kijami hasa instagram kutokana kuwa mtoaji wa habari nyingi Tanznaia ingawa yeye mwenyewe haishi tanzania.amekuwa akiwahamasihsha watu wengi juu ya mambo mengi ingawa kwa sas hivi amejikita sana katika siasa.kKna mambo mengine ameuwa akiyatolea ufafanuzi na kuwafumbua watu juu ya mambo hayo.

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.