Eric Omondi Admits To Being A Virgin And Reveals Which Sexy Celebrity He Has A Crush On (Video)
Very little has been documented about on of the most interesting comedians in Kenya right now, Eric Omondi. But Rashid Abdalla got him to spill a few beans in his Swali Moja segment on Taarifa Za Magharibi that airs every weekday on QTV and at 6:30am.
Here’s how the conversation went;
Rashid: Na yule msichana wa kwanza ulifanya na yeye mapoenzi unamkumbuka?
Eric: Sasa hiyo ndiyo shida maanake mapenzi bado sijafanya
He alsogot himtospill on the kind of women he likes:
Rashid: Unaangalia nini kwa mwanamke ?
Eric: Tabia ni muhimu sana,sura pia ni muhimu.Pia mwili.Mwili ya kiafrika ushaelewa, chupa ya soda.waafrika tumeumbwa tukaumbika vya kusokota viringoviringo
Rashid:Katika hawa wasanii ambao wanaimba,watangazaji wa redio na kufanya mchezo wa kuigiza who is your crush?
Eric: Kuna yule anitwa Angela angwenyi.Silali SILI MI NAKONDA TU.Alininyima number ya simu,Safaricom hawanipi nimeenda kwa Churchill alinipeleka kule Kitui,Loliondo.Hamna….
At the End of the segment,Eric said that he is a virgin na ‘anaomba serikaliiiingilie kati’ na Angela Angwenyi waingilie kati.Check it out for yourself
{youtube}MdYVqvE-nEU {/youtube}