Nay Wa Mitego teams up with Stamina, YJ and Mr T Touch on ‘Achia Remix’ (Video)

Award-winning Tanzanian rapper Emmanuel Elibariki, popularly known as Nay Wa Mitego, has been featured by his country mate YJ on Achia Remix alongside Stamina and Mr T Touch and it’s a big tune.

Also read: Kenyan musicians have so much to learn from their Tanzanian counterparts

The jam has been getting a lot of airplay since it was released a few days ago and their fans can not stop listening to it because it’s a masterpiece.

If you enjoy Swahili rap, like yours truly, then I am sure you’ll love this track. The artists who were featured in it were well-thought out. They are some of the best singers and/or rappers in Tanzania and they aced it.

Stamina

Take for instance Stamina who is on the first verse of Achia Remix. This lad, who is one half the hip hop duo Rostam, has an impeccable flow and his job is to make sure you are hooked from the moment you hit the play button.

His ability to play around with words and make rhymes is unmatched. To add to that, after listening to his verse I am sure you will agree with me he has great punchlines too.

As expected, Nay Wa Mitego also killed it. He brought his A-game and to be honest, I was not expecting anything less from him. His flow is really dope and he makes it look so effortless.

YJ came through on the hook. Admittedly, if you look at him, you can easily dismiss him but believe you me, this guy can really sing and it goes to show that you should not judge a book by it’s cover.

Nay Wa Mitego

The beat by Mr T Touch is also sick. Apart from the fact that it is danceable, it also blends well with the diverse styles of the artists who are featured in this jam.

The video for this track is crisp. Although it was shot at night, it has some great scenes and if you ask me, I know you won’t, the director should get a pat on the back for the beautiful execution and flawless scene transitioning.

Watch Achia Remix below and tell us what you think.

Nay Wa Mitego is back with a new jam ‘Mungu Anakuona’ and it’s worth your time (Video)

Tanzanian rapper Emmanuel Elibariki, popularly known as Nay Wa Mitego, has dropped a new jam and we’re really feeling it.

The song dubbed Mungu Anakuona, which translates to ‘God is watching you’, talks about the evil deeds that people engage in without thinking about the repercussions.

Some of the deeds mentioned include; adultery, battery, lying, sorcery, abortion, going to church to look for women, gossiping, hypocrisy, just to name a few.

Nay Wa Mitego
Nay Wa Mitego

In the song, Nay Wa Mitego discourages these acts because you will have to answer to God for the things that you do in the cover of darkness or when no one is watching.

I love this jam. Apart from the powerful message that it carries, you’ll agree with me that it is well arranged and you just want to keep listening to it. Actually, it’s a good example of inauma but itabidi uzoee. I digress.

Nay Wa Mitego’s lyricism is on point. Although this song would be deemed as serious because of the message that it carries, you’ll still enjoy the rhymes and punchlines in it.

The beat, which was produced by the one and only Gachi B, is also commendable. I kept dancing on the seat as I was writing this and you can’t even blame me. If I was asked to rate this jam, I would give it a 9 out of 10.

Listen to Mungu Anakuona below and tell us what you think.

Nay Wa Mitego is back with a new jam dubbed ‘Vua Nguo’ and we love it (Video)

Tanzanian rapper Emmanuel Elibariki, better known as Nay wa Mitego, has dropped an new joint and we really love it.

The song dubbed Vua Nguo, which is a Swahili for ‘take off your clothes’, has been receiving good airplay since it was released three weeks ago.

As you can tell from the title, this is not an ordinary jam. Put simply, you should expect some sexual innuendos since clothes are being taken off. If you are a prude, then this song is definitely not for you.

Nay Wa Mitego
Nay Wa Mitego

I really love this song. The more I listen to songs by Nay Wa Mitego is the more I appreciate his ingenuity. If you like Swahili rap, then you’ll agree with me that this song is a masterpiece.

Although I love this song, I say that I felt that the words “vua nguo” were over repeated. It almost seems like that’s all he is saying from the time the song begins to the time it ends.

That said, I know you will agree with me that Nay Wa Mitego had some dope verses. Actually, I found myself pausing the song to think about what he had said and that’s how you know it’s lit.

The audio and visuals were also dope. In my opinion both the producer and videographer did a good job, more so the latter since he blended the colours well in the video. Props to them.

Watch Vua Nguo below and tell us what you think.

Nay wa mitego ;-Natamani kumuona Diamond Msibani.

Msanii Nay wa Mitego ambae pia alikuwa moja ya watu waliofika katika msiba wa Ruge amefunguka na kusema kuwa amekuwa akitamani sana kumuona Diamond Platinmz katika msiba wa bwana Ruge mutahaba lakini anashangaa kwanini msanii huyo hatokei.

Akiongea na waandishi wa habari, Nay wa mitego  anasem “Duniani Tunapita tu, leo hatunaye Bosi Ruge , kiukweli natamani sana kumuona Diamond hapa msibani, muda bado lakini tusubiri labda tutamuona”

Diamond amekuwa moja ya wasanii walioshangaza watu wengi hasa kutokana na ukweli kuwa hakuna alieyetegemea kutokumuona msibani ukizingatia kuwa hata yeye alipita mikononi mwa Ruge hata kama wawili hao wanasemwa kuwa na mfarakano hapo nyuma.

 

Nay wa Mitego Kugombea Ubunge 2020

Msanii Nay wa mitego amefunguk akushusu tetesi zake za kutaka kugombea ubunge mwaka 2020  kama amabvyo taaarifa hzio zimekuwa zikisamba katika mitandao ya kijamii kisa kuwa karibu na watu wake mitaani, huku baadhi ya watu wakisema kuwa kufanya  hivyo ni kujiwekakaribu na wananchi ilikuweka ku-win  mwaka 2020.

Hata hivyo nay wa mitego amefunguka na kukataa swala hilo huku akisema kuwa hawezi kufanya hivyo kwa sababu anaona kabisa kuwa yeye hawezi siasa ya tanzania.

Nay wa Mitego anasema kuwa kugombea ubunge hatoweza kwa sababu siasa ya tanzania imejaa uongo mwingi sana na hana haja ya kukaa na kudanganya wananchi wake pia.

Hata hivyo nay wa mitego ambae aliwahi kusimama jukwaani miaka iliyopita kunadi wagombea upande wa upinzani anasema kuwa amekuwa nandoto ya kuwa rais lakini rais asiyekuwa na mambo mengi zaidi ya kufanya vitendo tu na kunyoosha mambo kama anavyofanya sasa katika sanaa.

Sitamani Kuona Mtoto Wangu Akiimba Muziki :-Nay wa Mitego

Msanii Nay wa mitego amefunguka na kusema kuwa hatamani kuona mtoto wake hata mmoja akijiingiza katika swala la muziki kwa sababu hataki yale aliyoyapitia yeye katika muziki yawapate watoto wake pia.

Nay anasema kuwa ingawa hatoweza kukataa kama mtoto wake yoyote atajiingiza katika muziki  hivyo atamuunga mkono tu lakini hapendi iwe hivyo.

Natamani kuona siku moja wanangu wakipambana na maisha yao, wanakuwa na maisha na majina makubwa, ingawa ikitokea mmoja akijiingiza katika muziki ntamuunga mkono tu ingawa sitamani kuona hata mmoja wao akiijiingiza katika muziki.Na kwa sababu ya historia yangu sitamani mwanangu aje kuwa mwanamuziki.

Nay wa mitego ana watoto wawili wa kike na wa kiume.

 

Dudubaya Amtolea Povu Zito Nay Wa Mitego

Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo fleva nchini Godfrey Tumaini maarufu kama Dudubaya ameibuka na kumtolea Povu zito msanii mwenzake Nay wa Mitego.

Dudubaya amerudi kwa kasi ya ajabu kwenye headlines Baada ya kuwa kimya kwa miaka mingi tangu alipoacha kufanya muziki miaka michache iliyopita lakini tangu arudi kwenye ramani na Wasafi Festival Dudubaya amekuwa akitrend Sana.

Dudubaya ameibuka na kumjia juu msanii mwenzake Nay wa Mitego ambaye Hivi karibuni ametajwa kuwa na bifu na msanii mwenzake Diamond Platnumz ambaye hapo nyuma alikuwa mshkaji Wake pia.

Baada ya Nay wa Mitego kuwaponda wasanii wa Wasafi, Dudubaya amemtolea Povu hilo Kwenye mahojiano aliyofanya na kituo kimoja cha habari:

Unamuona msanii kama Nay wa Mitego anasema wit wasanii wa Wasafi hawana amsha amsha hivi ana akili timamu? Nay wa Mitego alitumwa na Clouds kuandika wimbo wamepanda wameshuka kunitukana mimi na P-funk   Anawatukana malegendary waliozaa Bongo fleva”.

Lakini pia Dudubaya aliendelea kumtolea maneno Nay wa Mitego ikiwemo kudai kuwa amebuma na muziki wake umebuma:

Nilimwambia mdogo wangu Nay wa mitego siku zako zinakuja na chamoto utakiona, cha moto anakiona sasa amegombana na T. touch na sasa kila akitoa nyimbo inabuma na wale waliomwambia tunga wimbo uwaponde wakina Dudubaya siku hizi hawapigi nyimbo zake”.

 

Madongo ya Nay wa Mitego Yawaacha Mtegoni Mashabiki

Tangu kumekuwa na figizu za hapa na pale Katika mitandao ya kijamii msanii Nay wa Mitego amekuwa akitupa madongo gizani bila hata kuwa na uelekeo lakini swali linakuja kuwa madongo hayo yamekuwa yakimlenga nai haswa.

Msanii huyu ni moja ya wasanii ambao mara nyingi wamekuwa wakionywa sana juu ya nyimbo zake za kukosoa sana lakini pia muda  wote katika  mahojiano na watu amekuwa siku zote akitoa yale ya moyoni bila kuwaza yatamfikia mhusika au la.

Sasa basi tangu kumekuwa na figisu  juu ya matamasha matatu mabayo yote yameisha  wikiendi hii huku moja likihairishwa kabisa, msanii Nay wa Mitego bado anawatia mashabiki wake kigugumizi hasa kutoka na post zake katika mitandao huku wengi walisema kuwa atakuwa anatafuta bifu na WCB lakini wasafi wamekuwa wakimpotezea hivyo hawajali kile anachoongea.

ikumbukwe kuwa nay wa mitego na diamond waliwahi kuwa marafiki wa muda mrefu na hata kufanya kazi pamoja lakinu ghafla watu hawa walianza kuwa katika

 

 

Nay wa Mitego Atupa Jiwe Gizani,

Kutokana na vurugu za matamasha zinazoendelea wikiendhi hii katika mikoa mbalimbali ikiwepo wasafi testval, fiesta pamoja na ile show ya Alikiba huko Kahama , msanii ney wa  itego atoa kijembe na yake ya moyoni kuhusu matamasha hayo huku akisema kuwa wapo wanaoimba bure watachukuliwa kwa sababu tu huwa hawapati show.

Katika ukurasa wake huo , msanii huyo aliweka picha yake kama anaangalia simu huku akisema kuwa katika matamasha hayo anawaju wale wote ambao wapo kwa ajili ya kupata show hizo kwa sababu hawapatagi show za kulipwa.

Nay aliandika “nasubiri kuona list ikiendelea ..mmhhh mbona naona hawa hawana maajabu , waimba bure wote ninawaona hapa , hawapatagi hata show za bure hawa , nataka kuona wasanii heavy sio hawa wasiojulikana hata makwao hawa  kama wanaimba, msiniangushe wazeeeee

Wanangu wa Dar hakikishe mnajaa pale leaders , na wale wa Mtwara hakikisheni mnafika pale nangwanda na nyie wa Kahama  inabidi mkjae pale uwanja wa taifa.

Nay Wa Mitego denies bewitching fans after pouring water on them during performance

It seems everything these Tanzanian celebs do can be quickly translated to witchcraft.

We have seen several celebs from the country openly accuse each other of witchcraft before.

Diamond and Hamisa Mobetto have accused each other. Wema Sepetu, Ray C and many others have also been accused of using juju to win fans.

Artists Nay Wa Mitego recently had to deny that he used witchcraft on stage while performing after spraying water on his fans.

Ritual

The singer, who has been also named several times for using juju to make sure he doesn’t grow irrelevant, said that spraying water on his fans has been one of his rituals. He usually practices it to psyche up fans while performing.

“Jamani mimi sio mshirikina na wala siawahi kujihusisha na mambo hayo , yale majin ni ya kawaida tu na wala hayana madhara yoyote kwa mtu yoyote  kwani ninaweza kumpa mtu akanywa, mimi nimekuwa nikiyatumia tu kwa ajili kuwachangamsha mashabiki wangu.” he said

 

Ney wa Mitego Afunguka Tetesi za Uchawi wa Kumwagia Maji Mashabiki

Nay wa mitego amekuwa akiwaacha mashabiki mdomo wazi siku za hivi karibuni baada ya kubuni mbinu kpya ya kuwamwagia maji mashabiki wake  anapokuwa jukwaani kwa nia ya kusema kuwa anawachangamsha mashabiki wake.

Hata hivyo Ney wa mitego amefunguka na kukanusha juu ya nguvu ya maji hayo kuwa ni ya kishirikina na kwamba amekuwa akifanya hivyo kwa ajili ya kuwachangamsha watu ambao wamekuwa wakija kwenye show zake na wala sio kama watu wanavyosema kuwa ni uchawi.

jamani mimi sio mshirikina na wala siawahi kujihusisha na mambo hayo , yale majin ni ya kawaida tu na wala hayana madhara yoyote kwa mtu yoyote  kwani ninaweza kumpa mtu akanywa, mimi nimekuwa nikiyatumia tu kwa ajili kuwachangamsha mashabiki wangu.

Nay anasema kuwa amekuwa akisumbuliwa na tetesi za kutumia uchawi anapokuwa jukwaanu lakini ukweli ni kwamna nyimbo zake zimekuwa zikigusa maisha ya kawaida ya jamii.

 

Nay wa Mitego Akanusha Kufungiwa , Asema Anatakiwa Kufanya Marekebisho

Baada ya uwa akiitwa BASATA kila siku na hata kupewa barua na baadae kutosema kitu chochote hadharani, msanii Nay wa mitego amefunguka na kuelezea kuhusus sababu za kuwa anaitwa BASATA mara kwa mara tangu wimbo wake mpya ulipotoka hivi karibuni.

Nay wa mitego anasema kuwa wimbo wake mpya haujafungiwa lakini kuna baadhi ya sehemu inabidi kurekebisha na kuutoa tena ukiwa hakuna baadhi ya vipande.

Nay wa mitego anasema kuwa “kikao kilikuwa ni kwa ajili ya wimbo wa alisema mabao haujafungiwa lakini siwezi kuongea mambo mengi sana kwa sababu kuna viongozi tulikuwa nao kwaio hao wataweza kuongea kile tulikuwa tunakiongea huko.”

Hata hivyo Nay wa mitego anasema kuwa kuteuliwa kwa baadhi ya wasanii kuwakilisha wasaii katika uongozi wa BASATA ni jambo zuri lakini hawezi kuliongelea kwaio bora wakae kimya waangalie jinsi wasanii hao pia watakavyoweza kufanya kazi.

Mara ya kwanza Nay wa mitego alipoitwa na BASATA aliwahi kuposti picha ambayo kidogo ilileta wasiwasi kwa mashabiki wakidhani kuwa wimbo wake mpya umefungiwa katika vituo vya habari.

Nay Wa Mitego Aitwa Tena Ndani Ya BASATA

Msanii wa Muziki wa Bongo fleva Emmanuel Elibariki maarufu kama Nay wa Mitego amefunguka na kukiri kuitwa tena BASATA kwa ajili ya mazungumzo.

Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) limempatia Nay wa Mitego barua yenye ukarasa mmoja iliyokuwa ikielezea ajenda ya kukutana naye kuwa ni kujadili mwenendo ya kazi zake.

Kwenye mahojiano na Global Publishers, Nay wa Mitego amefungukia tetesi za kuitwa siku ya kesho katika ofisi hizo na kusema:

Ni kweli nimepokea barua na nitatekeleza wito. Waliniita Basata na nilipokwenda ndiyo nikapatiwa barua yenye ukurasa mmoja na nilipoifungua ndani kuisoma ndiyo nikakutana na maelezo ya kutakiwa kufika Basata Jumanne (kesho) ambapo tutakaa meza moja na uongozi wa Basata kujadili mwendendo na mstakabali wa kazi zangu za kimu-ziki”.

Nay wa Mitego alikaa kimya kwa muda wa mwezi mmoja baada ya kufungiwa kazi yake na BASATA na kuamua kurudi kwa kuachia Ngoma ya Alisema ambayo nayo imeonekana kuleta utata.

 

Haya ni Maneno ya Nay wa Mitego Baada ya Kukutana na BASATA

October 17 msanii Nay wa  Mitego aliitwa na Baraza la Sanaa Tanzania  na alifanikiwa kufika ofisni hapo na kupokea barua yake ingawa baada ya kutoka hakuna aliyejua Nay wa Mitego ameambiwa nini  na BASATA, kitu ambach watu wamekuwa wakitaka kujua ni kitu gani kimetokea,

hata hivyo baada ya muda kidogo katika ukurasa wake wa instagram Nay wa Mitego aliweka picha yenye kufunga na taswira nzito  huku akindika ujumbe uliosomeka hivi ”

unaweza kugungwa kila kitu, midomo, miguu,mikon na kazi pia kila kitu lakini kamwe huwezi kufunga mtazamo wa mtu itafungwa kwa sababu lakini mida ikitimia hakuna kinachoshindikana,.

Mara ya kwanza Nay wa mitego alisema kuwa aliwahi kupigiwa simu na BASATA na kumabiw kuwa wimbo wake  umekuwa moja ya nyimbo nzuri na za kuhamasisha jamii.

 

Nilimficha Mama Yangu Kuhusu Wimbo Wangu Mpya -Nay Wa Mitego

Msanii wa muziki wa Bongo fleva anayefanya vizuri na ngoma yake ya ‘Alisema’ Nay wa Mitego amefunguka na kuweka wazi kuwa alimficha mama yake kuhusu ngoma hiyo.

Wiki iliyopita Nay wa Mitego aliweka wazi kuwa mama yake mzazi ameshawahi kumtaka mwanaye aachane na muziki na kufanya biashara nyingine kutokana na kuhofia kitakachoweza kumpata kwa kuimba nyimbo zake za utata.

Katika Interview yake aliyofanya na Global Publishers, Nay ameweka wazi kuwa kutokana na kumuhofia mama yake Nay aliamua kumficha kuhusu kufanya ngoma hiyo.

Kiukweli nilifanya siri sikumueleza mama yangu kuhusu ule wimbo na mpaka natengeneza video yake sikumwambia lakini nilipokuwa studio nikawaza tu kwamba kuimba nyimbo za aina hii mama alishanikataza, huwa ananiambia niache kabisa kuimba kwa kuwa mimi nina watoto wananitegemea na familia kwa ujumla.

Kwa kuwa nimlificha aliisikia mtaani akanipigia simu na kuniambia niende nyumbani, nilienda pale na kumkuta akinisubiri kwa hamu sana ili kuniuulizia kwa nini nimerudia tena kuimba? Ikabidi nimueleweshe tu sikuwa na jinsi akanielewa,

Nilivyoutunga nikaishirikisha na menejimenti yangu nikaambiwa nimpe mwanasheria wangu aisikilize kwanza nikafanya hivyo alipoisikiliza akaniambia haina tatizo na vitu vichache tu nirekebishe nikafanya hivyo na hatimaye ikatoka”.

Nay wa Mitego ameshawahi kuingia matatizoni kwa aina yake ya uimbaji na ameshafungiwa nyimbo kadhaa na Basata.

Mama Yangu Hataki Kabisa Niimbe- Nay Wa Mitego

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Emanuel Elibariki maarufu kama Nay wa Mitego ameibuka na kuweka wazi kuwa Mama yake mzazi hataki kabisa aimbe kutokana na changamoto alizowahi kumbana nazo.

Nay wa Mitego ambaye anafanya vizuri na ngoma yake ya ‘Alisema’ amewafungukia Global Publishers kuwa mama yake mzazi amemtaka kuachana na muziki na kuangalia biashara nyingine.

Mama yangu hataki nifanye muziki na niendelee kuimba kwa sababu ya matatizo ninayokutana nayo katika kazi zangu kwa sababu mara ya mwisho nilipokamatwa baada ya kutoa Wimbo wa Wapo ndiyo alinikataza, aliniambia niachane na muziki nifanye shughuli nyingine maana nitakuja kufa siku si zangu.

Huu wimbo nimefanya kwa ajili ya wananchi wa Tanzania na mashabiki wa muziki wangu, nimefanya kwa ajili ya hali iliyopo kwa sasa, ninampenda sana mama yangu na huwa ninamsikiliza sana, lakini kwa Wimbo wa Alisema nilijua tu unaweza kuzua balaa (utata), lakini nilipokuwa nikiendelea na kukumbuka kauli ya mama wakati nimeingia studio na kurekodi ndiyo nikaambiwa hebu weka sawa mashairi yako na ndipo nikayapangilia na wimbo ukatoka kama mnavyousikia.

Kwa kuwa nilimuahidi mama kuwa sitafanya muziki anaonikataza, kwa hiyo kwenye huu wimbo najua yeye asingeukubali utoke ndiyo maana nikamwambia mama huu ni wa mwisho naapa”.

Nay Wa Mitego amesema ataacha kuimba nyimbo ambazo zinaikosoa serikali na zenye utata lakini ataendelea kuimba nyimbo za kawaida kwani muziki ndio unamuongizia kipato hivyo hawezi kuacha kabisa.

Nay wa Mitego Ashangwazwa na Simu ya BASATA.

Msanii nay wa mitego amezungumzia furaha yake hasa pale anapoona kuwa wimbo wake mpya uliotoka hivi karubuni kupedbwa na watu wengi hata kufikia hatua ya kupokea pongezi kutoka kwa wabungu na  viongozi mbalimbali.

Nay wa mitego anasema kuwa wimbo huo hakumlenga Mh Rais kama watu wengi wanavyosema bali aliamua kutumua tasfida kwa sababu ukiusikiliza kwa makini unakuta kuwa unalenga karibia  kila mtu ambae ni kiongozi katika jamii.

Kikubwa katika hayo, Nay anasema kuwa kitu kikubwa kilichomstua ni baada ya kupokea simu za viongozi wengi lakini pia alipokea simu kutoka BASATA na kama ilivyo ada amekuwa akijua kuwa kama ni  BASATA basi wimbo unaweza kufungiwa kwa muda owowte kutokana na kazi yao kubwa wanayoifanya.

Hata hivyo Nay anasema kuwa safari hii ilikuwa tofauti kwa sababu BASATA walipompigia walikuwa wanampa pongezi za wmbo wak huo.

Tangu nimeachia wimbo huo nimepokea smu nyingi kutoa kwa viongozi weng sana kutoka serikalini wakinipongeza lakini kilichonishtua ni simu kutoka  kwa kiongozi wa BASATA,  na aliniambi kuwa kwake yeye binafsi  hakupiga simu kuzungumiza BASATA bali alipiga simu kunipongeza kwa wimbo huo  kwa kweli nilifurahi sana lakini mpaka sasa sijapokea simu kutoka kwao.

Nay Akanusha Kumuimba Mh Rais Kweye Wimbo Wake Mpya.

Msanii Nay wa mitego amekanusha taarifa zinazoenea katika mitandao ya kijamii kuwa wimbo wake mpya wa alisema umekuwa ukimsifia na kumponda mh rais hasa pale aliposema zote kwa John.Nay wa mitego anasema kuwa kile alichokimba kinalenga jamii yote kwa ujumla bila kusema kuwa unakwenda moja kwa moja kwa mtu fulani.

Nay anasema kuwa John ni mtu yoyote ambae ni kiongozi anaeweza kulaumiwa na watu kwa kufanya mabaya lakini pia kwa kusifiwa na baadhi kutokana pia  na mazuri yake anayofanya katika jamii.

Kwa sasa hivi john ndio amekuwa akilaumiwa sana na nilitaka kuwakumbusha kuwa ukizungumzia mabaya yake unatakiwa kuzungumzia mazuri yake pia, kwa sababu kila binadamu anakuwa anatenda mazuri na mabaya.Sitaki kusema kuwa ni johngani kwa sababu mimi ni msanii kwaio nimekuwa nikitumia sanaa yangu kuweka mafumbo ili kufikisha ujumbe kwa jamii yangu na ukweli ninaujua mimi ambae nimeongelea swala hilo.

Huo ni wimbo wenye tasfiri nyingi sana, na kila ukiusikiliza unaweza kukaa na kujiuliza kuwa ni  mimi ninaongelewa hapa au vipi.Nimetumia tasfida kwa sababu ninataka watu watumie akili nyingi sana.

Fatma Karume Akiri Kumkubali Sana Nay Wa Mitego

Raisi wa Chama cha wanasheria Tanganyika (TLS) Fatma Karume amwfunguka na kukiri kuwa anamkubali sana Msanii wa Bongo fleva Nay wa Mitego.

Fatma Karume amefunguka na kuweka wazi kuwa anavutiwa sana na Nay wa Mitego kutokana na ubishi wake na msimamo alionao Kwenye sanaa yake anayofanya licha ya kukumbana na vikwazo kibao kila siku.

Katika Interview yake na kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, Fatma Karume alimtaja Nay wa Mitego kama Msanii anayemkubali sana kibongo Bongo:

Kwenye gemu ya Bongo fleva nampenda sana Nay wa Mitego I really like that man, kwa sababu unajua binadamu ukisha kutandikwa lakini ukasema to hell ukarudia Tena ukasema Wapo, ni big respect kama unanisikiliza Nay I love you”.

Lakini Fatma amesema Nay ameonyesha ujasiri mkubwa baada ya kuoneakana akiendelea kutoa nyimbo ambazo anazoziamini licha kuingia matatizoni jambo ambalo pia amelitaja kama uonevu.

Nay Wa Mitego ameachia wimbo wake mpya wa ‘Alisema’ ambao umezua gumzo ambao ndani yake imeitaja serikali na sakata la Aqulina ambapo aliishia kuitwa BASATA siku ya jana.

Nipo Likizo ya Mapenzi:-Nay wa Mitego

Msanii Nay wa mitego amefunguka na kusema kuwa kwa sasa yupo single na wala hataki tea kuwa katika mahusiano ya kimapenzi na mwanamke mpaka pale atakapopata mwanamke ambae anaweza kusema kuwa huyo anaweza kufunga nae ndoa .

unajua kuwa mimi nina watoto kwaio kwanza lazima niw na mtu ambae anajua kuwa mimi ninawapenda watoto wangu, lakini pia inabidi watoto wangu waenjoy kuwa na yeye lakini sipendi kutaja sifa za mwanamke ninayemtaka wasije wakajipanga na kujitengeneza.

kuna muda unaona kabisa kuwa watoto wanaitaji kuwa na mama lakini pia familia inakutaka uoe.

Hivi karibuni Nay aliachana na mpenzi wake ambae alikuwa pia ni msanii katika studio yake , Nini.hata hivyo nay alikiri kuwa yeye ndio alikuwa sababu ya kutokuelewana lakini mpenzi wake huyo hakutaka maelewano.

Nay Wa Mitego Akumbwa na Skendo Ya Kufilisiwa na Benki

Staa wa muziki wa Bongo fleva Emmanuel Elibariki. maarufu kama Nay wa Mitego amefungukia skendo ambayo imekuwa ikimuandama kuwa amefikisiwa na benki baada ya kukopa na kushindwa kulipa kwa wakati.

Nay ni mmoja kati ya wasanii wa Bongo fleva ambaye amewahi kutajwa kuwa na mafanikio sana kwaiyo ilipotokea anaonekana anatembea kwa miguu na kupanda boda boda na bajaji ilisemekana mali zake zote zimefilisiwa na benki.

Kwenye mahojiano na gazeti la Ijumaa Wikienda Nay amefunguka kuwa,habari hizo  siyo za kweli kwani mali zake zote zipo na hajawahi kuwa na mkopo kwenye benki yoyote.

Ni stori tu ambazo watu wameamua kuzungumza na watu kuzungumza siyo dhambi kwa sababu mimi ni staa, kwa hiyo watu wakiwa wanaongea vitu kama hivyo huwa sishtuki, nawaa-ngalia tu”.

Ishu ya Nay kufilisiwa ilianza kusambaa mitandaoni baada ya mashabiki kudai msanii huyo kwa sasa hana jipya kwani benki hiyo walikwenda nyumbani kwake na kutaifisha mali zake zote zikiwemo nyumba na magari anayomiliki baada yakushindwa kulipa deni.

Nay alisema hakuna ishu kama hiyo na hakuna mali yake yoyote iliyopigwa mnada kwa sababu mali zake zote zipo na hafikirii kwenda

“Bado Nampenda Nini, Akitaka Kurudi Niko Tayari”- Nay wa Mitego

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Nay wa Mitego amefunguka na kuweka wazi kuwa bado anampenda sana aliyekuwa mpenzi wake na msanii mwenzake Nini.

Wiki chache zilizopita Nini aliweka wazi kuwa Mahusiano Yake na Nay wa Mitego yamefika mwisho na alidai ameamua kumuacha rapa huyo kwa madai amekuwa na michepuko mingi.

Kwenye mahojiano na Bongo 5, Nay amefunguka na kudai bado anampenda sana Nini na kama atakuwa tayari kuwa naye Tena basi yeye Yupo Tayari.

Nay wa Mitego amekiri kuwa ni kweli alifanya makosa ambapo alikuwa ana michepuko kadhaa na Nini alipogundua alimpiga kibuti na hata alipomuomba msamaha hakutaka kumsamehe.

Nay amesisitiza kuwa bado anampenda sana Nini na kama atakuwa tayari kumsamehe hata leo hii basi Yupo Tayari kuwa naye Tena.

Nay amekiri kuwa ingawa yeye na Nini walikataa kuwa hawakuwa Kwenye Mahusiano kwa muda mrefu lakini walikuwa pamoja kwa miaka zaidi ya miwili na hata kudai walianza Mahusiano kabla hata hajajua kuwa Nini anaimba.

“Shilole Angetaka Kiki Angeenda Beach na Uchebe Wake na Kuvua Nguo Zote”-Nay Wa Mitego

Msanii wa MuzikiSana wa Bongo fleva Nay wa Mitego amemjia juu Msanii mwenzake Shilole baada ya kuingilia kati sakata la Muna na kumrushia maneno katika Interview mbali mbali.

Nay ameibuka na kumkingia kifua Muna na kumtolea povu Shilole na kudai anatafuta kiki Kupitia ishu ya Muna na hana lolote kingine linalomsumbua.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Nay wa Mitego alimuandikia ujumbe huu Shilole:

Shiloleeee Zainabuuu nadhani ulimiss tu Media dada yangu nadhani umefanikiwa kwa kiasi chake. Ulichokosea ni ishu uliyoingilia yaani gear  yako. Sioni alichokosea huyo unayemuita mdogo wako Muna ameongea mengi ambayo watu walitaka kujua nini kilichokuwa kinamsumbua Patrick.

Sasa ungetaka kiki mngeenda Beach na Uchebe wako mnavuana nguo zote alafu mbapiga picha halafu mnaposti bila hata caption halafu mtaona kiki yake ingekuwa noma.Lakini hili la Muna umejichoresha tu umeonekana ulikuwa unatafuta…..Mtazamo wangu tu”.

Sakata kati ya Muna na Shilole lilianza baada ya Muna kufanya Interview na kuweka wazi kuwa Casto ndiye Baba halali wa marehemu mtoto wake Patrick na mambo mengine ambayo yalionekana kutompendeza Shilole.

Nini Akiri Kuvunjika Kwa Penzi Lake na Nay Wa Mitego Kisa Michepuko

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Nini amefunguka na kuweka wazi kuwa penzi lake na msanii mwenzake Nay wa Mitego limefikia ukingoni hivi karibu.

Nay wa Mitego na Nini walidaiwa kuwa Kwenye Mahusiano kwa muda mrefu lakini walikuwa wanakataa kila wakiukizwa walidai kuwa ni marafiki tu lakini wamethibitisha walikuwa wapenzi baada ya kuachana.

Nini ameibuka na kukataa tetesi zinazoendelea kusambaa kuwa kisa chao wao kuachana ni baada ya familia yake kumlazimisha Nay amuoe baada ya kumchukua mtoto wao na kuishi naye bila kujitambulisha wala kumuoa.

Kwenye mahojiano na Clouds Tv,Nini amesema ameamua kuachana na Nay wa Mitego kutokana na kumchukulia poa na kuwa na mahusiano na wanawake wengine.

Ni kweli nimeachana na Nay na niweke hili sawa sijawahi kuishi nyumba moja na Nay na hata hiyo ishu ya wazazi wangu kwenda kwa Nay sio kweli.

Unajua kwenye mahusiano kuna mambo mengi sana na mtu kama mwanaume unaweza ukampenda, ukamuheshimu akawa anakuchukulia poa, anakufanyia drama anakuletea wanawake“.

 

Nay Wa Mitego Adaiwa Kuvunja Mahusiano na Nini Baada Ya Familia Yake Kutaka Ndoa

Msanii wa Muziki wa Bongo fleva Nay Wa Mitego amedaiwa kuvunja Mahusiano na mpenzi wake Nini baada ya familia ya Nini kutaka afunge ndoa na binti yao.

Shilawadu wanaripoti kuwa Nay wa Mitego na mpenzi wake Nini wamejikuta katika wakati mgumu baada ya familia ya Nini kumkalia kooni Nay na kumtaka amuoe Nini.

Nay na Nini wamekuwa Kwenye Mahusiano kwa muda kidogo Lakini sasa inadaiwa Familia ya Nini imekuja juu na kumtaka Nay amuoe binti yao baada ya kukaa naye nyumbani kwake.

Inadaiwa Nini alihamisha makazi yake nyumbani kwa Nay na kila Familia yake ilikuwa ikimtafuta arudi nyumbani alikuwa anagoma ndipo walipoamua kumsaka na kumtaka afunge ndoa.

Lakini inasemekana kuwa Nay alikuwa anawapiga chenga kila wakimtafuta anajificha hataki kabisa kuonana na Familia ya Nini.

Siku ya leo Nay wa Mitego Kupitia ukurasa wake wa Instagram ametangaza kumtosa Nini na kudai yupo single ambapo kupitia ukurasa wake wa Instagram alisema “It’s Official I am Single”.

Nay wa Mitego: Babu Tale Kaiba Wazo Langu La Kuwapatanisha Diamond na Zari

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Nay Wa Mitego amemjia juu Meneja wa Diamond Platnumz, Babu Tale huku akidai yeye ndio aliyetoa wazo la kuwapatanisha Diamond na Zari.

Mwanzoni mwa wiki hii Babu Tale alifunga Safari kwenda nchini South Africa kwa ajili ya kuwapatanisha Diamond na Zari kitendo ambao Nay amekiri kuwa ni kizuri lakini amehoji kwa nini amesubiri mpaka yeye atoe wazo hilo alafu ndio na yeye aende.

Babu Tale Alipoenda South Africa kumuombea Diamond msamaha

Kwenye na mahojiano na Risas Mchanganyiko, Nay wa Mitego amemtolea povu hilo Babu Tale:

Suala la Babu Tale kwenda kumuombea msamaha Diamond ni zuri lakini alitakiwa afanye hivyo muda mrefu na siyo asubiri mpaka nizungumze mimi kwamba nitawapatanisha. “Nashukuru wazo langu limekubalika na kila mtu na yeye mwenyewe kuliona linafaa na kufanyia kazi.

Diamond ni mshikaji wangu wa muda mrefu sana, japo mapenzi hayaingiliwi lakini kwa upande wangu namkubali sana mama Tee (Zari) maana akiwa naye mambo yake yanakuwa kwenye mstari kwani anakuwa mtu wa kazi sana tofauti na akiwa na hawa wanawake wengine.

Kutokana na kuliona hilo ndiyo maana niliona nimpe ushauri kupitia ukurasa wangu wa Instagram na kuahidi kuwarudisha pamoja, lakini kabla sijafanya hivyo, Babu Tale akalifanyia kazi, siyo vibaya nimefurahi sana kwa kweli”.

Siku video ya wimbo wa Iyena ulipotoka Nay alimshauri Diamond aachane na Hamisa na arudiane na Zari na hata kumuhaidi atasaidia kumuombea msamaha na kuwapatanisha.

Nay wa Mitego Amshauri Diamond Amuoe Zari Aachane na Hamisa

Staa wa muziki wa Bongo fleva Nay wa Mitego amemtaka Msanii mwenzake Diamond Platnumz amtupie kule mpenzi wake wa sasa na arudishe majeshi kwa Mama watoto wake Zari.

Suala hili lilikuja siku chache zilizopita baada ya Diamond kuachia wimbo wake mpya unaoitwa Iyena ambao ndani yake video queen ni Ex wake Zari.

Nay wa Mitego ambaye alishawahi kuweka wazi tangu Diamond alipoachana na Zari kuwa yeye anampenda Zari awe na Diamond.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Nay wa Mitego aliandika ujumbe huu kuhusu wimbo huo na ZAri:

Mzee Mwenzangu Diamond platnumz Hii Ngoma Iyena Ata Ungeenda Kuacha Tu Barabarani Ukajifanya Kama Umeitupa Inge Hit Tu. Licha Ya Kwamba Ngoma Kali Pia Upo Na Mkeo Original Mama Tee Mwenye Nyota Ya Hela Na Mafanikio. Sasa Wewe Endelea Kupuyanga Na Hao Mapugi Machafua Nyota. Nitaongea Na Mama Tee Yaishe Tu.(Yamoyoni) Haya Fanya Muende YouTube”.

Nay wa Mitego na Diamond walitoa hit iliyokwenda jina la Muziki gani, hata hivyo hawakuishia hapo baadaye walitoa ngoma nyingine inaitwa ‘Mapenzi Pesa’.

Sina Mpango wa Kuoa Mimi:-Nay wa Mitego

kumekuwa na tetesi zinasambaa katika mitandao kwamba msanii nay wa mitego kwa sasa ana mpenzi mpya ambae ni mzuri na mkali zaidi ya yule mama wa watoto wake aliyewahi kuwa nae mara ya kwanza aliyejulikana kama siwema.

akiongea huku akikataa jina lake kuwekwa wazi, moja ya mapaparazi alisema kuwa kwa sasa nay ana chombo kipya kizuri kuliko hata siwema aliyekuwa nae mwanzo,’hivi mna habari kuwa nay saa hivi ana chombo kpya kisu kuliko siwema,ni mjasiriamali na ana karibia kumuoa na mara nyingi anakuwa nae pale kimara nyumbani kwake.’

mimi nakuibia siri ya familia kwa sababu huyo dada amechukua sehemu kubwa ya siwema kwaio wamemwambia kuwa lazima amuoe huyo dada.

Baada ya hapo Ney alitafutwa ili kuweka ukweli juu ya jambo hilona kutuweka wazi kuhusu kila kitu kuhusu mahusiano yake, ndipo nay alipojibu kuwa kwa sasa hana mpango wakuoa.

Sina mpango wa kuoa mimi, na  mmepata wapi picha,sema kwanza picha umezitoa wapi na nani kakutumia ndipo nitakujibu kama ni mpenzi , mchumba au vipi.

mimi huyu sio mwanamke wangu aisee, mimi nina mahusiano yangu mengine kabisa.

Hata baada ya kuulizwa hivyo Ney wa Mitego hakutaka kujibu tena swali lngine lolote zaidi ya hilo.

B Gway Adai Nay wa Mitego ni Mchawi

Msanii wa Muziki wa Bongo fleva B Gway alijipatia umaarufu baada ya kutoa wimbo wake unaoitwa unajichukia aliomshirikisha Nay wa Mitego amemgeuka Msanii huyo na kudai ni mchawi.

B Gway alikuwa msanii chini ya label ya Nay Free Nation lakini baada ya kuzinguana na kuondoka Kwenye label hiyo B Gway amedai hivi sasa Msanii huyo ameanza harakati za kumpoteza Kwenye gemu.

Kama utakumbuka siku za nyuma NAy alifanya shoo iliyotwa Nguvu ya kitaa maalumu kabisa kwa ajili ya kuchangisha pesa kwa ajili ya waathirika wa mafuriko Dar lakini unaambiwa siku ya shoo mvua kubwa ilimyesha na B Gway anadai Nay alitumia nguvu za Giza kufukuza

Kwenye mahojiano aliyofanya na Enews ya East Africa Tv, B Gway alifunguka haya:

Ile Nguvu ya kitaa tu vitu vingi viliendelea maana kulikuwa kuna bonge la mvua lakini pale TAnganyika Packers kulikuwa kukavuu.

Unajua mimi naamini sana katika uwezo wa Mwenyezi Mungu yaani naamini sana kwamba nitafika kwa iyo kama yeye ana Imani atatia ubani mambo yangu yaharibike basi amekosea sana”.

 

Nay Wa Mitego- Nagombea Uraisi Mwaka 2020

Mwanamuziki wa Bongo fleva amefunguka na kusema sababu pekee inayomfanya awe kimya kwa hivi sasa ni mipango yake ya kugombea uraisi mwaka 2020.

Nay wa Mitego ni msanii ambaye anajulikana kwa vituko Chake ikiwemo Uwezo wake wa kuwachana watu kwenye jamiii hasa wasanii wenzake kuhusu mambo mbali mbali.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Risasi Vibes, Nay alisema kwa sasa ameamua kujitenga na skendo kwani anajiandaa kugombea urais mwaka 2020 japokuwa hawezi kuweka wazi atagombea kwa chama gani hivyo akaona ni vema aachane na skendo zisizokuwa na maana.

Nimeamua kutulia na kuachana na skendo zisizokuwa na maana kwa sababu nina mpango wa kugombea urais mwaka 2020 sasa nikiwa na skendo chafu zitaniharibia“.

Hivi sasa kumekuwa na trend kubwa ya wasanii mbali mbali kujiingiza Kwenye mambo ya siasa na kugombea nafasi mbali mbali kama vile Wasanii wakongwe wa Bongo fleva Profesa Jay na Sugu ambao wote ni wabunge.

Nay wa Mitego Atupa Dongo Gizani Kwa Wasanii Wanaopenda Kiki

Mwanamuziki Ney wa Mitego ametupia gongo gizani bila kutaja ni nani amemlenga katika maneno yake yaliyokuwa yakimaanisha kuwakaribisha mashabiki zake katika kuungalia na kuusapot wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la amsha popo.

Ney wa mitego ambaye aliandika katika ukurasa wake wa instagram ameno yaliyoanshiria kuwa kuna baadhi ya wasanii wenzake wamekuwa hawaachi ngoma mpaka wapate kiki kwanza anasema kuwa kwa uapnde wake huwa hasubiri kiki ia  nyimbo yenyewe ndio italeta kiki.

no hatuogopagi kiki hata siku 1,ukijua unachokifanya  raha sana.nikiamua kudondosha chuma mi nadondosha tu, wao ndio wanaogopa kiki…huku kwetu sisi hatupeleki siku mbele.’–Aliandika Nay katika ukurasa wake wa instagram.

Ukifuatilia kama wiki moja nyumba kuna wimbo wa diamond na harmonize ulitakiwa kutoka lakini wimbo huo ulishindwa kutoka huku kukiwa hakujatajwa sababu  husika lakini wimbo huo ulitoka hivi karibuni.

Kwa inavyoonekana ni kama Ney wa Mitego amekuwa akiwaponda na kuwasema watu ambao wamekuwa na tabia ya kutangaza kutoka kwa nyimbo kisha nyimbo hizo kushindwa kutokwa kwa kuogopa kutofanya vizuri kutokana na kwamba wanakuwa hawajaitengenezea skendo ya kuifanya kusamba kwa haraka.

Hata hivyo kiki imekuwa ni kama mazoea kwa baadhi ya wasanii ambao wamekuwa wakifanya jambo kubwa la ajabu ili kuongelewa katika mtandao ili wanapotoa nyimbo iweze kusikilizwa sana.

Nay wa Mitego Awasilisha Kazi Yake BASATA

Msanii anejulikana kwa shida ya kuwa mbishi na mkorofi inapofikia kwenye swala la kazi zake,nay wa mitego amesalimu mari baada ya kuamua kupeleka kazi yake ya muziki BASATA kukaguliwa kabla ya kutolewa katika vyombo vya habari.Ney ambae pamoja na kwamba amepelaka nyimbo hiyo kwenda kukaguliwa lakini anasema kuwa hiyo haimzui yeye kufanya lolote atakalo katika muziki wake.

Nay wa mitego amesema kuwa kilichomsukuma kupeleka nyimbo yak BASATA ni kukwepa lawama za serikali lakini haimapngii au kubadilisha kile anachokiimba kwa sababu hicho ndicho kinachomwingizia ela na kinampa mashabiki.

Najaribu kufuata utaratibu na nadhani hii ndio ngoma yangu ya kwanza kabisa kuwatumia BASATA , nafanya muziki wangu kama vile nilivyokuwa nafanya , nimepunguza vitu kidogo tu , siwezi kuhama kwenye muziki wangu , yaani nitaendelea kufanya muziki wangu ule ule.Nimewafikishia wimbo wangu sio kwa sababu nataka wanipangie mashairi ya kuimba  ila tu sitaki kuanza kuzuiliwa nyimbo zangu.

Maamuzi ya Nay yanakuja baada ya kuwa na wimbo kubwa la wasanii wanofungiwa nyimbo zao kwa sababu ya nyimbozao kukosa maadili katika jamii.

Nay wa Mitego: Naendelea na Mziki Wangu Ule Ule Sina Mpango Wa Kubadilika

Mwanamuziki wa Bongo fleva Nay wa Mitego amefunguka na kuweka wazi kuwa hana mpango wa kubadilisha aina ya muziki anaofanya kwani ndio mziki unaopendwa na mashabiki zake.

Wiki chache zilizopita Nay wa Mitego alikuwa mmoja kati ya wasanii waliofungiwa nyimbo kumi na tano na BASATA kwa ukosefu wa maadili ya Kitanzania kwenye nyimbo hizo.

Nay wa Mitego alikuwa mmoja kati ya wasanii ambao waliofungiwa nyimbo mbili na BASATA hivyo utategemea kutokana na hilo basi atakuja kuchukua kila jitihada ya kufanya nyimbo sahihi ili zisifungiwe Tena lakini sivyo hivyo.

Nay wa Mitego ameweka wazi kuwa hana hata mpango wa kubadilisha mziki wake anaoufanya ili kuwa ridhisha BASATA kwani huo ndio mziki unaopendwa na mashabiki zake na kukubali kila hivyo nyimbo yake mpya anayotoa itakuwa hivyo hivyo.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Nay wa Mitego aliandika maneno haya kuhusiana na wimbo wake mpya unaoitwa ‘Amsha Popo’:

Mwandishi: Kesho unaachia wimbo mpya kuna mabadiliko gani katika wimbo huo mpya kuepuka kufungiwa tena?

Baba Yaga: Hakuna mabadiliko yoyote naendelea na mziki wangu ule ule Cox mashabiki zangu ndio wanaishi upenda na ndio walionipokea nao #Amshapoo”.

 

Edu Boy Akiri kumpora Nini Kwa Nay Wa Mitego.

Msanii wa hip-hop nchi edu boy ambae siku za hivi karibuni amekuwa ni moja ya wasanii wasiogopa kutoa makavu live kwa wasanii wenzake amefunguka na kumpondea msanii mwenzake Ney wa Mitego kwa madai kuwa  amempokonya aliyekuwa mpenzi wake Nini.

Nini na Ney wa Mitego walisemekana kuwa katika mapenzi kwa muda mrefu na hivi karibuni waliamua kutoa wimbo lakini kama kawaida ya wasanii walikuwa wakikana kabisa kuwa hawapo katika mapenzi.

Edu Boy amesema kuwa Ney hawezi kujilinanisha nae kwa sababu yeye ni mtoto  wa kisukuma na anakula vizuri hivyo kumpokonya mtu mwanamke kwake ni swala la kawaida kama mwanaume aliyenae hamridhirishi.

Unajua kuwa mimi ni mtoto wa kisukuma kwaio nakula vizuri sana,kwaio najua namna ya kumridhirisha mwanamke  katika tendo kwa sababu tuna nguvu za kutosha.kumpora mtu mpenzi ni jambo la kawaida.

Kwa Roma Naomba Wamfikirie Mara Mbili: Nay wa Mitego.

Msanii Ney wa  Mitego amefunguka kuhusu kupewa onyo baada ya nyimbo zake kufungiwa katika vyombo vya habari.Ney wa Mitego ni msanii anaeongoza kuwa na nyimbo nyingi  katika orodha ya nyimbo zilizotolewa na Baraza la Sanaa.

Akizungumza na Cloud e, Ney wa Mitego anasema kuwa kwa upande wake anaona kabisa kuwa nyimbo yake mpya ya mikono juu haikustahili kuwepo katika orodha hiyo kwa sababu ukisikiliza ngoma hiyo iko tofauti na nyimbo zake za nyuma ambazo amekuwa akiimba.

wimbo wangu mmoja upo pale kimakosa, haukutakiwa kufungiwa kabisa ukimsikiliza ney huyu wa mikono juu sio yule wa zamani, audio ya makuzi tulishairekebisha , nilikaa na baraza na tukaongeana na  tulishamaliza.

Nay wa mitegoanasema kuwa amekuwa akitumia tasfida katika muziki wake kila mara lakini kitu kinachomkosesha amani ni kwamba watu wanafumbua tasfida na yanakuwa maneno ya kawaida.

natumia tasfida sana,kama unafumbua tasfida hilo ni tatizo lako na kama nispotumia tasfida nitatumia nini sasa.

Hata hivyo Nay wa Mitego anasem akuwa wimbo wa mikono juu ni wimbo mpya ambao ndo kwanza unaanza kupokelewa,baraza limeshindwa kutambua na kuniambia tatizo la wimbo wangu labda tukikutana tena wiki ijayo.

Tumezungumza kuhusu mabadiliko na mpaka nimetaka kujua tatizo la mikono juu na tumekubaliana nibadilishe.nina imani hauna tatizo na wao hawajasema  tatioz liko wapi ila kila list imeshazoeleka kwa ni lazima ney wa mitego atakuwepo.tumeyamaliza na tumekubaliana kufanya muziki mzuri na kufanya mabadiliko katika muziki.

Nay wa Mitego pia alipata nafasi ya kuzungumzia swala la Roma ambae yeye pia amefungiwa muziki wake na pia hapaswi kufanya kazi kwa muda wa miezi sita.

tunaishi kupitia muziki, pengine labda tungekuwa vibaka, wezi, au jela au hata tushakufa.mtu anakosea lakini kwa sababu tuna wazazi inabidi wawepo kuturekebisha lakini kwa kutuambia pale tunapokosea na mtu ajiridhishe na kosa lenyewe kwanza.Nimewahi kufungiwa najua maumivu yake, sitaki kuliongelea sana hili lakini kwa Roma naomba wamfikirie mara mbili.

Nay wa mitego :Sina Tatizo na Alikiba na U-team wao Haunihusu.

Msanii wa  bongo fleva ambae  muda mwingi ujikuta katika vita na wasanii wenzake kutokana na tabia yake ya kutoa makavu kwa wasanii wenzao kwa kile wanachokuwa wanakifanya ,Ney wa Mitego amefunguka na kusema kuwa kwa upande wake hana bifu wala ugomvi na msanii wenzake  Alikiba kama watu wanavyokuwa wanatangaza na kuzasha katika mitandao ya kijamii kuhusu swala hilo.

Nay wa Mitego anasema kuwa yeye ana Alikba walishawahi kutoa wimbo huko miaka ya nyuma kipindi wote wawili walikwa bado hawajapata majina makubwa ya kuwafanya aanze kujulikana sana katika kiwanda cha muziki, hata hivyo Ney wa Mitego anasema kwa upande wake huwa afatilii sana maswala ya teams kwa sababu hazimuuhusu kitu lakini wanatakiwa kujua kuwa hata yeye pia na team yake.

sina shida wala tatizo na alikiba nahata hzio team zao mimi hazinuhusu,mimi mwenyewe nina team true boy watu hawajui tu na nilishawahi kufanya kazi nzuri tu  na Alikiba kitambo sana hata kabla sijawa mkubwa kiashi hiki na hata alikiba baso alikuwa hajawa alikiba huyo wa sasa alikuwa Alikiba wa sinderela, na kipindi hicho nilitoa wimbo unaitwa watafahamika.-Alisema Ney wa Mitego.

Ney wa mitego wiki za nyuma alisikika akisema kuwa kwa sasa hataki kubishana kuhusu swala la muziki na mtu yoyoye zaidi sana anajikita katika kufanya kzi kwa sabau amegundua kuwa watu wanakaa wakimpotezea muda katika kubishana nae huku wenzao wanatafuta kiki.

 

Nay wa Mitego ni Bingwa wa Kukata Mauno

Mwanamuziki wa Bongo fleva, Nay wa Mitego amedaiwa mbali ya kuwa na kipaji cha kuimba na kuchana lakini pia ni fundi mkubwa sana wa kukata mauno.

Ney wa Mitego aliyetoa ngoma yake mpya siku ya jumatatu inayoenda kwa jina la ‘Mikono juu’ ameonekana kwenye video  ya nyimbo hiyo akikata mauno balaa ambayo yamezoeleka kuonekana kwa msanii kama Bob Junior lakini sio msanii mgumu wa hip hop kama Nay wa Mitego.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Enews ya East Africa Tv, Nay amesema yeye ndio aliyemwambia director ashoot hiyo sehemu anayokata mauno maana ni lazima ufanye kitu tofauti kila siku:

Mimi ndio nilimwambia Nicholaus achukue kile kipande nikiwa napiga uno kidogo lazima ufanye kitu ambacho mtu hatarajii kama utafanya ili mradi kilete utofauti na ndio maana leo hii tupo hapa tunazungumzia vile viuno vyangu kwenye video unajua siku nyingine huwa tunafanya chumbani lakini sahivi tumeamua kuvileta huku ili angalau watu nao wajue sio kwamba hatuwezi hapana tunaweza kujaribu na kufanya utofauti kidogo inaruhusiwa ili kusaidia katika kuleta chachu na kachumbari kwenye kazi na ndio maana sahivi tunazungumzia kile kitu ambacho kipo kwenye ile kazi ni cha tofauti na hakuna mtu aliyekuwa ametarajia kuona mauno yangu”.

 

Nay wa Mitego Kajibu Povu la Godzillah

Mwanamuziki wa Bongo fleva Nay wa Mitego, amejibu rasmi povu lililotolewa na msanii mwenzake wa Bongo fleva anayefanya miondoko ya kuchana Godzillah.

Nay wa Mitego ameachia rasmi ngoma yake jumatatu hii inayoitwa Mikono Juu cha ajabu kilochotokea hapo ni kwamba Nay alipoweka wimbo ule kwenye ukurasa wake wa Instagram Godzillah aliibuka na kudai wimbo ule mbaya lakini hata alipohojiwa na kituo kimoja cha redio alisema Tena kuwa wimbo huo ni mbaya.

Baada ya povu hilo kila mmoja alitegemea Nay wa Mitego atapanick na kumtolea povu zito lakini imekuwa tofauti sana kwani alipohojiwa alisema haoni shida kwani kila mtu ana mtazamo wake binafsi.

Kwenye mahojiano aliyofanya na kipindi cha XXL cha Clouds Fm, Nay alifunguka yafuatayo:

Kwanza kwa nini nipanick kisa kaniambia ngoma mbaya? Huo mtazamo mtu anatoa ule anaoona yeye huwezi kupanick utakuwa sio mtu unayefanya kitu kwa ajili ya watu na ukipeleka kitu kwa watu wengi sio kila mtu atapenda alafu mimi nafanya kitu kwa ajili ya watu wengi and then mimi nawajua watu wangu ninaowaimbia lakini pia naamini kizuri hakipendwi na kila mtu asikwambie mtu Yesu mwenyewe alipingwa itakuwa mimi NAy wa Mitego?”.

Lakini pia ameweka wazi kuwa yeye ni shabiki mkubwa wa Godzilla na kuna nyimbo zake nyingi anasikiliza pia amesisitiza hana muda wa kukaa na kutengeneza bifu na mtu yeye yupo kikazi kwaiyo anachukulia comment ya Godzilla kama ya shabiki yoyote.

Godzillah ‘Amchokonoa’ Ney wa Mitego

Mwanamuziki wa Bongo fleva anayefanya miondoko ya hip hop Godzillah ameibuka na kumchimba Msanii mwenzake wa Bongo fleva, Nay wa Mitego baada ya kumwambia nyimbo yake aliyoitoa ni mbaya.

Nay wa Mitego amaechia nyimbo yake mpya na video yake ya wimbo unaoitwa ‘mikono juu’ lakini kitu cha ajabu kilitokea pale ambapo Godzillah alienda kukomenti kwenye page ya Nay na kusema nyimbo mbaya.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Nay wa Mitego aliandika maneno haya ili kutambulisha ujio mpya wa video ya wimbo wake wa Mikono juu:

Video ya wimbo wangu wa mikono juu inatoka kesho jumatatu Subscribe kwenye account yangu ya YouTube #Mr Nay uwe wa kwanza kutazama video yangu”.

Baada ya kuweka posti hiyo cha ajabu Godzillah aliibuka na kwenda kuandika kwenye page ya Nay maneno haya:

Wimbo mbaya Emanuel”.

Ney wa Mitego Amchana Diamond Baada ya Kuachwa na Zari

Msanii wa Bongo fleva Ney wa Mitego amemtolea povu zito msanii mwenzake Diamond Platnumz baada ya mpenzi wake Zari kutangaza rasmi kuwa amemuacha kutokana na michepuko kuzidi.

Jana usiku Zari aliwashtua watu wengi baada ya kuweka wazi kuwa ameamua kimya cha Diamond kutokana na kuzidi kudhalilishwa na taarifa za yeye kuwa na michepuko mingi huku mambo yaliyokuwa yanatokea kwenye mitandao ya kijamii yalikuwa yanamuumiza.

Kumekuwa na skendo nyingi mtandaoni za Diamond kuchepuka na wanawake kadhaa huku pia kumekuwa na uthibitisho wa vitendo hivyo lakini kwa muda mrefu Zari alionekana kuvumilia na kumsamehe mpenzi wake huyo lakini safari hii inaelekea maji yalimfika shingoni.

Baada tu ya Zari kutangaza kumwaga Diamond mashabiki walianza kumlaumu Diamond kwa kumuacha mrembo kama Zari aende kwa tabia yake ya kuendekeza michepuko moja kati ya watu hao ni msanii Ney wa Mitego.

Nay kumtolea povu zito Diamond kwa kumuacha mtoto mzuri kama Zari ambaye ana pesa zake na badala yake kuendekeza michepuko ambayo hainam maana ambapo kupitia ukurasa wake wa Instagram Nay wa Mitego alitoa povu hili:

Wanasema chozi la aliyetendwa haliendi bure mwanangu Diamond, Omna sana Mungu akuonyeshe njia la si hivyo utapotea… umempoteza mwanamke ambaye hana njaa ana maisha yake binafsi alichokuwa anataka ni mapenzi yako tu sikatai kuwa hakuna mwanaume asiyekuwa na tamaa lakini ulifeli kufanya uchafu wako wazi wazi”.

Baada ya kutoa povu hili imeonyesha wazi kuwa Nay wa Mitego na Diamond hawana urafiki mzuri kama waliokuwa nao mwanzoni ambapo siku za nyuma kulikuwa kuna habari zikidai kuwa wamekorofishana.

Ney wa Mitego Awashangaa Wasanii Wanaotumia Uchawi Kwenye Sanaa

Msanii wa Bongo fleva Ney wa Mitego ameibuka tena na kusema kuwa anashangaa sana pale anaposikia wanamuziki wanatumia ndumba kwenye kazi zao.

Katika mahojiano aliyoyafanya na Clouds FM kupitia kipindi cha XXL msanii huyo amefunguka yafuatayo kuhusiana na suala hili;

“Umefika muda Tanzania nzima inaamini katika kile ambacho ninafanya, hii ni ndele tosha ni zaidi ya ndele sijui mtu ambaye anaamini hivyo, halafu ndele huwa zina mwisho ukifika muda maana wewe ndo umemaliza hata uimbe vipi hata umshirikishe Yesu bado watu hawaelewi’.

Pia msanii huyo anayetamba na wimbo wake wa ‘Makuzi’ ameongeza kuwa msanii yoyote anayeamini kwenye uchawi huishia katikati ya safari na hupotea katika ramani ya muziki. Nay amekana vikali kujihusisha na ushirikina wa aina yoyote na kudai kuwa kwake kipaji alichojaaliwa na Mungu kinaongea chenyewe.

Wasanii wengi wa Tanzani wamekuwa wakijihusisha na imani hizo za kishirikina kwa hofu ya kupotea kisanaa ingawa wengi wao hukana hadharani lakini inasemekana wengi wao hutumia waganga wa kienyeji ili tu wakae kwenye sanaa hiyo kwa muda mrefu na kufnya kazi ambazo mashabiki watazipokea.

 

Nay Wa Mitego: Nliumizwa sana na maneno ya Roma Mkatoliki

Emmanuel Elibariki maarufu kama Nay Wa Mitego amefunguka kuhusu bifu yake na Roma Mkatoliki iliyoonza baada ya Roma kutekwa nyara miezi kadhaa iliyopita.

Roma aliongea maneno ya kumkashifu Nay Wa Mitego mara baada ya yeye kuachiliwa na watu waliomteka nyara akiwa na wenzake kwa studio yake.

Nay Wa Mitego

Nay ata hivyo hana machungu na Roma, rapa huyo alisema yeye bado anamtakia mema Roma hata kama maneno aliyosema juu yake yalimuuma sana.

“Roma anatakiwa ajue kwamba mimi ni mmoja kati ya wasanii ambao walishinda kutwa nzima kwenye studio yake ya Tongwe Records na kituo cha polisi, toka siku aliyotekwa hadi siku aliyopatikana, lengo likiwa ni kutaka kujua tunasaidiana vipi ili aweze kupatikana. Akitaka kuthibitisha hilo amuulize mkewe, lakini nikashangaa baada ya kupatikana eti akanikashifu, kila nikikumbuka inaniumiza, sema mimi ni mwanaume siweki vitu rohoni, na pia nimeipenda sana ngoma yake ya Zimbabwe, Roma ni rapa mkali, sina kipingamizi juu ya hilo,” amesema Nay Wa Mitego.

Roma Mkatoliki

 

Malkia wa filamu Shamsa Ford amaibisha mpenzi wake wa kitambo – Nay wa Mitego

Rapper Emmanuel Elibariki maarufu kama Nay wa Mitego ameaibishwa hadhani na Shamsa Ford – mpenzi wake wa kitambo.

Apo awali ilisemekana kuwa Shamsa Ford atakuwepo katika show ya ‘Wapo Tour’ ya rapper Nay wa Mitego itayofanyika katika ukumbi wa Dar Live Mbagala, May 20 2017.

Nay wa Mitego ndo alisemekana kuwa chanzo cha habari kuwa mpezi wake wa kitambo Shamsa Ford atakuwepo katika show ya ‘Wapo Tour’

Shamsa Ford na Nay wa Mitego walipokua bado wanapendana

Malkia huyo wa filamu hata hivyo amemkana Nay wa Mitego na kumaibisha hadharani. Akiongea na Bongo 5, Shamsa Ford alisema kuwa hajui chochote kuhusu show hiyo kwasababu Nay wa Mitego hajawai mwambia lolote kuhusu show hilo.

“Kusema kweli sina show yoyote na mtu na wala sijazungumza na Nay wa Mitego kuhusu show ya Dar Live. Hajaniambia chochote siwezi kudanganya, ndio kwanza hizo taarifa naziona katika mitandao ya kijamii. Kama kweli na mimi nitakuwepo ungeona hata nikipost. Kwahiyo sitakuwepo kwenye hiyo show kwa sababu sina taarifa yoyote,”alisema Shamsa Ford.

 

Yusuph Mlela atoboa siri kali kuhusu msanii Nay wa Mitego

Na kwa kweli hii wiki si ya Nay wa Mitego hata kamwe.

Baada ya mama ya mtoto wake kutokea mitandaoni na kueleza Nay hashughuliki na mtoto wake na ila anatafuta kiki naye, muigizaji mkali Yusuph Mlela pia amejitokeza kukashifu Nay wa Mitego.

Akizungumza na global TV alieleza ya kwamba Nay wa Mitego alikuwemo Chokoraa miaka iliyopita na kuna mambo mbalimbali ya aibu iliyotokea wakati humo ambayo utayapata kwenye hii video:

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.