Mange Amtaka Wolper Asirudi Kwa Harmonize Maana Ameachwa na Mzungu

Mange Kimambi ameibuka na kumfungukia Staa wa Bongo movie Jacqueline Wolper kuhusu kurudiana na Ex Wake Msanii wa Bongo fleva Harmonize na kumtaka asijaribu.

Mange ameongea hayo Baada ya kuwepo kwa taarifa kwenye mitandao ya kijamii kuwa Wolper na Harmonize wamerudiana Baada ya kuonekana pamoja wakiwa beneti kwenye tamasha la Wasafi Festival.

Mange amemchana Wolper na kumtaka kutorudi kwa Harmonize kwa sababu hana mapenzi ya kweli kwake kwani amerudi Baada ya kuachwa na Sarah ambaye amemtimua Nyumba waliokuwa wanaishi.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Mange Kimambi ameandika:

https://www.instagram.com/p/Bq8-aiHAvPK/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=wwhqlwlkrzki

Harmonize na Wolper Mapenzi Moto Moto

Msanii wa Bongo fleva nchini kutoka WCB Harmonize na msanii wa Bongo movie Jacqueline Wolper wamezidi kutengeneza headline kwa tetesi za kurudisha Penzi Lao Kama zamani.

Wawili hao wameendelea kuzua gumzo baada ya Harmonize kutangaza kurudi kwa Wolper wake ambaye alimwagana naye miezi kadhaa iliyopita. Ishu nzima ilijiri usiku wa kuamkia juzi Jumamosi katika shoo ya Wasafi Festival iliyofanyika mjini Iringa na kusababisha mji huo kutikisika.

Gazeti la Ijumaa Wikienda linaripoti kuwa Wikiend iliyopita katika Uwanja wa Samora, Harmonize alimpandisha stejini Wolper kama ‘sapraizi’ na kumwangukia akimuomba warudiane, jambo ambalo Wolper alilikubali mbele ya maelfu ya mashabiki wao.

Naomba niseme wazi hapa hadharani kuwa nimerudi kwa Wolper wangu”.

Kufuatia kile kilichojiri mjini Mtwara ambapo Wolper alieleza nia yake ya kumrudisha Harmonize kwenye himaya yake ambapo wengi waliamini kuwa wawili hao wamerudiana maana wahenga walisema kiporo hakihitaji kupashwa na moto mwingi.

Pamoja na kuwepo kwa tetesi za wawili kurudiana Mpenzi wa siku nyingi wa Harmonize, Sarah ambaye kwa sasa yupo nyumbani kwao nchini Italy lakini amesema wazi kuwa yeye na mpenzi wake Harmonize bado wako wote na anategemea kurudi Tanzania muda wowote.

Harmonize to fiancee: You should always expect cheating rumors when dating a star 

Singer Harmonize has been hitting the headlines hard after being accused severally of cheating on his girlfriend Sarah. The singer, though has denied over and over, has now come out to share that these are some of the things artists should expect in their careers.

And, also their women should be ready for such news.

Speaking in an interview with Pulselive, the singer shared that his wife Sarah should understand dating a celebrity comes at a price.

“Sio Kitu Kibaya maanake wivu pia ni Mapenzi, lakini kitu ambacho Sarah inafaa ajue kuwa ukikubali kuwa na Msanii lazima kuna vitu lazima tu ukubaliane navyo tu. Na Life style ya msanii inakaa vipi kuna wengine ni mashabiki na siwezi goma kupiga picha nao maanake bila wao mimi sipo. Kwa hivyo natumai tu anafaa kuelekezwa alafu atajua jinsi ya kuhandle situation kama hizo” Said Harmonize.

Not yet

He also went on to say that he has not proposed to his lover despite a video that went viral showing him doing it.

“Sijamvisha Pete mchumba wangu,… na Ndoa bado unajua siku zote ndoa ni mipango na ikifika wakati wa engagement nitawatangazia”  Harmonize responded.

 

Pee, Cum or just sweat? Kenyans left confused by Harmnoze’s wet pants after dancing with curvy woman 

The drama surrounding Diamond Platnumz signee Harmonize since stepping in Kenya is doubling every minute. First the singer dumped his lady after she allegedly slept with Diamond Platnumz’ bodyguard.

Then, he published all the people his ex-girlfriend Jacqueline Wolper slept with. The list of 11 men whom he claims she cheated on him with is now doing rounds online.

Performancein Kenya

A photo of the singer wearing wet pants has also left many talking. Harmonize was pictured having the wet pants during his performance at High Club during the weekend after dancing with a curvy lady.

Kenyans have been trying to analyse whether it was sweat, pee or cum. It’s hard to tell. But clearly his pants were wet, we just don’t know how.

Here’s the viral photo:

 

Harmonize’s fiancée responds after being dumped on live TV

It came as a shock not only to her but also Harmonize’s fans after he announced he’s a single man. Harmonize’s fiancée Sarah was dumped on live TV, in Kenya, just a few hours before  Harmonize took stage at High Club, a new club in Nairobi.

Still one

Sarah, who is Italian, has now come out to address the controversial statement from her man insisting that they are still together.

She wrote on her social media:

“I smile for the novels of Instagram hahaha really, I’m sorry for you but I’m not that kind of woman and
as long as I stay with my man Harmonize there will not be other people in my life and I love him more than you can imagine.

So if you want these kikki novels, go look for them on other pages… oh I forgot for all the PEOPLE who speak badly don’t worry that I will come to look at you.”

 

 

This is the man who dated Harmonize’s ‘mzungu’ girlfriend before the Tanzanian singer got lucky

There has been a lot of drama in the Tanzanian entertainment scene but we cannot complain as we also cannot stay away from watching it ourselves.

A few days ago Harmonize’s ex girlfriend, Wolper Stylish was said to have been having issues with the lady who replaced her in Harmonize’s life, Sarah.

Wolper and Sarah
Wolper and Sarah

Also read: Drama: ‘I told you I am coming for my man, here I am’ Harmonize’s ex girlfriend goes ham on singer’s new Italian girlfriend

Though there was no proof…the two ladies have finally come out to wash their dirty linen in the open and yes…Tanzanian superstars indeed have too much drama but the sad thing is that they happen to be sharing spouses.

At the moment Wolper is threatening to get her man back but Sarah is having none of that as she has been posting videos and pictures of how happy she is with her new found love – unluckily for her Tanzanian fans supporting Wolper seem to be willing to do anything to get her out of the picture.

With that, a new photo of Sarah and her husband has been making rounds on social media to prove that this Caucasian lady has always had a ‘thing’ for black men. Anyway, checkout the photo of the lady and her ex making rounds on social media.

Harmonize's Mzungu with her ex husband
Harmonize’s Mzungu with her ex husband

Wolper afunguka kuhusu uhusiano wake na Harmonize, hii ndio maana hawezi muacha!

Harmonize na Wolper wamekuwa pamoja kwa muda sasa na ingiwa wapenzi hawa pia hupitia mashida kama watu wengine, wawili hawa hawana mipango ya kuachana hivi karibuni.

Miezi kadhaa iliyopita wengi waliacha wakijiuliza kilichotokea kati ya hawa wawili na kuachana kwenye mitandaoni hata hivyo hakuna anayejua lakini kwa sasa wamerudiana na wawili hawa wanapanga kuanza maisha yao pamoja.

Hata hivyo Wolper alifunguka kwa mara ya kwanza kudai kuwa hakuna kitu kibaya ambacho Harmonize hashawai kumfanyia. Wolper alidai kuwa  hajuti kuwa na msanii huyu kwa sababu anamuelewa na pia kwa sababu wanapendana.

Harmonize akashifu madai kwamba wolper aliwai kufanya mapenzi na boss wake Diamond Platnumz

Mwanamuziki Harmonize amejitokeza kukashifu madai ya kwamba mpenzi wake wa hapo awali Wolper alikua na uhusiano wa kimapenzi na boss wake Diamond Platnumz.

I DON’T KNOW ABOUT THAT, SIJUI KAMA JACKIE ALISHAWAHI KUDATE NA CHIBU D. SIJUI NA SIJAWAHI KUSIKIA. MIMI MWANAKIJIJI BRO MJINI SIJAFIKA SIKU NYINGI, SO SIJUI NA SIJAWAHI KUSIKIA NDIO KWANZA UNANISUPRISE. KUMBE ILISHAWAHI KUTOKEA HIVYO?,” Alijibu wakati aliulizwa hilo swali.

Mwamuziki ametoa wimbo mpya alowakilisha Wolper kama video vixen na uvumi ukaanza kusambaa kwamba alimwandikia wimbo hiyo jambo ambalo amelikana.

Also read:Msanii kutoka Wasafi Harmonize azungumza mara ya kwanza kuhusu uhusiano wake na Wolper

Jambo la kutisha ni kwamba lazima angeomba mdosi wake Diamond ruhusa la kuingia na uwasiliano wowote na Wolper.

“CONFIRMATION NILIYOKUWA NAIHITAJI SIO HIYO BRO, NILIKUWA NATAKA CONFIRMATION KUTOKA KWA DIAMOND KWAMBA ANAONAJE MIMI NIKIKAA PALE KWA WOLPER. ALINIJIBU KUWA NI MWANAMKE MZURI LAKINI HAKUNIAMBIA KAMA ALISHAWAHI KUDATE NAYE NA WALA JACKIE HAJAWAHI KUNIAMBIA KAMA ALISHAWAHI KUDATE NA DIAMOND,” Alikamilisha jambo hilo.

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.