Mzazi mwenza wa staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz, Zari The Bosslady amethibitisha taarifa kuwa yeye na Diamond hawajarudiana bali wameelewana kwa ajili ya kulea watoto wao.
Tangu wiki iliyopita kulikuwa na tetesi zilizodai kuwa Diamond na Zari wamerudiana baada ya wawili hao kuonekana pamoja nchini South Africa na watoto wao.
Zari amefungukia tetesi hizo na kusema yeye na Diamond hawajarudiana kuwa wapenzi bali wameamua kuelewana kwa ajili ya kulea watoto wao.
Zari amefunguka hayo kupitia ukurasa wake wa Snapchat ambapo aliandika:
Tetesi za Diamond na Zari kurudiana zilianza baada ya wawili hao kukutana nchini South Africa baada ya kutoanana kwa miezi minne baada ya kuachana.
Staa wa muziki wa Bongo fleva Diamond Platnumz na mama watoto wake Zarinah Hassan wamerudi tena Kwenye headlines za kurudiana.
Zari na Diamond waliachana mapema mwaka huu baada ya Zari kumwaga Diamond Kupitia post yake ya Instagram katika siku ya wapendanao.
Tangu waachane Zari amekuwa muwazi kuhusu Mahusiano hayo huku akiweka wazi kuwa aliumizwa na vitendo vya kudhalilishwa na Diamond baada ya kutuhumiwa kuwa Kwenye Mahusiano na warembo kibao huku Diamond amekuwa mgumu kuongelea uhusiano huo.
Lakini sasa kuna Tetesi zinazoendelea kuvuma Kwenye mitandao ya kijamii kuwa Zari ameamua Kurudisha majeshi kwa Baby dady wake baada ya Meneja wa Diamond Babu Tale kusafiri kwenda South Africa kwa ajili ya kuwapatanisha.
Siku ya jana kuna clip ilisambaa Kwenye mitandao ya kijamii ikimuonyesha Diamond akitua nchini South Africa lakini haijajulikana kama alifikia nyumbani kwa Zari au hotelini lakini Zari aliposti picha ya zawadi alinunuliwa na ‘Baba Nee’ ambaye anaweza kuwa Baba Nillan (Diamond).
Ingawa wawili hao hawajathibitisha taarifa za kurudiana lakini Dada wa Diamond Esma amedokeza hilo na kumposti Zari huku akidai yule ndio wifi yake wa ukweli.
Word has be doing round that Tanzanian singer Diamond Platnumz has reconciled with estranged wife Zari Hassan after the singer was spotted several times in their South African home.
Diamond however claims that he was just visiting his kids who are with Zari. Speaking to a local website, the singer shot down any link that he has been asking for another chance.
“Hao wanaosema kwamba sijui nimemuangukia , nafikiri itakuwa ni maoni yao tu na stori za kutunga lakini kimsingi ni kwamba hayana ukweli wowote, Zari ni mama wa watoto wangu na itabaki kuwa hivyo,” he said.
Just went to see my kids
Diamond and Zari
He went on to add that he’s been visiting his kids Tiffah, Nillan and nothing more.
“Ni kweli ninaenda. Siyo mara moja au mara mbili nimeenda. Nakwenda kule si kwa maana ya kumuomba msamaha, hapana. Nakwenda kule kwa ajili ya kuwaona wanangu. Haiwezekani eti niwe natuma fedha za matumizi halafu nimeenda Sauz nisiende kuwaona wanangu, hilo litakuwa jambo la ajabu sana,”
Ringtone, almost two weeks after Zari Hassan mercilessly rejected him, it seems he has not moved on at all.
The singer appeared on 10 over 10 show on Citizen TV to speak about his thirst for Diamond Platnumz’ ex-girlfriend after Zari rejected him while in Kenya.
She’s the right woman for me
According to the singer, ever since Diamond ditched her, Ringtone has been having sleepless nights trying to think how he’ll land the sassy socialite. He believes she’s the right woman for him and is willing to do anything to win her.
“I love sleep and sleep is good but that night I was sleepless and when I slept I had a dream and in the dream I saw Zari and I was just passing I didn’t say anything to her and a voice told me I had to say hi to her,” said the singer on TV.
Ringtone
“Then I woke up and I felt a voice telling me Zari is the right woman for me. From there I had a fight with myself whether to say it or not to say it then I gathered courage and decided to post and tell her that dear, Zari Jesus loves you.” Said the Pamela hit maker in an interview with Citizen TV’s 10 over 10 show.
Ghafla has been following closely Ringtone’s advances on Diamond Platnumz ex-wife Zari Hassan and to be fair, it was over before it all started. The man just needs to work harder.
Seems like he will.
Speaking to Citizen Digital, Ringtone, who was the laughing stock the whole of last week after Zari Hassan rejected him and his hired brand new Range Rover, has come out to share that he’s now not only working hard to win the divorced mother of five, but also out to prove Kenyans wrong.
“Kenyans talk too much, they even said I don’t live in Runda and I was defaulting in rent payments. Even this one time will tell, I don’t have to convince anyone, I’m not a public institution,” said the controversial gospel singer.
Ringtone’s present to Zari
Only the persistent win
He went on to added that waving the flag is not in his plans. Zari shall be won one way or another.
“Quitters never win, I will not quit on what I feel for Zari, I will prove everyone wrong,” he said in the interview.
Mfanyabiashara maarufu kutoka Uganda Zarinah Hassan Zari The Bosslady ambaye pia ni mzazi mwenza wa staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz, amemtaka Ex wake huyo kutumia kinga.
Zari alishaweka wazi siku za nyuma kuwa alimshindwa Diamond kwa sababu ya Michepuko yake na kupelekea kumtosa siku ya wapendanao Miezi michache iliyopita.
Kupitia Citizen TV, Zari alitumia nafasi hiyo kutuma ujumbe kwa wanaume wote wasaliti kutumia kinga ili kutowahatarishia maisha wapenzi wao. Zari alisema hayo wakati akijibu swali aliloulizwa la sababu hasa iliyomfanya kutangaza kummwaga Diamond.
Zari alieleza kwamba, mwanamke hawezi kumzuia mwanaume kusaliti, lakini kama mwanaume ameshindwa kujizuia na anapaswa au ameamua kufanya hivyo, basi angalau atumie kondomu katika tendo la ndoa.
Kwa wanaume, sisemi kwamba wawe wasaliti kadiri wawezavyo, hapana, lakini kama wanataka kufanya hivyo, wajaribu kutumia kondomu kwa sababu siyo kwamba watapata watoto wasiotarajiwa tu, lakini pia wataishia kupata HIV na magonjwa mengine ya kuambukiza (STD’s).“Siyo hayo tu, lakini pia wasipotumia kondomu watawapelekea magonjwa wengine (wapenzi wao) wanaowasubiria nyumbani”.
Zari alikazia mkazi sana kwenye suala la kutumia kinga unapoenda kuchepuka kwa sababu Diamond hakutumia kinga yoyote ambayo ilisababisha kumpa mimba Hamisa wakati yupo na Zari.
It seems singer Diamond Platnumz has been watching closely as his ex-wife Zari Hassan acquired the brand new Range Rover 2017 that costed more than KSH 10 million. Zari bought the car a few weeks ago as a present for herself.
“Good morning to all. From last year I knew I wanted to buy this car. Been working so hard waking up at 4am at times, even taking gigs I shouldn’t have but I knew every cent will count. I don’t have a sponsor nor am I dating. I earned it, I paid it!!!!said Zari Hassan.
Zari with her new Range Rover
Keeping up?
Diamond Platnumz has also decided to treat himself with something special. According to Tttrautoupgrades, the company tasked with making the 2018 model of Land cruiser V8 200 series, Diamond has ordered a brand new V8 which costed almost KSH 12 million.
Ugandan sensation Zari Hassan has seen all kind of relationships dramas. From domestic violence, being cheated on and finally being dumped, the sexy socialite and mother of five has a story to share.
Kenyans however hated her side of the story after she shared some relationship advice in an interview on Citizen TV.
Zari asked Kenyans always to use a condom if they have to cheat, a thing that annoyed some.
Keep your advice to yourself
Zari on Citizen TV
On Citizen TV’s Facebook page, Kenyans complained that the mother of five was misleading people with her advice and should focus on getting her life together first before trying to advise other people.
“For the guys, if you have to cheat; condomise it! There is STIs and HIV/ AIDS. Don’t put your family/ partner in jeopardy,” said Zari in the interview.
Here’s what Kenyans said:
Martin Kariuki ItaI can’t take advice from this arrogant lady with fake accent ‘n she’s Tanzanian’ about cheating yet she has a school of 5 kids with different hyenas…….
Brian Krthis woman is overrated….she should keep those advice to herself….your life is just a mess my friend ?????ata kama uko na pesa
Bonny OmmaniYoungsters drink from your on cistern, otherwise its troubling on how Ringtone could live in shadows of two men who have sired children while the lady thrives on limelight, has moaned a lot for loosing both the dead & living hubbies.
Biki Arap RongoeYou have five kids from different fathers and here your telling us to condomise cheating,you are preaching water and drinking wine.hypocrisy at its best.
Martin MuiruriWait, cheat but condomise? I guess Diamond wasnt condomising.. What of the five kids that are not Diamond’s? I bet she just learnt what condoms are used for.. ???
Ron EshShe can’t take her own advice. 5 kids all different dads. Hmmm they have names for people like that
Vincent OchiengZari is right, very right. You guys spewing insults at her how many ladies have you screwed!??? Are you sure the man you call your father is really your biological father??? ????. Are you sure of your HIV status!??? Reflect on your life first. How many children have you fathered outside wedlock!???? Deadbeat fathers.
Kezy Kazina KezyThe fact remains that she has said it so whenever you are going to cheat on your partner you will remember her words ‘condomise’ please …why such hate .Zari is a strong woman, a definition of beauty with brains ,your insults doesn’t give her sleepless nights.
Serena AkinyiHahaha zari you make my night hahaha really? I thought you are in Kenya as investor as in Kenya they need more investor can you open a factory of condom in Kenya ?
Zari Hassan is currently in Kenya for the Purple concert which will be tomorrow at Uhuru Gardens. She has been doing a bunch of interviews, hyping up the event.
In her Classic 105 FM interview with Miana Kageni today, she confessed that she loved Diamond and it hurt her when they broke up.
“I loved him so much and everyone knows about that. You can go cheat there as a man but when it comes in with ‘madharau’ that is when it became too much. I felt that my integrity was so low.
Adding:
Like, when my big boys see trolls, Diamond misbehaving on social media, they will not have respect for women when they grow up. I asked myself, why do I have to settle low for this? My children were insulted on social media. Being the fact that they do not have a father, they will know that in future they need to respect women and that is why I left.
It’s a moment singer Ringtone has waited for months but now that it’s here, there’s a problem. Zari Hassan is in Kenya to grace The Colour Purple event this weekend at the Uhuru Gardens. Ringtone has been doing everything possible to get her attention and now that she’s in Kenya, he has been optimistic that they might finally meet, and maybe wed.
Zari, however, has no idea who this Ringtone guy is.
In an interview with Kiss FM, the Ugandan opened up that she doesn’t know him and doesn’t have an idea how much he’s into her.
“I don’t know Ringtone and I have never met him. This is actually news to me. I have over 3.9 million followers on Instagram and I wouldn’t know who follows me,” she said in the interview.
Zari in kenya
Can’t give him my number
While Ringtone has been feeding Kenyans a lot of tales of how he’s trying his best to win the mother of five, Zari, has been sharing how she doesn’t need a man. In the interview, she was quick to say that she wouldn’t give ringtone her number.
When asked if she can share her number with Ringtone, she said, “I wouldn’t want that to happen (laughs).”
Mfanyabiashara maarufu na baby mama wa staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz, Zari The Bosslady ameibuka na kuapa kuwa hataweza kutembea na mwanaume wa Kitanzania tena.
Zari ameyasema hayo baada ya Kupitia kipindi Kigumu na Ex wake Diamond ambaye alichepuka sana kipindi cha Mahusiano yao ya miaka minne hadi kufikia hatua ya kuzaa nje.
Zari alimwaga Diamond mapema mwaka huu siku ya wapendanao baada ya kuchoshwa na tabia zake za kupenda michepuko.
Lakini pia Zari ameibuka na kudai kuwa mtoto wake Tiffah sio wa Tandale hii iliyokea siku chache zilizopita wakati Zari na marafiki zake walipokuwa Kwenye Instagram live.
Zari alifunguka na kusema mtoto wake Tiffah anashindwa kutofautisha kati ya R na L tabia ambayo ameirithi kutoka kwa Upande wa Baba yake kwani Watanzania wengi hawawezi kutofautisha R na L na wengi wao wanamuita Zali badala ya zari.
Ndipo mmoja kati ya marafiki wa Zari alisema Tiffah ni wa Tandale Lakini mara moja Zari alikataa na kusema mwanaye sio wa Tandale.
Tandale ndipo Diamond na familia yake walipokulia na hajawahi hata mara moja kukataa asili yake na hata albamu yake inaitwa ‘A boy From Tandale’.
Mwanamuziki wa Bongo fleva kutoka label ya WCB Harmonize kwa mara ya kwanza amefungukia suala la kuvunjika kwa Mahusiano ya Zari na Diamond Platnumz.
Miezi miwili iliyopita siku ya wapendanao Zari alitumia ukursa wake wa Instagram kumwaga aliyekuwa mpenzi wake Diamond baada ya kuzidisha michepuko ingawa suala hilo lilitokea muda mrefu uliopita lakini mpaka leo linatrend.
Harmonize mbali ya kuwa msanii wa Diamond lakini pia ni mtu wa karibu ambaye pia alikuwa na ukaribu na Zari kwaiyo alipoulizwa anachukuliaje wawili hao kuachana alisema anaheshimu maamuzi ya Zari.
Kwenye mahojiano aliyofanya na Funiko Base ya Radio Five, Harmonize amefunguka na kusema kuwa yeye binafsi anaheshimu maamuzi ya Zari kwa sababu ana maamuzi yake binafsi.
Mimi naheshimu sana maamuzi ya mtu siwezi kuongea kama ni vibaya au ni vizuri Kwanza muda wa kumshauri mtu kuhusu Mahusiano Yake ndio sina”.
Lakini pia Harmonize alisisitiza kuwa hawezi kumuongelea sana Zari na kuorodhesha mambo ambayo alimsaidia kwani unaweza ukaonekana mnafki.
Diamond Platnumz ameachana na Zari mwezi uliopita na tangu hapo Kumekuwa na fununu za wanawake kadhaa kuchukua nafasi yake lakini Wema amerudi kwenye nafasi ya kwanza.
Kumekuwa na tetesi nyingi za kuwa Diamond amerudiana na aliyekuwa mpenzi wake miaka michache iliyopita, Wema Sepetu.
Siku ya leo ni kama Wema amezidi Kutia petroleum kwenye tetesi za yeye kurudisha penzi kwa Diamond kwani ndo zinazidi kuwaka moto.
Siku ya jana Wema alitajwa na watu kadhaa kutoka WCB kuwa kama African beauty na moja ya watu hao ni Harmonize ambaye alimtag Wema kama African beauty wake na Wema alijibu Mapigo kwa posti hii aliyotupia kwenye ukurasa wake wa Instagram:
Lakini pia Wema hakuishia hapo kama utakumbuka Zari alivyompiga Diamond kibuti siku ya Wapendanao alitumia Ua la rangi nyeusi kuashiria penzi lililokufa lakini leo Wema kaposti Ua la rangi nyekundu kuashiria penzi lilohai na tamu.
Posti hiyo inazidi kuibua tetesi kuwa inawezekana Wema anamrusha roho adui yake namba moja Zari baada ya kurudiana na Diamond.
It seems gospel singer Ringtone has his eyes on the price, not matter the challenges. That’s how his life has been even when he was just a street kid with no idea where he’ll sleep or eat.
The singer will not give up on Zari Hassan, Diamond Platnumz ex-wife, and has announced that he will be heading to Uganda soon with a couple of elders to ask about Zari’s bride price.
“I’m going to Uganda to visit Zari’s home and I’m going with some of my friends and one or two elders. We are going to seek to know if we can be able to pay dowry,” said the controversial singer who has been obsessed with Zari ever since she ditched Diamond after he cheated on her.
Ringtone claims that he has always wanted to be with Zari, but, Diamond was always on the way. Now that he’s gone, he feels this is his only chance.
I’ve loved Zari but I’ve restrained myself knowing she was in love with another person, as a person with integrity you can restrain yourself but it gets to a time when that person is free you get her.”
Zari is not interested
While Ringtone is having sleepless nights thinking how he’ll impress the former socialite, Zari, on the other hand, is tossing and turning in her bed thinking how she’ll be able to keep pestering men off her life and focus on getting money.
Mwanamuziki mkongwe wa Bongo fleva kutoka label ya WCB Queen Darleen ambaye pia amejipatia umaarufu kwa kuwa dada wa staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz, amefunguka na kusema bado anampenda aliyekuwa wifi yake Zari.
Zari alimwaga aliyekuwa mpenzi wake Diamond Platnumz mwezi uliopita lakini mpaka leo bado wanatengeneza headlines kwenye mitandao ya kijamii kwa kuongelewa.
Queen Darleen amefunguka kwenye mahojiano aliyofanya na Global Publishers ambapo aliulizwa kuhusu mawifi zake kwa Diamond hasa kwa sababu Amekuwa hatabiriki yupo upande gani maana bado ana urafiki na Penny ambaye alikuwa mpenzi wa zamani wa kaka yake.
Queen Darleen ameongelea mapenzi yake kwa Zari huku akikiri kuwa bado anampenda sana wifi yake huyo:
Kwanza kabisa watu wajue mimi nampenda sana Zari Tena sanaa lakini kiukweli huko nyuma nilimpenda Wema kwa sababu ndiye alikuwa ni wifi kwa kipindi hiko lakini Penny amebaki kuwa rafiki yangu hadi sasa”.
Lakini pia Queen Darleen alifunguka kuhusu Hamisa ambapo amedai yeye na Hamisa hawana mazoea sana anachojua yeye yule ni mama wa mtoto wao Abdul na walikuwa wanaonana kwenye masherehe tu huko nyuma.
Queen Darleen amekiri kuwa hapendi sana kumfuatilia Diamond na maisha yake binafsi kwani yeye hajawahi kumfuatilia hata siku moja.
Mfanyabiashara na mzazi mwenza wa msanii wa Bongo fleva Diamond Platnumz, Zarinah Hassan ‘Zari’ amerudi tena kwenye headlines baada ya kumua kufumua bifu lake na baby mama mwingine wa Diamond, Hamisa Mobetto.
Inaelekea bifu la wazazi wenza wa Diamond limerudi upyaaa kwani Zari kaamua kulianzisha tena baada ya kimya kirefu juu ya suala hilo na tofauti tulivyodhani kuwa huenda wamemaliza tofauti zao kama ambavyo Diamond na Hamisa walivyomaliza mahakamani.
Siku ya jana Zari kutumia mtandao wa SnapChat alimrushia Hamisa madongo upya kama ilivyokuwa siku za nyuma ambapo ameongelea kuhusu suala la Hamisa kuzaa na Diamond na pia taarifa za Hamisa kuchumbiwa na Diamond.
Siku za nyumba Hamisa ameshawahi kudokeza kuwa aliwahi kuchumbiwa au kuvalishwa Pete ya uchumba na Diamond na hata kuna taarifa zilienea kuwa huenda Diamond na Hamisa walifunga ndoa habari ambazo hazijawahi kuthibitishwa.
Mzuri, Mdogo lakini pamoja na hayo yote huwezi kupata mwanaume wa peke yako…..Eti amekuvalisha pete ya uchumba lakini hajawahi kukubali wala kukukubali hadharani! Dada jiangalie sana ….Anafanya Interview redioni eti mwenye mimba atoke blah blah”.
Lakini ni pia Zari ametangaza ujio wa kipindi chake kitakachoonyesha maisha yake halisia (reality show) kitakachoitwa Life of Zarithebosslady ambacho mashabiki wake watapata kuona kila kitu kuhusu maisha yake.
Msanii wa nyimbo za Injili kutoka Kenya anayejulikana kama Alex Apoko ‘Ringtone’ ameibuka tena na kudai ana pesa nyingi kuliko msanii wa Bongo fleva Diamond Platnumz.
Ringtone amezidi kumtaja Zari akubali kuolewa naye kwani amemhakikishia kwa pesa nyingi alizokuwa nazo atamtunza vizuri sana kuliko hata Diamond ambavyo angeweza.
Ringtone alifunguka hivi karibuni kwenye mahojiano aliyofanya na Citizen Tv ambapo alijitapa kuwa kama mjasiriamali alitengeza milioni moja yake akiwa mwanafunzi alipoanza kuuza cd zake za muziki lakini pia amejitapa kuwa ana biashara zake kwenye sekta ya afya na nyinginezo.
Msanii huyo amejitapa ana pesa za kutosha za kuweza kumlea Zari pamoja na watoto wake wote na pia Zari ni mwanamke mzuri na wa gharama ndio maana Diamond ameshindwa kumuhudumia alijaribu kwa miaka mitatu lakini ameshindwa kuendelea lakini yeye yupo tayari.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram Ringtone alimuwekea Zari ujumbe huu:
Dear Zari Jesus loves you so much na amenitumia mimi leo kukwambia ana mipango poa na wewe. Mimi alinitoa from the streets mahala sikuwa na family, nyumba hata lishe buy now na magari, hela na magari ninavyo tele. Don’t waste time you never know tomorrow. I love you tha same way God loves you”.
Mzazi mwenza wa staa wa Bongo fleva Zarinah Hasssan ‘Zari the Bosslady’ amerudi tena kwenye headlines mwishoni mwa wiki hii baada kufanya Interview kwa mara ya kwanza baada ya kutangaza kumuacha Diamond rasmi.
Siku ya Valentine’s Zari aliushangaza uma wa watu baada ya kutangaza kupitia ukurasa wake wa Instagram kuwa ameamua kumuacha mpenzi wake na Baba watoto wake kwa kile alichodai ni michepuko imesababisha.
Lakini Zari ametaja sababu kubwa ambayo imepelekea yeye kuachana na Diamond ni mpenzi wake wa zamani (Ex wake) Wema Sepetu.
Wiki chache zilizopita video na picha zilizomuonyesha Wema na Diamond wakikumbatiana na kushikana hadharani kwenye party ya WCB.
Zari amefunguka mengi Kwenye mahojiano aliyofanya na BBC Swahili nchini Uingereza, London ambapo ameweka wazi alifikia uamuzi wa kumuacha Diamond baada ya kuona picha na video akiwa anakumbatiana na Wema Sepetu kusambaa kila kona Kwenye mitandao ya kijamii:
Kwanza hakuwa ametegemea mimi kuposti vile Instagram kutangaza kumuacha kwa sababu nilikaa mwenyewe muda mrefu nikafikiria mwishowe nikaamua tuishie hivyo”.
Zari amezidi kufunguka na kueleza kuwa walikuwa katika jitihada za kuuweka uhusiano wao kwenye mstari ulionyooka baada ya usaliti aliomfanyia uliompelekea kuzaa na Hamisa lakini alimuumiza zaidi alivyoona video akiwa anakumbatiana na Wema kwenye mitandao ya kijamii.
Unakaa leo unasikia hiki kesho unasikia kile kukumbatiana na ma-EX kwenye public kufanya vitu vya kunidhalilisha mimi na watoto wangu na unaona kabisa sio sawa na mtu ukiamua kuwa na familia unatakiwa vitu vingine unataka kama nimeshakukubali kuwa wewe ni msanii kutakuwa kuna vitu vingine unafanya lakini kuna vitu unatakiwa uweke stop ili kuiheshimu familia yako”.
Zari amefunguka na kusema baada ya kuona Diamond anapiga picha anakumbatiana na Wema kwenye social media aliamua kumblock kila sehemu hivyo alikuwa hana mawasiliano naye ya aina yoyote kuanzia hapo mpaka siku ya Valentines alipoamua kumuacha.
Zari amefunguka na kusema tangu amuache Diamond Kwenye Instagram hajawahi kuongea naye Tena wala kuwasiliana naye wala hajawaona watoto wao.
Msanii wa mziki wa Bongo fleva, Amber lulu amejikuta akivamiwa na kupewa vichambo vya maana na Team Zari baada ya kusema mtoto wa Zari Nillan sio mtoto wa Diamond.
Siku ya jana Hamisa aliweka picha za mtoto wake aliyezaa na Diamond Instagram na moja kwa moja zilizua gumzo huku kila mmoja akiibuka na kusema lake.
Amber lulu ambaye anajulikana wazi kuwa ni rafiki wa Hamisa aliweka picha ya Nillan huku ikisindikizwa na maneno haya:
Toto Dee raha ya mtoto afanane na na Baba yake kwa kweli maana unaambiwa wako hujafanana naye hata kidole nasubiri wa shoga yangu Gigy Money najua Baba Candy sio mtu wa mchezo mchezo ila hongera mzaa chema”.
Lakini baada ya kuweka posti hiyo kwenye ukurasa wake wa Instagram kuna mtu akamuuliza Yule mwingine kafanana akimaanisha Nillan, Amber Lulu alionekana kajibu Kafanana na Baba yake Ivan mi sipo.
Kwa muda mrefu watu wamekuwa wakimfananisha na kudai mtoto wa Zari Nillan hafanani na Diamond na kuunganisha picha huku wakidai Nillan ni mtoto wa Marehemu Ivan jambo ambalo Zari amekwisha kataa na kusema sio kweli na hata Diamond alisema ameshakubali yule ni mtoto wake.
Mrembo Tunda Sebastian ambaye ni Video queen maarufu amefunguka na kusema hatokaa kumuongela Zari wala kuvunjika kwa penzi la Diamond na Wema.
Tunda amedai amefikia uamuzi huo baada ya kukiri kuoga mvua ya matusi kila mara akifungua mdomo wake kuongelea jambo lolote linalomuhusu Zari amekuwa akiishia kuoga mvua ya matusi kutoka kwa Watanzania.
Tunda alipata umaarufu zaidi mwezi uliopita baada ya kupatwa na skendo ya kutoka kimapenzi na Diamond ambaye kwa kipindi hiko alikuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi na mzazi mwenzake Zari the Bosslady.
Kwenye Interview aliyofanya na Global Publishers Tunda alifunguka na kusema kuwa amefikia uamuzi wa kutokaa na kumzungumzia tena Zari kwani chochote kile anachokizungumza watu wataanza kumshushia mvua ya matusi na familia yake haipendi kuoana anatukanwa vile.
Kwenye mahojiano hayo Tunda ameongea haya:
Mimi kuhusu Zari au sijui ishu zao za kuachana kwao na Diamond au kitu chochote kinachohusiana na mambo yao sitaki kabisa kuzungumzia maana wengine sisi Damu zetu ni kama za kunguni nikisungumza chochote itakuwa ni shida tupo”.
Mfanyabiashara maarufu Zarinah Hassan ‘ Zari’ ambaye ni maarufu Tanzania kwa kuzaa na uhusiano wake na staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz ameamua kumtosa Diamond na familia yake yote huko kwenye mitandao ya kijamii.
Wiki hizi chache zimekuwa zikimhusisha mrembo Zari na mpenzi wake Diamond kwenye vichwa vya habari kila siku huku kila uchao ni stori mpya na mwanamke mwingine huku wiki hii ni Tunda ndiye anatawala headlines.
Kumekuwa na stori kwenye mitandao ya kijamii kuwa Tunda anatoka na Diamond lakini pia kikubwa ni kwamba ni baba wa mtoto wa Tunda aliye tumboni.
Piano kumekuwa na video clip inayomuonyesha msichana anayeitwa Mia ambaye ana undugu na Tunda huyu alipata umaarufu juzi juzi baada ya video yake kusambaa akiwa Nyumbani kwa Diamond Madale lakini baadae time ya Diamond ilidai msichana yule alikuwa demu wa dancer wa Diamond ingawa baadae alikuja sema kuwa alilala naye.
Lakini pia Diamond ana skendo nyingine kubwa ni kuwa yeye na mpenzi wake wa zamani, Wema Sepetu wamerudiana hiyo imeonekana mwishoni mwa wiki iliyopita pale Wema na Diamond walipoanza kushikana shikana na kukumbatiana ukumbini halo iliyozua tafrani.
Baada ya skendo zote hizi kumfikia Zari ambaye hivi sasa yupo nchini South Africa ameamua kuwa-unfollow kwenye mtandao wa Instagram familia nzima ya Diamond kuanzia Diamond mwenyewe, Mama Diamond, Esma, Rommy Jones mpaka mameneja wote wa Diamond na Time nzima ya WCB.
Mara ya mwisho Diamond kuhojiwa nchini Rwanda alidai kuwa hana msichana mwingine zaidi ya Zari na bado wako wote hadi hivi sasa lakini Zari hajaongelea lolote kuhusu status ya relationship yao mpaka hivi sasa.
Mwanamuziki wa Bongo fleva Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz Amefunguka na kudai kuwa mwanamke wa mwisho aliyemtongoza alikuwa ni mzazi mwenzie Zarinah Hassan ‘Zari the Bosslady’.
Diamond alifunguka hayo alipokuwa nchini Rwanda wiki hii ambapo ameenda nchini humo kwa ajili ya kuzindua bidhaa zake ambazo ni Diamond karanga na Chibu perfume.
Katika kipindi cha wiki hizi chache kumekuwa na maneno maneno ya chini chini ambayo yanadai kuwa Diamond wamechepuka na Tunda na kumsaliti mpenzi wake Zari lakini pia inadaiwa Diamond amempa mimba mrembo huyo.
Diamond ameweka wazi kuwa tangu amtongozee mpenzi wake Zari mwaka 2014 ndio ilikuwa mara yake ya mwisho kufanya hivyo hahawahi tena kutongoza mwanamke yoyote lakini pia amedai sababu ya kutomtongoza mwanamke mwingine ni kwa sababu yuko na Zari tofauti na kipindi cha nyuma kabla hajawa maarufu.
Diamond alifunguka hayo kwenye mahojiano aliyofanya na kituo cha Kiss FM cha nchini Rwanda, ambapo katika utaratibu wa maswali na majibu Diamond aliulizwa Kama alishawahi kukataliwa na mwanamke kabla ya umaarufu wake? Diamond alijibu “Ndio wengi tuu kwanini isitokee?”.
Lakini pia Diamond alihojiwa na kuulizwa kama ni lini alikataliwa na mwanamke au kusikia neno hapana kutoka kwa mwanamke?Diamond alijibu “Tangu nimtongoze Zari hadi sasa sijawahi kumtongoza mwanamke mwingine”.
If Zari’s Snapchat posts are anything go by then Diamond Platnumz must have some explanation to do.
A few hours ago a lady believed to be Tunda’s sister shared a video showing off Madale on her Instagram page. This left many convinced that Diamond had been hosting ladies in his house when both his mum and Zari are away.
However the singer’s team brushed off the story saying that the young lady was a girlfriend to one of Wasafi records dancers. But even with that no one was really convinced with the story.
Zari sarcastically laughs off her pain
Well, Zari seems to have heard the rumors making rounds on social media. This time around she however did not act surprised but made sarcastic posts on Snapchat.
Looking at her posts, Zari might just have given up on her relationship but does she really learn?
Zari Hassan and Tunda will never see eye to eye. Word has it that Zari finally heard that her man has been roaming around with his latest side chick, Tunda.
According to Tanzanian gossip tabloids, this comes a few weeks after Zari claimed that Diamond Platnumz had changed for the better.
The mum of 5 even went ahead to make fun of Hamisa Mobetto through social media pages; not knowing that Diamond Platnumz true colors would be seen in less than 15 days into the new year.
Seeing that he will never be ready to settle down, Zari has now decided to focus on herself.
Diamond Platnumz panicks following Zari’s move
So now Diamond Platnumz is said to have put Zari as his WhatsApp profile picture. This is to help make peace with the lady who might eventually leave him before the year ends.
Even with that, it’s clear to see that Diamond has been making Zari look like a fool.
Mwanamuziki wa Bongo fleva Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ amezidi kujidhihirisha kuwa yeye ni mkali baada ya Jana kuonyesha bonge la mjengo ambao utatumika kama makao makuu ya WCB.
Diamond ambaye ni mmiliki wa studio za Wasafi Classic Co. ambayo ilianza kama label ya muziki inayosimamia wasanii wakubwa wa Bongo fleva nchini kama Rayvanny, Harmonize, Lavalava, Rich Mavoko, Queen Darleen, Mbosso.
Wiki chache zilizopita kwa mara ya kwanza meneja wa Diamond, Babu Tale alidokeza kuwa kuna mpango wa kufungua stesheni ya redio na kituo cha televisheni ambavyo vitamilikiwa na Diamond. Lakini pia siku chache zilizopita alipokuwa nchini Kenya kwenye interview na kituo kimoja Diamond alithibitisha mipango hiyo ya kufungua television station na radio station hivi karibuni.
Siku ya Jana maneno hayo yalitimia kwani kwa mara ya kwwnza Diamond rasmi katambulisha mjengo mpya ambao utatumika kama makao makuu ya WCB na studio za redio na televisheni.
Baada ya habari hiyo njema na watu mbali mbali kumpongeza sana mzazi mwenza wa Diamond na mpenzi wake Zari the Boss lady alifunguka maneno mazito mtandaoni na kuandika mambo yafuatayo kwa Diamond:
Hongera Diamond sanaa kwa bidii na juhudi uliyonayo Allah akujaalie kwa mengine mazuri zaidi. Siku zote umekuwa mpiganaji wa kazi zako kwa kuwa njia pekee ya kuijenga familia ni kupiga kazi najua malengo yako Alhamdulilah!”.
The drama going on in Tanzania can only be handled by a Telenovela station.
Well, seems that Diamond Platnumz this time around sparked a heated battle between his baby mama. This is after he revealed the woman he is really interested in.
Having travelled to South Africa to celebrate his son’s birthday, the singer unleashed new photos acting lovey dovy with Zari. As expected the photos went viral and to our surprise Hamisa Mobetto responded through her Snapchat account.
Seems that their is a lot to go down now that Hamisa Mobetto is about to unveil her son’s face. With his 40 days celebrations around the corner, Zari Hassan has come out claim that she has been discussing with her man about the child he is said to have fathered.
Hamisa Mobetto’s son
Speaking on Phone with Ugandan tabloid the lady went on to say that she has been asking the Tanzanian artist about the child but he keeps on insisting that he is not the father. According to Diamond Platnumz the boy is Hamisa Mobetto’s ex boyfriend who also fathered their 1st born daughter.
However as much as she wants Diamond Platnumz to come out clean, she cannot force him to take responsibility when he says the child is not his.
Listen to the audio below courtesy of the celeb chronicles Instagram.
Diamond and Zari recently had friction because of a swim spa photo. The two lovebirds are once again on a collision course and this time it’s damn serious.
A month ago, Ivan Ssemwanga’s cousin – Edwin Lutaaya almost caused Diamond and Zari’s marriage to break after he was seen having a nice time with Zari in a swim spa.
Zari’s fans recently took issues with Diamond after the singer failed to go to the hospital to see his mother-in-law who has been in and out of hospital recently. Zari’s mother has heart complication and has been in and out of hospital in South Africa in recent weeks.
Netizens realized all was not well between Diamond and Zari after the latter changed their daughter’s name. Zari stated on Instagram that her daughter was no longer Latifah Dangote but rather Latifah Hassan.
The name ‘Dangote’ is Diamond’s surname, he picked the name after he started conquering the continent with his songs.
Speculations are rife Diamond and Zari might be splitting for real this time, up to date Diamond hasn’t sent Zari’s mother get-well message and now Zari has dropped Diamond’s name from daughter.
So every beginning of year as Ghafla we sit down in our weekly dose of gossip tell tales over a bottle of Rum and chicken wings where we basically discuss some of the hottest trends the previous year and what we should expect in the New Year. Cutest celebrity couples never misses in that discussion and keeping up with tradition; we have the full list of cutest couples of 2017.
Even though there are a few new entrants, most of the celebrities pretty much made it to last year’s list. So without further ado, cutest celebrity couples of 2017:
The first couple to make the list has to be Bien of Sauti Sol and Chiki Onukwe. It’s been a whole year and the couple still keeps us entertained when they share sweet and lovely messages on the gram. The most has to be on valentines where Bien publicly claimed he was lonely now that his chick was out on the hustle. Then for a G like him to admit to that, that’s really dope and they definitely deserve the number 1 spot on this list.
Then there is hottest couple of the moment, Bahati and Diana Marua if indeed they are a couple. Bahati keeps on insinuating they’re prayer partners but we’re hearing none of it. Why? Because they have f*cking chemistry (I’m I allowed to say that when referring to gospel people) as it comes off on the pictures they have shared together in the last couple of months.
Janet Mbugua and hubby also had to make this list because let’s be honest, they are everyone’s couple goals. First of all they both have very thriving and successful careers and secondly they openly support each other. Eddie Ndichu was recently hanging out with the president and Janet wouldn’t stop gushing over in on her gram.
Another couple which made the cut last year and is again back has to be Eric Omondi and his Italian Bae Chantal. Just look at the rendition of the Garden of Eden they did on Valentines and you’ll understand why they’re the cutest thing you’ll ever see.
Lastly there is Diamond and Zari..I know they are not Kenyan but we equally love them. Over time they have proven to us that age is nothing but a number when it comes to the game of love.
There is no woman who trusts herself like Zari Hassan. She is one who has learnt to shove negative comments and women chasing her man. The mother of 5 this past weekend did not need to introduce herself or explain who she was to Diamond Platnumz as her outfit already covered that.
Her silk komono had silver writing that read “Mrs Dee”…yes she dared walk in that despite having had issues with her in-laws a few months back.
Anyway, while many are claiming that she is forcing herself to Diamond…I differ as we have seen the singer go to all lengths to make this woman comfortable and happy!
You would think the fact that she already has 5 kids, is married to one of the biggest and richest celebrities in Africa that team mafisi would stay away; you thought wrong!
It appears Team mafisi are a constant nag in Diamond and Zari’s life.
While speaking on Clouds FM earlier today, he revealed how this one particular insistent on smashing Zari and he was willing to do anything. And no curving by Zari was stopping him so the two deliberated and decided to block the guy.
Diamond and Zari at the all white party
He also spoke of how at the beginning some of his close friends trying to tarnish his name in Zari’s eyes so that they could appease and get a chance to smash as well.
They have however learnt along the way and they now make better choices in their relationship. And one the biggest choices they have made is to stay away from each other’s phones.