After Getting Saved, Here Are Size 8’s New Terms And Conditions For A Man
When Size 8 got saved, a lot of people’s hearts were broken.
I for one, really, REALLY liked the old Size 8, but alas, who am I to control her life choices? For us though, there remained a glimmer of hope, albeit small, when Willy M. Tuva asked her the following questions
Tuva: “Ukiwa born again kuna mambo yanabadilika. Does this mean that very soon you’ll be getting married?”
Size 8: “Sasa hiyo ni mambo ya bwana?(laughs) Mi nimeogopa hiyo nimeanza kufuata Mungu. Lakini Mungu akinipatia bwana hivyo well and good.”
Tuva: “Una mchumba?”
Size 8: “Hapana niko tu single yaani.”
Tuva: “Na je wakijitokeza?”
Size 8: “Sasa Mungu atanisaidia nichague yule amenipangia.”
Tuva: “What are the qualities of your mchumba?”
Size 8: “Number 1, he has to be a saved man. Mtu anapenda Mungu. Mwenye anamcha Mungu. Good morals. Alafu pia hardworking, na anipende as Christ loves the church.”
Tuva: “Ai, Size 8, mbona masharti hivyo? Kwa hivyo wakitokea masela masela hivi hautawaruhusu?”
DJ Flash: “Masufferer wa Mungu?”
Size 8: “Ukiwa kwenye light lazima pia upatane na mtu pia ako kwenye light”